Jasusi kaniambia sababu ya kuachana na Nifa

Jasusi kaniambia sababu ya kuachana na Nifa

This is too low Robert!unamengi yakuandika kuliko kushadadia Kuachana Kwa wapendanao,halafu unajifanya watibeli tunapreach love ndio love Gani hii?halafu kuna kijamaa kingine nacho nimeona kimefurahia sana hii habari acheni mambo yenu bhanaa

Sijashadadia kuachana kwao.

Tunaoyajua mapenzi tunajua hata wapendanao huweza kuachana iwe kwa kifo au kwa namna zingine.

Love ni pamoja kuachana Mkuu. Relax!
Kuhusu mengi ya kuandika, ninaandika vile nitakavyo na sio vinginevyo. Ninyi wasomaji pia mtasoma kile ninachoandika kwa mapenzi yenu au mtaacha kwa uamuzi wenu. Hiyo sio juu yangu
 
Yaani Hadi umeshindwa kukanyaga mafuta unaanza kuandika Uzi unaona kesho mbali 🤣🤣🤣🤣🤣Duuuh nyie wakaka wa siku hizi mmerogwa nyie eti?Sasa wakati unaongea na jasusi alikua anajua unakuja kuyaanika huku maongezi yenu?Grow up!
Amenisikitisha sana. Yaani anaongea na mwanaume anakuja kuyaanika huku? Hizi tabia za kiwaki sana. Wanaume huwa hatuwi hivyo. Halafu anasema kabisa nimeongea sijui na nani...
1. Ametumwa? Wanaume hawatumwi upuuzi kama huu

2. Uchawa? Anataka kuonesha yupo karibu sana na mhusika? Inamsaidia nini?

3. Amefurahi anataka achukue nafasi yeye kwa huyo jamaa? Au alikuwa anaona wivu huyo binti kuwa na jamaa?
 
Sijashadadia kuachana kwao.

Tunaoyajua mapenzi tunajua hata wapendanao huweza kuachana iwe kwa kifo au kwa namna zingine.

Love ni pamoja kuachana Mkuu. Relax!
Kuhusu mengi ya kuandika, ninaandika vile nitakavyo na sio vinginevyo. Ninyi wasomaji pia mtasoma kile ninachoandika kwa mapenzi yenu au mtaacha kwa uamuzi wenu. Hiyo sio juu yangu
THIS IS TOO LOW KWAKO. WANAUME HATUFANYI HIVI.
 
Miaka HII WANAUME TUMEBAKI WACHACHE SANA. YAANI MTU KABISA UNAKUJA ANZISHIA UZI UHUSIANO WA MTU MWINGINE, ARE YOU NORMAL? NI AIBU HATA KUZUNGUNZIA. LENGO NINI? UONEKANE UPO KARIBU NA MTALAKA? THEN? WANAUME WAZAMANI ILIKUWA HUWEZI JADILI MAHUSIANO YA MTU MWINGINE. ULIKUWA MWIKO KABISA.
JAMAA NIMEMSHANGAA SANA! AU NIFA ALIWAHI KUMNYIMA??

NI AIBU KWA MWANAUME KUJADILI UHUSIANO WA MTU MWINGINE, KIBAYA ZAIDI NI KAMA ANAONESHA KUFURAHISHWA KUACHANA KWAO.

WHAT IF KESHO WAKIRUDIANA, ATATUAMBIA NINI HAPA!?

#WANAUME TUMEBAKI WACHACHE SANA.
 
Bado nipo kwenye Mkesha wa "Vuka na chako"

Habari za nifa zimenishtua mno. Sikutegemea habari hii hasa kwa siku ya leo.
Unajua nifa alikuwa anampenda sana Jasusi. Yeye ndiye aliyejivunia mahusiano hayo mara kwa mara humu JF. Wengi walimjua kupitia mahusiano hayo ya Jasusi. Ukiyaita mahusiano ya kijasusi hutokuwa unakosea.

Wale wenzangu na miye wazee wa kuchungulia pm za Wadada tulifunga breki kwenye Pm ya Nifa kwani kwa sisi wataalamu wa mapenzi tunajua kabisa mapenzi yakikolea kwa kiwango cha juu kabisa si ajabu wapenzi kubadilishana simu na password. Hiyo ikaturudisha nyuma kwa kuhofia jasusi ana-access na account ya Nifa.

Wapo waliofurahishwa na habari hizo. Wapo pia waliohuzunishwa.
Nimewasiliana na jasusi yeye kwa uchovu kabisa alinijibu kuwa imeisha! Imeisha Mtibeli.
Nikamwuliza shida nini, akaniambia kumbe walikubaliana mwaka huu warasimishe. Na kama hawatarasimisha basi binti atachukua uamuzi mgumu.

Kuna mdakaji, mdakuzi, na mdukuzi. Kwenye mambo ya ujasusi bhana.
Jasusi kazidiwa kete na mojawapo hapo.
Ilipohitimu mwezi wa nane mambo yakawa mambo. Mojawapo hapo juu akamzidi jasusi.

Hata hivyo Jasusi kwa nilivyomsikiliza, taarifa hizi hazimuumi sana. Kingine ni kuwa kama mjuavyo binti yetu ndio alipenda zaidi kuliko jasusi mbobevu.

Ngoja tuendelee na nyimbo hapa kwenyw mkesha
Hivi kumbe hayo mambo yenu yalikuwa serious?

What is so spesho Kwa mahusiano ya huyo nifa na huyo the Bold?

Naona mara tumeachana mara wengine makuja na nyuzi ,kwani kulikuwa na uajabu gani Kwa hao watu?
 
