Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Sometimes Yes, sometimes No. Ni mibangi pia inasaidiaHivi kumbe chizi uwaga una akili saa zingine eeh?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sometimes Yes, sometimes No. Ni mibangi pia inasaidiaHivi kumbe chizi uwaga una akili saa zingine eeh?
Wewe unaakili sana utafika mbaliMadeem bana, Kila siku nawaambia.
Mwanaume Huwa haoi mwanamke anayejua kabisa kua Amewahi kuliwa na FULANI.
NA NDIO maana waliowahi kuoa Wanawake wa hivo, Huwa wanaishi na wasiwasi sana .
Mwanaume yupo Radhia akoe Malaya asokua kaliwa na Akina nani ila anajua kaliwa.
Ila atakua mgum kuoa mwanamke anayejua kabisa kaliwa na Fulani.
Najua hamtanielewa.
Unachofanya ni kituko, kitu cha ajabu. Yaani unaanzaje kuja zungumzia mahusiano ya mwanaume na mwanamke? Huu ni umbea, uzandiki, ukuda, ushaku naku na ukosefu wa maadili. Si jambo la kawaida. Wanaume hatufanyi hivi. Umejishusha sana na kuchukua role ya wanawake wa uswahili wasio na kazi. Unataka upate ujiko kupitia mahusiano ya watu? We ni chawa wa jamaa? Huyo dada si anaweza kukusuta?
Hao wote ni attention seekers achaneni nao, tujadili mambo ya msingi
Mkuu tusaidiane kushangaa kwenye hili... Mm sikujua km kweli hapa jf watu Wana date na kunyanduana kiukweli ukweliKumbe kuna watu wana wapenzi jf dunia inaenda kasi sana
Usijali safisha chombo tupange foleni.....Acheni kuzusha, niko hapa na nimesema sababu mwenyewe.
Hayo mengine ni uzushi tu, ila kama yanawafurahisha endeleeni kufurahi.
Haki sawa kwa wote 🤣✌🏽
Mm binafsi nilishagundua sina kipaji cha mapenzi, toka hapo nimekaa pembeni nimebaki kuwa shabiki na mpenzi mtazamaji...Kuna jamaa hapa kanambia mapenzi tuwaachie wahindi
Duh[emoji2960]Nani anaanza na shetani funguka nani anaogopa humu kunanini basi hadi utishie watu . Eti ushuzi unauona leo hujaona walivyokuwaga wananisakama wakati napitia yangu . Lazima watu wasemwe . Penda msipende halafu ushuzi labda wako sio wangu . Mnaonaga watu wengine na maumivu yao kama utani wengine ndio wanaumiaga acha kubagua watu na kutishia watu pokea mwaka uje ushushe huo ushuzi wako halafu unitag hamna jipya kazi kuja kila mwaka na ID mpya . Halafu mkiibiana mabwana mnaanza kutishia wenzenu kisa mlitumwa kumwaga kwa kunguruwe lulu zenu .
Na wewe ni Jasusi?. Taarifa personal kama hizi umezipataje?[emoji3]Madeem bana, Kila siku nawaambia.
Mwanaume Huwa haoi mwanamke anayejua kabisa kua Amewahi kuliwa na FULANI.
NA NDIO maana waliowahi kuoa Wanawake wa hivo, Huwa wanaishi na wasiwasi sana .
Mwanaume yupo Radhi akaoe Malaya asojua kaliwa na Akina nani ila anajua kaliwa.
Ila atakua mgum kuoa mwanamke anayejua kabisa kaliwa na Fulani.
Najua hamtanielewa.
Hizi ndio habari zinazompa huo 'u-kichwa', zile zingine zenye mwelekeo wa kiimani huwa analazimisha tu.Mtibeli haufananii na hizi habari , hizi waachie low IQ , wewe ni kichwa haswa ,shusha nondo pia andaa na vitabu vyako kabisa tutanunua mkuu.
Wanapenda wapendanao waachane?Madhara ya kuwa public haya dadeq wallah!!
Wadau wanajua aliyekukaza na anayekukaza kwa sasa [emoji38]
Famchezo nini!!
JF mmemaliza mwaka na mambo myapendayo...
Ukikutwa adhabu yake ilikuwa nini?Miaka HII WANAUME TUMEBAKI WACHACHE SANA. YAANI MTU KABISA UNAKUJA ANZISHIA UZI UHUSIANO WA MTU MWINGINE, ARE YOU NORMAL? NI AIBU HATA KUZUNGUNZIA. LENGO NINI? UONEKANE UPO KARIBU NA MTALAKA? THEN? WANAUME WAZAMANI ILIKUWA HUWEZI JADILI MAHUSIANO YA MTU MWINGINE. ULIKUWA MWIKO KABISA.
Sijawahi mwona huyo jamaa kwenye habari nyepesi kama hii ,hata siku moja ila mara moja moja kulegeza ubongo sio vibaya.Hizi ndio habari zinazompa huo 'u-kichwa', zile zingine zenye mwelekeo wa kiimani huwa analazimisha tu.
Kaka tatizo wakoloni walikuwa na vya Moto. Sisi mawe na marungu labdaZamani mlichukuliwa utumwani na kufanywa makoloni ndio mnajiona mlikuwa wanaume?
Embu to UCHIZI hapa
This is too low Robert!unamengi yakuandika kuliko kushadadia Kuachana Kwa wapendanao,halafu unajifanya watibeli tunapreach love ndio love Gani hii?halafu kuna kijamaa kingine nacho nimeona kimefurahia sana hii habari acheni mambo yenu bhanaa
Mkuu naona umechafukwa, nikawaida watu wakiachana marafiki kutia maneno. Kitu ambacho nifah hajui, mwanaume halazimishwi Ndoa. Ukinilazimisha unanikimbiza, mwanaume akikupenda na akaona unafaa kuwa mke wake basi ndoa anaiomba mwenyewe.Yaani Hadi umeshindwa kukanyaga mafuta unaanza kuandika Uzi unaona kesho mbali 🤣🤣🤣🤣🤣Duuuh nyie wakaka wa siku hizi mmerogwa nyie eti?Sasa wakati unaongea na jasusi alikua anajua unakuja kuyaanika huku maongezi yenu?Grow up!
Achaneni na huu uzushi basi, sijawahi kulazimisha ndoa, katu!Mkuu naona umechafukwa, nikawaida watu wakiachana marafiki kutia maneno. Kitu ambacho nifah hajui, mwanaume halazimishwi Ndoa. Ukinilazimisha unanikimbiza, mwanaume akikupenda na akaona unafaa kuwa mke wake basi ndoa anaiomba mwenyewe.
Sababu kubwa nikushindwa kulasimisha, mengine yote yanaangukia hapo.Achaneni na huu uzushi basi, sijawahi kulazimisha ndoa, katu!
Kwamba nilitaka ndoa ndipo tukaachana? Nonsense.
Sababu zilizotufanya tuachane ni nyingi na hii sio moja wapo.
Asanteni.
Hiyo picha kwenye avatar yako nikiiona nasikitika sana!. Alikuwa mpole binti wa watu!Sababu kubwa nikushindwa kulasimisha, mengine yote yanaangukia hapo.
Vipi mkuu bado unaishi ubungo?.
Umbea tu na wewe.Mkuu naona umechafukwa, nikawaida watu wakiachana marafiki kutia maneno. Kitu ambacho nifah hajui, mwanaume halazimishwi Ndoa. Ukinilazimisha unanikimbiza, mwanaume akikupenda na akaona unafaa kuwa mke wake basi ndoa anaiomba mwenyewe.