Jasusi kaniambia sababu ya kuachana na Nifa

Madhara ya kuwa public haya dadeq wallah!!
Wadau wanajua aliyekukaza na anayekukaza kwa sasa 😆
Famchezo nini!!

JF mmemaliza mwaka na mambo myapendayo...
Mara nyingi mtu anayekuwa public huwa anakuwa na mtu anayemvulia chupi.

Ila wanaojifanya watu wa Privacy wanawapanga hata watano hamjuwani na kila mmoja ana jukumu lake, kuna wa kulipa Kodi, kuna wa Salon, kuna wa kumkuna vizuri na kuna ATM yake chuma ulete.

Huyu binti anaonekana yuko really.
 
chizi hapa umenifurahisha,baadhi ya wanaume wa sasa wanatabia zakike kupitiliza
 
chizi hapa umenifurahisha,baadhi ya wanaume wa sasa wanatabia zakike kupitiliza
Dogo amechemsha sana. Anawezaje anzishia uzi mahusiano ya watu? Tena yeye kijana wa kiume? Nimesikitika sana. Haya mambo huwa nakemea sana hata mtu kuja kuzungumzia mahusiano ya msanii... Ni aibu kwa mwanaume kuzungumzia mahusiano ya watu wengine. Ni aibu kubwa sana.
 
Hahahaha
 
Unaambiwa kuna Oligarch mmoja alikaa chini na kusuka mpango kabambe aliouita OPERESHENI NYAKUA NIFAH... Ni mpango uliokuwa umesukwa kwa weledi wa hali ya juu. Huyu somo hakushirikisha mtu yeyote kwenye hii operesheni yake ili kuepuka siri kuvuja. Unataka kujua ilikuwaje hadi huyu Oligarch kumzidi jasusi mbobevu?
Kaa hapa... nakuja na part 2.
 
This is too low Robert!unamengi yakuandika kuliko kushadadia Kuachana Kwa wapendanao,halafu unajifanya watibeli tunapreach love ndio love Gani hii?halafu kuna kijamaa kingine nacho nimeona kimefurahia sana hii habari acheni mambo yenu bhanaa
Supported
 
Supported
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…