Jay Dee alipigwa na mume wake au?

Jay Dee alipigwa na mume wake au?

Nilimuma wa maana alipokuwa amekaa kimya, wanandoa wenye busara hata mkiachana hampaswi kutoa mapungufu yenu nje hasa kwenye mitandao , je na Gadner akianza kutoa mapungufu yake.Ngoja tusubiri mumewe aje aseme yeye hajui majambozi .

Na ndo kitachofatia we ngoja....... Ndoa lazima iheshimiwe na watu wote Mungu atusaidie sana katika hili wapendwa........
 
Wewe ni mbeya kwan kila anaepost kaumia kapigwa??lbda alijibana na mlango au alianguka!!!angepost chupi ilochanika napo ungesema alibakwa na mumewe!!!hebu tuache ushadidu kwa vitu tusivyovijua

gadna mwanamke hapigwi ngumi anapigwa na pesa baba
 
Ndoa Sasa imekuwa ndoano.
attachment.php
 
jinsi alivyo na kiburi naona hata mm ningempiga
 
jinsi alivyo na kiburi naona hata mm ningempiga

Huyu dada majina anayojiita anaconda, commandoo inaonyesha ni mwanamke wa aina gani ,kuishi na mwanamke wa aina hii ni kazi.
 
Ndo maana nimesema aliepost hii kitu ni mbeya tena mshambenga.alishindwa nini kuleta habari nzima kama huyu jamaa aliepost na picha za instagram tukaona alichoandika jide.yaaan unaleta habari nusu alafu unataka watu tukuelewe kama we ulivyoelewa...ebo ..!!!magazeti ya udaku yamewaharibu sana na kuwatoa ufahamu..next time ntakutia makwezi we deo

we nawe sa unafoka nini? hebu peleka stress zako huko......mfyuuuu!!!!!
 
Hahahahaa!komando kipensi dah! kitambo kweli jamani u have made my day hakyanani

Hahahahaha kama ulikuwepo vile, inashangaza ati komandoo kipensi aka anakonda kuchezea kipondo, wakati mwingine wawe waangalifu wanapojipa hizo aka zao
 
kama ni yeye sheeeeeee nishangae kimasai!!!!
yani mwanaume nimuoe afu anipe kipigo ntatupa zubeda yake nje nae afatie nyuma
 
Jamani haya mapenzi yakupigwa mwenzenu mie nayaona Sio mapenzi.. Kama hatuendani kitabia bora basi lakini kupigana apana...
 
Back
Top Bottom