Jaydee afunga mwaka kwa kuonyesha talaka hadharani

Hata huelewi ulichochangia,kama umemtukana mtu kwa kufanya kile kisicho sawa na mtazamo wako,hapo unakuwa unafanya nn?
Umegundua makosa yako ndio maana umejibu neno kama neno na sio concept
Nani amekupa kazi ya kuwa hakimu as thread za JF? Tatizo kubwa la wasanii wanapenda kulazimisha hata yale yasiyo ya kwao. ...and most of the time they and up in big disasters. Dunia hii ina maelfu ya walioachana...hebu sema kwanini divorce ya kwake unataka kuifanya kama ni ya dhahabu? Njaa mbaya sana
 
Wanaotokwa mapovu humu Ni wanaume wenzangu haahahha jamani tuvumilie tu, namuunga mkono jide huo ni ujasiri. Na hakumuiba gadner sbb siyo zombie wa kupelekesshwa, he followed his heart at that particular time.
Ujasiri wa kutembea uchi anao!!!!
Tuambieni hivi jide ana mtoto?
 
Still looking on previous page? Ushageuka jiwe la,chumvi we kamama.
 
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana unafanana na mleta mada na alopost hyo doc.
 
Kumbe aliolewa na mtaliki ,kweli hamnazo anaweka hadharani cheti kinachoonyesha mume alieachana naye ni mtaliki.
 
Oh God! We unaangalia makaratasi?
Well, achana na makaratasi, nani alipigwa kibuti hadi akafrurastrate akawa analewa hovyo kagonga halafu anakimbizana na matrafiki mjini? Jide or mkojozo?

Haya ni nani alikimbiwa in da house Commando or Marioo?

Nijibu kwanza hayooo....then tuendelee!
 
Bado ana uchungu mtu aliyepumzika kifkra hawezi kaa anarudiarudia kutoa hadharanu, kutunga kutunga nyimbo. Bado huyo BADOO
 
Wanaotokwa mapovu humu Ni wanaume wenzangu haahahha jamani tuvumilie tu, namuunga mkono jide huo ni ujasiri. Na hakumuiba gadner sbb siyo zombie wa kupelekesshwa, he followed his heart at that particular time.
Huyo bsdo anakumbuka ndoa yake, na anawivu jambo lilishaisha leo ya nini
 
Wale mnaopongeza pongeza na kutoka povu mkiwakuta pamoja mtasemaje huyo mama bado anamkumbuka jamaa
 
Post devorce yako uone kama kuna mtu atashtuka!Mnatoka povu mtu kupost vikaratasi vyake,muombeni awapost ninyi sasa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…