.....
Achaneni na huu uzushi basi, sijawahi kulazimisha ndoa, katu!
Kwamba nilitaka ndoa ndipo tukaachana? Nonsense.
Sababu zilizotufanya tuachane ni nyingi na hii sio moja wapo.
Asanteni.
.........nikushauri kitu bibie, kwa kuwa ulishaweka uzi wa kutoa taarifa rasmi, basi achana na maswala ya kufuatilia uzi wowote utakaoanzishwa kukuhusu, hii ni kwa ajili ya afya yako hasa kiakili(cyber bullying zipo za aina nyingi)
........kwa nionavyo mimi wapo wengi humu wasiokupenda, na wamefurahishwa na hili, hivyo basi kadiri unapoendelea kujibu, unadraw attention zao na kuendelea kukubeza kukujadili negatively kadili unavyojibu
........mwanzoni koments zimeanza kwa kukutakia kila lakheri na pole, lakini utaona muda unavyokwenda meseji zenye mrengo wa kiudhalilishaji na maneno yenye muelekeo wa matusi yameshaanza kuonekana coz wanajua unafuatilia(mbaya zaidi maneno mengine yanatoka kwa wanawake wenzio) so wewe acha kujibu na ishia hapa, napengine usirudi hata kuchungulia nini kinaendelea coz utalazimika kujibu........
........mwisho nakuona nakuona ni mwanamke mwenye akili(self determined), mwenye nguvu ujasiri na uwezo wa kusimama nakusonga mbele, pia ulikuwa unakuja vema ktk stori zako za udaku wa mastaa hebu rudi tuandikie kazi iendelee(ukifoocus vizuri eneo hili nakuona ukifikammbali coz upo vizuri sana kiuandishi, unaweza kufunguankiblogu chako ukaanza kupiga shekeri mdogomdogo then you grow up)......
.......ila kama utalazimisha kujadili hili swala lako utajikuta unaanza kutaja mambo ambayo ulipanga iwe siri yako au yenu, we si unaona jamaa yupo kimya, na wewe nikuombe uwe kimya, hii mada mtuachie wananzengo wenyewe tujadili, tujiulize na pia tujijibu wenyewe, umefunga mwaka vizuri fungua mwaka vizuri kwa mambo mapya, hilo litapita, jf ni pazuri ila sio pazuri sana, Heri ya mwaka mpya.