Jasusi kaniambia sababu ya kuachana na Nifa

Jasusi kaniambia sababu ya kuachana na Nifa

This is too low Robert!unamengi yakuandika kuliko kushadadia Kuachana Kwa wapendanao,halafu unajifanya watibeli tunapreach love ndio love Gani hii?halafu kuna kijamaa kingine nacho nimeona kimefurahia sana hii habari acheni mambo yenu bhanaa
 
Jasusi aliinjoi, that's the bottom line. Sisi wanaume tukila chakula kitam tunafurahi. Sasa kama mwamba alitafuna vitu vizuri, si ajipige kifuani na kujipa pongezi? Muhimu tu ni vitu vizuri, ndoa atafunga na mwingine...
When one door close another door open..

Kila la kheri Bibi nifa kila la kheri the Bold.

Mapenzi ya jf yanamengi saana.
 
Yaani Hadi umeshindwa kukanyaga mafuta unaanza kuandika Uzi unaona kesho mbali 🤣🤣🤣🤣🤣Duuuh nyie wakaka wa siku hizi mmerogwa nyie eti?Sasa wakati unaongea na jasusi alikua anajua unakuja kuyaanika huku maongezi yenu?Grow up!
 
Mdada ndo kapenda Kwa mara ya kwanza sema chaliii yy alikua mkongwe.......mdada alivomaliza six credit hazikukaa vzr dada zake kwenye kudodosa wakajua anadate na flan wakahis ndo sababu y binti kuzingua.......wakamdaka jamaa wakampa masharti wanayojua wao jamaa alimpiga chini demu, demu alisota kila akimuona jamaa cjui ndo mashetani gn yanampanda mpaka demu akahamishwa ndo ile hali ikaisha
Huyo jamaa alimloga huyo binti
 
Acheni kuzusha, niko hapa na nimesema sababu mwenyewe.

Hayo mengine ni uzushi tu, ila kama yanawafurahisha endeleeni kufurahi.
Haki sawa kwa wote 🤣✌🏽
Ila, kwenye mahusiano yenu ulikua ni wingu jeusi lililotanda kibabe katika njia na maisha ya Mwana.
Unajua nini, no matter what, sisi wakongwe tunaelewa picha la kipindi kile. Tunaelewa ulimpenda akabaki mateka tu pasipo na Uhuru, ila watu kama mimi bado tulibaki na heshima na upendo mkubwa juu yake. Ilailibidi tutulie tukuache na mateka wako.
 
Zamani mlichukuliwa utumwani na kufanywa makoloni ndio mnajiona mlikuwa wanaume?
Embu to UCHIZI hapa
Unachofanya ni kituko, kitu cha ajabu. Yaani unaanzaje kuja zungumzia mahusiano ya mwanaume na mwanamke? Huu ni umbea, uzandiki, ukuda, ushaku naku na ukosefu wa maadili. Si jambo la kawaida. Wanaume hatufanyi hivi. Umejishusha sana na kuchukua role ya wanawake wa uswahili wasio na kazi. Unataka upate ujiko kupitia mahusiano ya watu? We ni chawa wa jamaa? Huyo dada si anaweza kukusuta?
 
Back
Top Bottom