Jay Dee alipigwa na mume wake au?

Deo Corleone

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2011
Posts
17,006
Reaction score
13,281
Alisema kuwa kaumizwa na captain?Au hizo ni hisia zako tu
 
Wewe ni mbeya kwan kila anaepost kaumia kapigwa??lbda alijibana na mlango au alianguka!!!angepost chupi ilochanika napo ungesema alibakwa na mumewe!!!hebu tuache ushadidu kwa vitu tusivyovijua

MMh best una maneno, wewe nu chibokoo
 
hahaha, inawezekana kweli ama sio kweli lakini watu wanapogombana ndipo huanza kuongea mabaya kila mtu juu ya mwenzake ambayo wakati wako wote kila mtu alichukulia kama weakness za kawaida za mwenzake.
Time will tell....
 
Duh


Wewe ni mbeya kwan kila anaepost kaumia kapigwa??lbda alijibana na mlango au alianguka!!!angepost chupi ilochanika napo ungesema alibakwa na mumewe!!!hebu tuache ushadidu kwa vitu tusivyovijua

Ukisikia za uso ndio hizi
 
Wewe ni mbeya kwan kila anaepost kaumia kapigwa??lbda alijibana na mlango au alianguka!!!angepost chupi ilochanika napo ungesema alibakwa na mumewe!!!hebu tuache ushadidu kwa vitu tusivyovijua
Amesema mwenyewe kua kaumizwa,ndo maana sijaconclude kama captain ndo alimpa nakoz!! Nimeuliza tu.

Povu linakutoka kinoma
 





Hapa Komando anaonekana ana mengi sana yamemkaba kooni na pengine huu ni mwanzo na hapa ukiangalia tu haraka haraka mtuhumiwa nambari moko ni Captainnn
Ila kuna usemi usio rasmi pia kwamba mwanamke wa Kikurya bila Kipigo anaona kama humpendi pengine Captain aliapply huo msemo
 
Dah maskini yawezekana mengi yamemtokea kwenye hio ndoa.....mmmh ngoja na Gardner nae ajib picha lianze
 
jaydee yuko very wrong coz kama aliweza ku-keep quite all those days kwanini aseme leo? aache siasa zisizo na tija
Kusema ni njia ya haraka ya kumaliza maumivu!
Dhana za aina hii ndio zinafanya watu waendelee kunyanyaswa na wame zao na wengine wanafikia kuvunjwa miguu na wanaendelea kuvumilia!

Kama Mmeoana ili kuvumiliana ndio tatizo..kama unaona umemshindwa mtoto wa mtu ni bora kumuacha kuliko kumpiga...

Kwa Mawazo haya yako nasikitika kugundua kwamba huko tayari ndugu yako avunjwe miguu lakini aendelee kuvumilia ...aiseee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…