Jasusi kaniambia sababu ya kuachana na Nifa

Jasusi kaniambia sababu ya kuachana na Nifa

Nifah siwajui hata ila kiukweli wewe ndio ulimpenda sana jasusi,yeye hakuwa kivile inaonyesha hivyoo . Wahenga walisema usipende sana usije pata ugonjwa wa moyo. Bora awe mwanaum sio ke. Huyu anawake alikuwa anakutumiazź tu
Kajifunze kwanza kuandika ndio utoe ushauri.

Wanawake sijui Huwa mna vichwa Gani.
 
Bado nipo kwenye Mkesha wa "Vuka na chako"

Habari za nifa zimenishtua mno. Sikutegemea habari hii hasa kwa siku ya leo.
Unajua nifa alikuwa anampenda sana Jasusi. Yeye ndiye aliyejivunia mahusiano hayo mara kwa mara humu JF. Wengi walimjua kupitia mahusiano hayo ya Jasusi. Ukiyaita mahusiano ya kijasusi hutokuwa unakosea.

Wale wenzangu na miye wazee wa kuchungulia pm za Wadada tulifunga breki kwenye Pm ya Nifa kwani kwa sisi wataalamu wa mapenzi tunajua kabisa mapenzi yakikolea kwa kiwango cha juu kabisa si ajabu wapenzi kubadilishana simu na password. Hiyo ikaturudisha nyuma kwa kuhofia jasusi ana-access na account ya Nifa.

Wapo waliofurahishwa na habari hizo. Wapo pia waliohuzunishwa.
Nimewasiliana na jasusi yeye kwa uchovu kabisa alinijibu kuwa imeisha! Imeisha Mtibeli.
Nikamwuliza shida nini, akaniambia kumbe walikubaliana mwaka huu warasimishe. Na kama hawatarasimisha basi binti atachukua uamuzi mgumu.

Kuna mdakaji, mdakuzi, na mdukuzi. Kwenye mambo ya ujasusi bhana.
Jasusi kazidiwa kete na mojawapo hapo.
Ilipohitimu mwezi wa nane mambo yakawa mambo. Mojawapo hapo juu akamzidi jasusi.

Hata hivyo Jasusi kwa nilivyomsikiliza, taarifa hizi hazimuumi sana. Kingine ni kuwa kama mjuavyo binti yetu ndio alipenda zaidi kuliko jasusi mbobevu.

Ngoja tuendelee na nyimbo hapa kwenyw mkesha

Oya!

Kikubwa na cha muhimu tuwatie nguvu ndugu zetu hawa, wajue kuwa migogoro na changamoto za kwenye mahusiano ya mapenzi, ndio mahusiano yenyewe, ndio mapenzi yenyewe.

Ikiwapendeza, huko tuendako, wakimaliza tofauti zao, wasione hatari kusonga mbele na jambo lao.

Binafsi nasema hivi, wajitafute, wakijipata wasione tabu kumaliza tofauti zao, kisha wakaze mwendo pamoja. NDIO UKOMAVU HUO.

Migogoro na misukosuko ndio mahusiano, ndio mapenzi. Ndio maisha.

Meno ya utoto hayaoti mpaka mtoto apate homa, aharishe na kutapika...kitaalamu inaitwa "teething syndrome". Ni kawaida.

Nifah Jasusi
 
Mnanipumzishaga mie au hukumbuki vizinga hawa hawa waliokuwa wanaka vigroup kunigawanya kama bahari ya shamu na leo huyu ndio kayai au kakuku lazima asemwe sio yeye tu humu wengi wanalazimisha kupendwa nje kuna wanaume wengi wanasifa njema waelewa acheni kulazimisha humu halafu wewe umemuacha mtoa mada unanirukia mie unashida gani ukweli usisemwe ndio nasema tena humu acheni kulazimisha watu wengi wameoa ni matapeli haya
Unaongea ushuzi bila kujali mwenzako atajisikiaje, au wewe ni mwanaume?

Ningekushushia essay sema leo Naanza mwaka na Bwana.
 
Oya!

Kikubwa na cha muhimu tuwatie nguvu ndugu zetu hawa, wajue kuwa migogoro na changamoto za kwenye mahusiano ya mapenzi, ndio mahusiano yenyewe, ndio mapenzi yenyewe.

Ikiwapendeza, huko tuendako, wakimaliza tofauti zao, wasione hatari kusonga mbele na jambo lao.

Binafsi nasema hivi, wajitafute, wakijipata wasione tabu kumaliza tofauti zao, kisha wakaze mwendo pamoja. NDIO UKOMAVU HUO.

Migogoro na misukosuko ndio mahusiano, ndio mapenzi. Ndio maisha.

Meno ya utoto hayaoti mpaka mtoto apate homa, aharishe na kutapika...kitaalamu inaitwa "teething syndrome". Ni kawaida.

Nifah Jasusi

Ukiitaka Ndoa mapenzi kuyapata sio lelemama.
Ukiyataka mapenzi ndoa ni kama unakunuwa uji tuu
 
Miaka HII WANAUME TUMEBAKI WACHACHE SANA. YAANI MTU KABISA UNAKUJA ANZISHIA UZI UHUSIANO WA MTU MWINGINE, ARE YOU NORMAL? NI AIBU HATA KUZUNGUNZIA. LENGO NINI? UONEKANE UPO KARIBU NA MTALAKA? THEN? WANAUME WAZAMANI ILIKUWA HUWEZI JADILI MAHUSIANO YA MTU MWINGINE. ULIKUWA MWIKO KABISA.
Leo ume us master🙏💪
 
Madeem bana, Kila siku nawaambia.

Mwanaume Huwa haoi mwanamke anayejua kabisa kua Amewahi kuliwa na FULANI.

NA NDIO maana waliowahi kuoa Wanawake wa hivo, Huwa wanaishi na wasiwasi sana .



Mwanaume yupo Radhia akoe Malaya asokua kaliwa na Akina nani ila anajua kaliwa.

Ila atakua mgum kuoa mwanamke anayejua kabisa kaliwa na Fulani.



Najua hamtanielewa.
Ukweli mchungu huo.

Kama njemba iko jf na imemjulia jf ni bora angebaki na huyo jasusi akaolewa 2 yrs later kuliko kugawa utamu kwa njemba nyingine na nyingine na nyingine kwa uongo wa aina moja( mimi sio kama wale).
 
Back
Top Bottom