Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
😄😄Nlikoma mazeee😂😂😂
Kama ulimuacha pole sana mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😄😄Nlikoma mazeee😂😂😂
Kama ulimuacha pole sana mkuu.
Kwenye maombi 12 umejibiwa mangapi? Mimi nilipokea miracle money.Bado nipo kwenye Mkesha wa "Vuka na chako"
Habari za nifa zimenishtua mno. Sikutegemea habari hii hasa kwa siku ya leo.
Unajua nifa alikuwa anampenda sana Jasusi. Yeye ndiye aliyejivunia mahusiano hayo mara kwa mara humu JF. Wengi walimjua kupitia mahusiano hayo ya Jasusi. Ukiyaita mahusiano ya kijasusi hutokuwa unakosea.
Wale wenzangu na miye wazee wa kuchungulia pm za Wadada tulifunga breki kwenye Pm ya Nifa kwani kwa sisi wataalamu wa mapenzi tunajua kabisa mapenzi yakikolea kwa kiwango cha juu kabisa si ajabu wapenzi kubadilishana simu na password. Hiyo ikaturudisha nyuma kwa kuhofia jasusi ana-access na account ya Nifa.
Wapo waliofurahishwa na habari hizo. Wapo pia waliohuzunishwa.
Nimewasiliana na jasusi yeye kwa uchovu kabisa alinijibu kuwa imeisha! Imeisha Mtibeli.
Nikamwuliza shida nini, akaniambia kumbe walikubaliana mwaka huu warasimishe. Na kama hawatarasimisha basi binti atachukua uamuzi mgumu.
Kuna mdakaji, mdakuzi, na mdukuzi. Kwenye mambo ya ujasusi bhana.
Jasusi kazidiwa kete na mojawapo hapo.
Ilipohitimu mwezi wa nane mambo yakawa mambo. Mojawapo hapo juu akamzidi jasusi.
Hata hivyo Jasusi kwa nilivyomsikiliza, taarifa hizi hazimuumi sana. Kingine ni kuwa kama mjuavyo binti yetu ndio alipenda zaidi kuliko jasusi mbobevu.
Ngoja tuendelee na nyimbo hapa kwenyw mkesha
Binti Maua😀😂🤒Poa eti huyu mdada ananitishia nyani mzee eti saizo angekuja enzi za miaka 13 ,15 tayari na kaba watu
Oya kesho d4n Sasa 😀😂, au Facebook cafe😀😂😂🤒Hilo jina litakuponza nilishakwambia
dah umenikumbushs mbali sana, sasa hivi kashaolewa lakini.Shida hawa dada zetu Kuna mda wakipenda wanakua wasumbufu sana! Kulikuwa na huyo aiseee acha tu alikua ananchatisha normal text, watsup, insta dm, telegram na kote mada tofauti Bado Kuna ratiba ya kuongea tena jioni🙌🙌🙌
Eh watu wanaona watu wamevurugwa halafu wanacomment upuuziBinti Maua😀😂🤒
Ni kamzozo anko! Ukichelewa kujibu inapachikwa sms nyingine humo, unaweza Kuta mnachart mada mbili Kwa wakati mojadah umenikumbushs mbali sana, sasa hivi kashaolewa lakini.
Tulia weweOya kesho d4n Sasa 😀😂, au Facebook cafe😀😂😂🤒
Kumbe upo ulitekewa wapiNifah siwajui hata ila kiukweli wewe ndio ulimpenda sana jasusi,yeye hakuwa kivile inaonyesha hivyoo . Wahenga walisema usipende sana usije pata ugonjwa wa moyo. Bora awe mwanaum sio ke. Huyu anawake alikuwa anakutumiazź tu
mbona wako ana nafuu sanaNi kamzozo anko! Ukichelewa kujibu inapachikwa sms nyingine humo, unaweza Kuta mnachart mada mbili Kwa wakati moja
Naona roho ya jiwe haijakutoka! Neno haliwezi kustawi vizuri kwenye vichaka.Navuka na changu Mkuu.
Kwenyw maombi pia kuna timing mkuu sio muda wote ume- concentrate
Hivi kumbe chizi uwaga una akili saa zingine eeh?Miaka HII WANAUME TUMEBAKI WACHACHE SANA. YAANI MTU KABISA UNAKUJA ANZISHIA UZI UHUSIANO WA MTU MWINGINE, ARE YOU NORMAL? NI AIBU HATA KUZUNGUNZIA. LENGO NINI? UONEKANE UPO KARIBU NA MTALAKA? THEN? WANAUME WAZAMANI ILIKUWA HUWEZI JADILI MAHUSIANO YA MTU MWINGINE. ULIKUWA MWIKO KABISA.
Naona roho ya jiwe haijakutoka! Neno haliwezi kustawi vizuri kwenye vichaka.
Wako alikuaje🤣mbona wako ana nafuu sana