Doctor Mama Amon
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 2,089
- 2,725
- Thread starter
- #81
Hakuna ulichojibu
Jibu ni kuweka IGA au BIT inayoeleza kutakuwa na HGA alafu still ikaweka mgawanyo wa mapato. Ni bora ungesema tu sina jibu
Nani kakwambia kwamba IGA zote ni identical?
Each case has to be argued in isolation.
We have a stable legal and political framework.
Uwekezaji wa bandarini za Tanzania hauhitaji IGA, as shown above.