Igauri Kwetu
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 321
- 71
Mapenzi siku zote siasa
Zake ni pale penzi linapoyumba
Zake ni pale penzi linapoyumba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wakristo hakunaga talaka
Kusema ni njia ya haraka ya kumaliza maumivu!
Dhana za aina hii ndio zinafanya watu waendelee kunyanyaswa na wame zao na wengine wanafikia kuvunjwa miguu na wanaendelea kuvumilia!
Kama Mmeoana ili kuvumiliana ndio tatizo..kama unaona umemshindwa mtoto wa mtu ni bora kumuacha kuliko kumpiga...
Kwa Mawazo haya yako nasikitika kugundua kwamba huko tayari ndugu yako avunjwe miguu lakini aendelee kuvumilia ...aiseee
Sema mapenzi yasiyo na tija sio siasa
jaydee yuko very wrong coz kama aliweza ku-keep quite all those days kwanini aseme leo? aache siasa zisizo na tija
hoja yangu ni hii ilitakiwa jaydee mapema akiwa kwenye ndoa apaze sauti kuhusu haya manyanyaso na sio baada ya kutoka ndoani.
siungi mkono unyanyasaji kwa wanawake[/QUOTE
umenena kweli.
sijakosea kusema siasa. anachofanya jaydee sasa ni siasa sio mapenzi
Anatafta Huruma ya wanajamii hana lolote.anajidai mbabe Mara anakonda cjui komandoo kipensi kumbwe hana kitu anadundwa!!
hoja yangu ni hii ilitakiwa jaydee mapema akiwa kwenye ndoa apaze sauti kuhusu haya manyanyaso na sio baada ya kutoka ndoani.
siungi mkono unyanyasaji kwa wanawake
View attachment 202408
View attachment 202409
View attachment 202410
View attachment 202411
Hapa Komando anaonekana ana mengi sana yamemkaba kooni na pengine huu ni mwanzo na hapa ukiangalia tu haraka haraka mtuhumiwa nambari moko ni Captainnn
Ila kuna usemi usio rasmi pia kwamba mwanamke wa Kikurya bila Kipigo anaona kama humpendi pengine Captain aliapply huo msemo
Ndo maana nimesema aliepost hii kitu ni mbeya tena mshambenga.alishindwa nini kuleta habari nzima kama huyu jamaa aliepost na picha za instagram tukaona alichoandika jide.yaaan unaleta habari nusu alafu unataka watu tukuelewe kama we ulivyoelewa...ebo ..!!!magazeti ya udaku yamewaharibu sana na kuwatoa ufahamu..next time ntakutia makwezi we deo
Ndo maana nimesema aliepost hii kitu ni mbeya tena mshambenga.alishindwa nini kuleta habari nzima kama huyu jamaa aliepost na picha za instagram tukaona alichoandika jide.yaaan unaleta habari nusu alafu unataka watu tukuelewe kama we ulivyoelewa...ebo ..!!!magazeti ya udaku yamewaharibu sana na kuwatoa ufahamu..next time ntakutia makwezi we deo
Anatafta Huruma ya wanajamii hana lolote.anajidai mbabe Mara anakonda cjui komandoo kipensi kumbwe hana kitu anadundwa!!
Bila picha huelewi?Ndo maana nimesema aliepost hii kitu ni mbeya tena mshambenga.alishindwa nini kuleta habari nzima kama huyu jamaa aliepost na picha za instagram tukaona alichoandika jide.yaaan unaleta habari nusu alafu unataka watu tukuelewe kama we ulivyoelewa...ebo ..!!!magazeti ya udaku yamewaharibu sana na kuwatoa ufahamu..next time ntakutia makwezi we deo
Mbona unatoka povu sana.
Ivi unaelewa maana ya hii alama. '?' ?
Mtoa mada kauliza. Au we wapenda ligi tu zisizo na maana?
Haaaahaa uyu binti nae ni mpuuzi kumbe???WTF leo hii ndo anaanza kuongea kuhusu domestic violence baada ya kutengana alikua wapi siku zote anasaka attention ya jamii na sympathy tu BTW uyu si anajiita Commando mara Anaconda pumbavuu zake,mavi ya kale hayanuki akomae maana G nae anataka pasu kwa pasu utaelewa tu.
Mambo ya ndoa ni magumu kuelezea! sisi hatujui!!! inamaana alivyoumizwa akajipiga picha ili baadae aje aonyeshe penzi likivyunjika!!! mwanamke mwenye kinyongo hivyi ni shida sana kuishi naye. Gardner anahitaji nishani ya uvumilivu.
Hapo na mie ndio niliposhangaa Jide kakaa miaka 9 kwenye ndoa hajapaza sauti leo baada ya mtafarukano wa ndoa ndio anapaza sauti...