Jay-Z atuhumiwa kumnyanyasa kingono mtoto wa miaka 13 katika tukio la 2000 pamoja na Sean "Diddy" Combs

Miaka 13 na yeye anaenda kwenye parry after parry kutafuta nini kama syo u--b--#000

Ova
 
angalia snop doggy alioa akiwa na umri gani harafu wafatilie akina Jay z ,pdd na wezake

kundi la2pac hawakuwa washenzi hivyo
pac alikuwa mshenz sana, wanawake walikuwa wanajilengesha wenyewe ila akishakula lazima na wana wale, huo ndo ulikuwa utaratibu wake, pac angekuwa hai angekuwa na msululu wa kesi za unyanyasaji wa wanawake kingono.
 
Ina mana hao black America ndo wako na upwiru wenyewe tu kuzidi wazungu og ama 🏃🏃😂🙌🏿
 
Kanye Weste alishaongea hili jambo mara baada ya Diddy kuingia matatani,alisema watamalizwa wote,kwani kuna societies wanazitumikia lakini mwisho wa siku zitawacheua na ndio mwisho wao,walishatoa mpk kafara za watu wao wa karibu,lkn haitawasaidia...
Aisee
 
Kuna watu wengi wanaona hawa Black wanaonewa,lakini akili ya mtu mweusi ni za ajabu sana,kumbuka hawa walikuwa na usela wa ghetto sana na wakapata mafanikio............ Ukitaka ujue rangi halisi ya sisi black mtu apate mafanikio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…