Suhendra
JF-Expert Member
- Nov 25, 2023
- 1,625
- 3,307
Kazi mnayoTupo Mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi mnayoTupo Mkuu
Oya Unique Flower niaje mwanangu 😀😀🤒Mnanipumzishaga mie au hukumbuki vizinga hawa hawa waliokuwa wanaka vigroup kunigawanya kama bahari ya shamu na leo huyu ndio kayai au kakuku lazima asemwe sio yeye tu humu wengi wanalazimisha kupendwa nje kuna wanaume wengi wanasifa njema waelewa acheni kulazimisha humu halafu wewe umemuacha mtoa mada unanirukia mie unashida gani ukweli usisemwe ndio nasema tena humu acheni kulazimisha watu wengi wameoa ni matapeli haya
maisha ya mapenzi hayana "fixed target" ima "fixed destination"
maisha ya mapenzi yana "shifting target" ndio maana wengi yanawatatiza wanaishia kuteseka moyo...ZINGATIA
Kazi mnayo
maji mengi huyo mkuu, hakuna anaemuwezaUnaongea ushuzi bila kujali mwenzako atajisikiaje, au wewe ni mwanaume?
Ningekushushia essay sema leo Naanza mwaka na Bwana.
Mdada ndo kapenda Kwa mara ya kwanza sema chaliii yy alikua mkongwe.......mdada alivomaliza six credit hazikukaa vzr dada zake kwenye kudodosa wakajua anadate na flan wakahis ndo sababu y binti kuzingua.......wakamdaka jamaa wakampa masharti wanayojua wao jamaa alimpiga chini demu, demu alisota kila akimuona jamaa cjui ndo mashetani gn yanampanda mpaka demu akahamishwa ndo ile hali ikaishaIlikuwaje😢
Ukimaanisha pombe?maji mengi huyo mkuu, hakuna anaemuweza
Tuuwane kisa nini.?Ninyi ambao mmetoana nje ya JF mbona tunasikia kila siku kwenye vyombo vya habari mnauana na kutemeshana nyongo
anaandikaga tu anavojiskiaUkimaanisha pombe?
Shida hawa dada zetu Kuna mda wakipenda wanakua wasumbufu sana! Kulikuwa na huyo aiseee acha tu alikua ananchatisha normal text, watsup, insta dm, telegram na kote mada tofauti Bado Kuna ratiba ya kuongea tena jioni🙌🙌🙌Mimi bora mdada aniaxhe mwenyewe hasa anayenipenda. Siwezi kumuacha mtu anayenipenda. Nitajilaumu sana
Hilo jina litakuponza nilishakwambiaNdo maana naku ita nusu albino, yaani uko bize na refresh😀😂🤒
Tuuwane kisa nini.?
Shida hawa dada zetu Kuna mda wakipenda wanakua wasumbufu sana! Kulikuwa na huyo aiseee acha tu alikua ananchatisha normal text, watsup, insta dm, telegram na kote mada tofauti Bado Kuna ratiba ya kuongea tena jioni🙌🙌🙌
UdakuziBado nipo kwenye Mkesha wa "Vuka na chako"
Habari za nifa zimenishtua mno. Sikutegemea habari hii hasa kwa siku ya leo.
Unajua nifa alikuwa anampenda sana Jasusi. Yeye ndiye aliyejivunia mahusiano hayo mara kwa mara humu JF. Wengi walimjua kupitia mahusiano hayo ya Jasusi. Ukiyaita mahusiano ya kijasusi hutokuwa unakosea.
Wale wenzangu na miye wazee wa kuchungulia pm za Wadada tulifunga breki kwenye Pm ya Nifa kwani kwa sisi wataalamu wa mapenzi tunajua kabisa mapenzi yakikolea kwa kiwango cha juu kabisa si ajabu wapenzi kubadilishana simu na password. Hiyo ikaturudisha nyuma kwa kuhofia jasusi ana-access na account ya Nifa.
Wapo waliofurahishwa na habari hizo. Wapo pia waliohuzunishwa.
Nimewasiliana na jasusi yeye kwa uchovu kabisa alinijibu kuwa imeisha! Imeisha Mtibeli.
Nikamwuliza shida nini, akaniambia kumbe walikubaliana mwaka huu warasimishe. Na kama hawatarasimisha basi binti atachukua uamuzi mgumu.
Kuna mdakaji, mdakuzi, na mdukuzi. Kwenye mambo ya ujasusi bhana.
Jasusi kazidiwa kete na mojawapo hapo.
Ilipohitimu mwezi wa nane mambo yakawa mambo. Mojawapo hapo juu akamzidi jasusi.
Hata hivyo Jasusi kwa nilivyomsikiliza, taarifa hizi hazimuumi sana. Kingine ni kuwa kama mjuavyo binti yetu ndio alipenda zaidi kuliko jasusi mbobevu.
Ngoja tuendelee na nyimbo hapa kwenyw mkesha
Nani anaanza na shetani funguka nani anaogopa humu kunanini basi hadi utishie watu . Eti ushuzi unauona leo hujaona walivyokuwaga wananisakama wakati napitia yangu . Lazima watu wasemwe . Penda msipende halafu ushuzi labda wako sio wangu . Mnaonaga watu wengine na maumivu yao kama utani wengine ndio wanaumiaga acha kubagua watu na kutishia watu pokea mwaka uje ushushe huo ushuzi wako halafu unitag hamna jipya kazi kuja kila mwaka na ID mpya . Halafu mkiibiana mabwana mnaanza kutishia wenzenu kisa mlitumwa kumwaga kwa kunguruwe lulu zenu .Unaongea ushuzi bila kujali mwenzako atajisikiaje, au wewe ni mwanaume?
Ningekushushia essay sema leo Naanza mwaka na Bwana.
Mgh, Kwa mtu ambae sio hata mume ni ngumu kwa upande wangu.Mapenzi
Poa eti huyu mdada ananitishia nyani mzee eti saizo angekuja enzi za miaka 13 ,15 tayari na kaba watuOya Unique Flower niaje mwanangu 😀😀🤒
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sidhani kama utakuwa umenimanya vilivyo shem bae[emoji1787][emoji1787]
Utachapiwaje demu siyo wako? Kwani jasusi alikuwa anamchapia nani?Jasusi anaenda kuchapiwa rasmi.