James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
That beck with good hair hahaaahhahahahahhaa ile haikua kick.. ndomana alikua/walikua hawataki kuiongelea.... yule mwanamke katembea na Jay z kabla hajamwoa Beyonce 2008
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
That beck with good hair hahaaahhahahahahhaa ile haikua kick.. ndomana alikua/walikua hawataki kuiongelea.... yule mwanamke katembea na Jay z kabla hajamwoa Beyonce 2008
What about Case ?Nampenda sana rihanna,lakini beyonce ananichanganya sana hasa yale macho yake..yaani ana macho flani hivi akikuangalia yaani yapo kama makengeza yaani dah beyonce ana macho flani hivi amaizing
UNAVYOSIMULIA SASA.... utadhani ni mwanao hahahahaaha nazinguaJigga ni kitombi rihanna alishamla zamani sana
Rihanna alikuwa msupu sana wakati ndio anatoka
Sent using Jamii Forums mobile app
ahsante sanaNice narration. Nice story.
-Kaveli-
kuna mwanangu huyo akizingua tu ananipigia coz sjawahi kumuangusha.... najibu anavyotaka, cha umuhimu acontrol mawasiliano tuKuna mwanangu mmoja alinitia majaribuni kihivyo, mkewe anamtafuta hata kwenye simu hapatikani, baadae kwenye maelezo ananijumuisha na mimi. Mkewe ambaye sasa ni x-wife mpaka leo anaiona nahusika kumbe sina makosa yoyote. Washikaji wengine mambo yao sio kabisa.
Mwanangu kinyama last tukikitana manzese dar akizinduka koki ya bomba la maji pale[emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787]UNAVYOSIMULIA SASA.... utadhani ni mwanao hahahahaaha nazingua
kuna mwanangu huyo akizingua tu ananipigia coz sjawahi kumuangusha.... najibu anavyotaka, cha umuhimu acontrol mawasiliano tu
Hata sauti,,acha ile ya kuimba..ana kasauti fulani ka mkwaruzo kwa mbaaali,katamu sana 😀Nampenda sana rihanna,lakini beyonce ananichanganya sana hasa yale macho yake..yaani ana macho flani hivi akikuangalia yaani yapo kama makengeza yaani dah beyonce ana macho flani hivi amaizing
hahahahahaa huyo ni makonda mzee babaMwanangu kinyama last tukikitana manzese dar akizinduka koki ya bomba la maji pale[emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
kuna siku utakwama tuBro code kwangu mimi haiko hivyo. Fanya unavyotaka mimi nakausha wala simwambii mtu, lakini usiniingize kwenye misala yako huo ni utoto
babuuuuu....... mke wa mtu huyoHata sauti,,acha ile ya kuimba..ana kasauti fulani ka mkwaruzo kwa mbaaali,katamu sana 😀
Mkuu sure alikuja manzese na bey alifika geto kwa mfuga mbwa akala ugali fresh na nguruka toka morogoro.hahahahahaa huyo ni makonda mzee baba
Mwanangu nimekuona ujue hahahahahhahahahahahhahahMkuu sure alikuja manzese na bey alifika geto kwa mfuga mbwa akala ugali fresh na nguruka toka morogoro.
We Google utaona[emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
kuna siku utakwama tu
Noma sana kumbe huu wimbo ulimaanisha hivyo?It wasnt me- Shaggy(2002)
Hata ukamatwe juu ya kiuno usije thubutu kukiri[emoji16][emoji16]
YAANI hata kama ukikutwa eneo la tukio kimbiaaa halafu nyumbani unakana ulinifananisha😄😄 . Shaggy ni Baharia Field MarshalNoma sana kumbe huu wimbo ulimaanisha hivyo?
Mimi ndio principle yangu coz najua ukweli huumiza sana bora nimwache kwenye mabano
California love