Jasusi kaniambia sababu ya kuachana na Nifa

Dah bro umeongea kitu flani very sensitive sana aiseee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka HII WANAUME TUMEBAKI WACHACHE SANA. YAANI MTU KABISA UNAKUJA ANZISHIA UZI UHUSIANO WA MTU MWINGINE, ARE YOU NORMAL? NI AIBU HATA KUZUNGUNZIA. LENGO NINI? UONEKANE UPO KARIBU NA MTALAKA? THEN? WANAUME WAZAMANI ILIKUWA HUWEZI JADILI MAHUSIANO YA MTU MWINGINE. ULIKUWA MWIKO KABISA.
 
Wewe sio Chizi Maarifa 🥂😂
 

Zamani mlichukuliwa utumwani na kufanywa makoloni ndio mnajiona mlikuwa wanaume?
Embu to UCHIZI hapa
 
Alimtumia au walitumiana!
Kumpenda mtu sanaa sio dhambi

Mpumzisheni mwenzenu kaleta story yake kwa upendo tu.
Mnanipumzishaga mie au hukumbuki vizinga hawa hawa waliokuwa wanaka vigroup kunigawanya kama bahari ya shamu na leo huyu ndio kayai au kakuku lazima asemwe sio yeye tu humu wengi wanalazimisha kupendwa nje kuna wanaume wengi wanasifa njema waelewa acheni kulazimisha humu halafu wewe umemuacha mtoa mada unanirukia mie unashida gani ukweli usisemwe ndio nasema tena humu acheni kulazimisha watu wengi wameoa ni matapeli haya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…