JAMAA NIMEMSHANGAA SANA! AU NIFA ALIWAHI KUMNYIMA??

NI AIBU KWA MWANAUME KUJADILI UHUSIANO WA MTU MWINGINE, KIBAYA ZAIDI NI KAMA ANAONESHA KUFURAHISHWA KUACHANA KWAO.

WHAT IF KESHO WAKIRUDIANA, ATATUAMBIA NINI HAPA!?

#WANAUME TUMEBAKI WACHACHE SANA.

Nyuma ya I'd bandia mnajitamba lakini live maisha yamewapiga karibu kila idara
 
Sijashadadia kuachana kwao.

Tunaoyajua mapenzi tunajua hata wapendanao huweza kuachana iwe kwa kifo au kwa namna zingine.

Love ni pamoja kuachana Mkuu. Relax!
Kuhusu mengi ya kuandika, ninaandika vile nitakavyo na sio vinginevyo. Ninyi wasomaji pia mtasoma kile ninachoandika kwa mapenzi yenu au mtaacha kwa uamuzi wenu. Hiyo sio juu yangu
Najua una nature ya ubishi Huwa hukubalo kushindwa Wala kuambiwa ukweli ila Kwa hili chukua au acha umechemsha...
1.mwanaume unatakiwa kuwa na kaba,haiwezekani umesikia jambo ukanunua vocha ukaanza kumuuliza the bold personal life yake,sawa maybe ni mshkaji wako kama unavyojinasibu,mwenzio akakusimulia kilichotokea baina yao,wewe badala uyatunze unakuja kuyamwaga kwenye public "eti nimeongea na muhusika"

2.Unamkandamiza dada wa watu anaforce ndoa,hata kama alikuwa anaforce ndoa ni hitaji la Kila mwanamke anapokuwa kwenye mahusiano ya muda mrefu Sasa kosa lake lipi?

3.Huko Kwa Mwamposa umevuka na na Nini?maana akili yako ilikuwa juuu juuu kuwaza ubuyu.

Eti watibeli 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Najua una nature ya ubishi Huwa hukubalo kushindwa Wala kuambiwa ukweli ila Kwa hili chukua au acha umechemsha...
1.mwanaume unatakiwa kuwa na kaba,haiwezekani umesikia jambo ukanunua vocha ukaanza kumuuliza the bold personal life yake,sawa maybe ni mshkaji wako kama unavyojinasibu,mwenzio akakusimulia kilichotokea baina yao,wewe badala uyatunze unakuja kuyamwaga kwenye public "eti nimeongea na muhusika"

2.Unamkandamiza dada wa watu anaforce ndoa,hata kama alikuwa anaforce ndoa ni hitaji la Kila mwanamke anapokuwa kwenye mahusiano ya muda mrefu Sasa kisa lake lipi?

3.Huko Kwa Mwamposa umevuka na na Nini?maana akili yako ilikuwa juuu juuu kuwaza ubuyu.

Eti watibeli [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa kuforce ndoa ni kitu cha kuficha na wewe
 
Najua una nature ya ubishi Huwa hukubalo kushindwa Wala kuambiwa ukweli ila Kwa hili chukua au acha umechemsha...
1.mwanaume unatakiwa kuwa na kaba,haiwezekani umesikia jambo ukanunua vocha ukaanza kumuuliza the bold personal life yake,sawa maybe ni mshkaji wako kama unavyojinasibu,mwenzio akakusimulia kilichotokea baina yao,wewe badala uyatunze unakuja kuyamwaga kwenye public "eti nimeongea na muhusika"

2.Unamkandamiza dada wa watu anaforce ndoa,hata kama alikuwa anaforce ndoa ni hitaji la Kila mwanamke anapokuwa kwenye mahusiano ya muda mrefu Sasa kisa lake lipi?

3.Huko Kwa Mwamposa umevuka na na Nini?maana akili yako ilikuwa juuu juuu kuwaza ubuyu.

Eti watibeli 🤣🤣🤣🤣🤣

Sasa kwa uelewa wako jambo likiwa public na mhusika alitaka liwe public Unafikiri nini kitatokea?

Unafikiri ni kwa nini hiyo mhusika kwa sasa amesema huenda hataweka mahusiano yake mapya public?

Kwa Mwamposa ndio natoka sasa hivi.
 
LAZIMA UAMBIWE UKWELI! MWANAUME UNAJADILI VIPI MAHUSIANO YA MWANAUME MWENZAKO?? TOO SHAME FOR YOU ROBERT!

Mwanaume unajadili vipi kwenye mada zinazojadili mahusiano ya Watu wengine ilhali kuna mada zaidi ya mamia humu JF na majukwaa kedekede?

Ukweli ni upi?
 
THIS IS TOO LOW KWAKO. WANAUME HATUFANYI HIVI.

Watibeli wanafanya chochote isipokuwa kuvunja sheria za Mungu,
Hayo mapokezi yenu ya kijinga kama yale mwanaume haliko, haishi vyombo au hamsaidii mkewe kwetu hayana maana yoyote ile.

Wewe unajiona mwanaume kwa kufuata mapokeo yasiyo na maana yoyote.
 
Sasa kwa uelewa wako jambo likiwa public na mhusika alitaka liwe public Unafikiri nini kitatokea?

Unafikiri ni kwa nini hiyo mhusika kwa sasa amesema huenda hataweka mahusiano yake mapya public?

Kwa Mwamposa ndio natoka sasa hivi.
Aliyetaka liwe public ni Nifah,haya we ndio msemaji wa The bold?

Huko Kwa Mwamposa nako ulienda picnic tu huna ulilorudi nalo bwana
 
Back
Top Bottom