Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Bangi zako nzuri,,,nitakutumia zingine jirani yangu analetaga kutoka Malawi😁Sometimes Yes, sometimes No. Ni mibangi pia inasaidia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bangi zako nzuri,,,nitakutumia zingine jirani yangu analetaga kutoka Malawi😁Sometimes Yes, sometimes No. Ni mibangi pia inasaidia
Ndio hivo mkuu, Serikali inayo bado majibu yakujibu lakini ndio hivyo Mungu alimpenda zaidi.Hiyo picha kwenye avatar yako nikiiona nasikitika sana!. Alikuwa mpole binti wa watu!
Mapenz yanauma Sana hasa ukiachwa namtu unaempenda sana. Dada yetu ajikaze,, tatizo aliingia Kwa mwanachama wa kataa ndoa.Umbea tu na wewe.
Acha Umbea haukusaidii chochote mwanaumeMapenz yanauma Sana hasa ukiachwa namtu unaempenda sana. Dada yetu ajikaze,, tatizo aliingia Kwa mwanachama wa kataa ndoa.
Sijajua kwa kwel, ila mdada alisotaHuyo jamaa alimloga huyo binti
Okey lete mambo ya msingi sasaHao wote ni attention seekers achaneni nao, tujadili mambo ya msingi
Bro,o level na advance ulisoma shule gani??Madeem bana, Kila siku nawaambia.
Mwanaume Huwa haoi mwanamke anayejua kabisa kua Amewahi kuliwa na FULANI.
NA NDIO maana waliowahi kuoa Wanawake wa hivo, Huwa wanaishi na wasiwasi sana .
Mwanaume yupo Radhi akaoe Malaya asojua kaliwa na Akina nani ila anajua kaliwa.
Ila atakua mgum kuoa mwanamke anayejua kabisa kaliwa na Fulani.
Najua hamtanielewa.
Usinikose na mimi nasikia za malawi ni nzuri na zina ka ubaridi kwa mbaliBangi zako nzuri,,,nitakutumia zingine jirani yangu analetaga kutoka Malawi[emoji16]
Sasa nani anataka mtu wa hivo?[emoji16][emoji16]Mwanamke anaonekana yuko resi sana hana siri hata kidogo
Kwa hiho,sista wetu katumika sana?!Nifah siwajui hata ila kiukweli wewe ndio ulimpenda sana jasusi,yeye hakuwa kivile inaonyesha hivyoo . Wahenga walisema usipende sana usije pata ugonjwa wa moyo. Bora awe mwanaum sio ke. Huyu anawake alikuwa anakutumiazź tu
Unatengwa. Kila ukifika walipo wanaume wakikuona wanaondoka. Kama ni kijiweni ukifika wao wanaondoka. Maana wanaona unakuwa na tabia za kike. Huwezi anzisha mada kuzungumzia mahusiano ya watu. Impossible na wanaweza kukuvalisha skirtUkikutwa adhabu yake ilikuwa nini?
Safi za Malawi si mbaya pia. Nitumie nitashukuru. Muwe mnawasaidia hawa watu wanaanzisha nyuzi kama hizi muwashauri kuwa ni kupoteza uanaume. Yaani mwanaume kabisa unajisifu kuwa umeongea na mwanaume kuhusu mwanamke wake na unaanza tangaza mtaani? Nimeshtuka sana. Siku hizi hata wanawake wameacha umbea na uchawa wa namna hiyo.Bangi zako nzuri,,,nitakutumia zingine jirani yangu analetaga kutoka Malawi😁
Pole wewe unayeona fahari kutangaza kuwa ni chawa wa jamaa na kuwa u mbea. Yeye amenyamaza wewe umejifunga kibwebwe.Pole sana Mkuu
Abeeeee
Kaka tatizo wakoloni walikuwa na vya Moto. Sisi mawe na marungu labda
Pole wewe unayeona fahari kutangaza kuwa ni chawa wa jamaa na kuwa u mbea. Yeye amenyamaza wewe umejifunga kibwebwe.
Achaneni na huu uzushi basi, sijawahi kulazimisha ndoa, katu!
Kwamba nilitaka ndoa ndipo tukaachana? Nonsense.
Sababu zilizotufanya tuachane ni nyingi na hii sio moja wapo.
Asanteni.
Wewe ndo yako imekushinda unaamua kuingilia ya mwanaume mwenzio na mahusiano yake. Umefurahi sana huyo binti kuachana na jamaa. Unaenda m replace nini? 😃Kama familia yako imekushinda na unajiita mwanaume kwa nini nisikupe Pole Mkuu?
Tatizo la Watu wa aina yako ni kukariri. Sio kosa lakini