Jaydee anastahili heshima lakini asipewe sifa za uongo

Kumbe producer Studio unatusifu, ukifika JF unatuponda hivyo. Kwel ww n snitch
 
Kabla sijakuhukumu nitajie huo ubabahishaji wa zamani ambao sasa haupo
 
Siku nyingine punguza kuropoka pumba mkuu
 
Kumbe producer Studio unatusifu, ukifika JF unatuponda hivyo. Kwel ww n snitch
πŸ˜‚πŸ˜‚ Na wewe huwa unaomba auto-tune? Ila naamini vocal yako ni iko good haihitaji hizo robots.

Njoo tu studio, wala sitakusnitch.
 
Binafsi nimefanya muziki wa Hip Hop. Nimerekodi kwa Amba AB Records na Lamar lakini ilikuwa nikiwasikiliza Wasanii wa zamani naona kabisa siwezi kupenya.
πŸ˜‚ Hip Hop inataka swagger, ukimiss tu hapo inakumwaga. Hapo ungechagua aina ya Hip hop maana ziko tofauti. Kuna ngumu, nyepesi, mnato, n.k.
 
Wakati wa Jaydee wengi walikuwa wanaRap, na ndio maana collabo na hao wanamuziki zilikuwa nyingi tofauti na sasa.
Kwahiyo hizo featuring sio kigezo cha ubora zaidi ya Zuchu, nadhani kama watu wangekuwa wanachana sana kama zamani sidhani kama wangekwepa kumweka Zuchu.

Pia zamani kushirikiana ilikuwa kwa upendo tu, sasa hivi ni biashara. Jaydee alikuwa bora wakati wake na amejenga legacy for years, ila kumlimganisha na Zuchu ambae anatawala era hii ni kumdanganya.
 
Tukubali Zuchu na Jaydee wamefanya mziki kwenye era tofauti, na kila mtu ana style yake yake ya kuandika na kuimba wako tofauti.

Sasa hivi ni ngumu kwa Jaydee kutengeneza shabiki mpya kutokana na aina ya muziki na uimbaji unaofanywa sasa.

Kama ilivyo kwa wacheza mpira Ronaldo si bora kama ilivyokuwa mwanzo, ila heshima yake aliyojenga ipo pale, kimlinganisha na Vinnie sasa hivi ni kumdanganya.

Jaydee hawezi shindana na kina Zuchu, Nandy wakati na akashinda.
 
Mtoe Zuchu wasafi and that girl will be done!
Autotunes, Ngoma aandikiwe, promo apigiwe
Ukali wa msanii unatokana na potential yake na si lebo, kama lebo ingekua na msaada zaidi wasafi kusingekua kuna failure lavalava, queen darlin.
 
Ukali wa msanii unatokana na potential yake na si lebo, kama lebo ingekua na msaada zaidi wasafi kusingekua kuna failure lavalava, queen darlin.

Hatuwezi kupuuzia mchango wa labels kwenye muziki.. labda kama si mtu wa muziki.

Huyo Lavalava anajulikana nchi nzima kwa sababu yupo wasafi.
Meanwhile, kuna wasanii ni wakali sana na hakuna anayewajua kwa kuwa wako label za kijinga.

Remember Rich Mavoko?
Bro, alikuwa relevant akiwa wasafi. Alipotoka tu na habari yake ikaishia hapo.

Sasa hebu imagine Tyga angekuwa wau bila Young Money!
Kendrick angekuwa wapi bila Aftermath au TDE?

So kipaji ni kitu kimoja, ila kufanikiwa na kuwa relevant as a musician ni suala la label au Juhudi nyingi sana za kibinafsi.
 
We jamaa unazeeka.
Tangu uanze kushabikia CCM akili ya afya yako imetwist...
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Embu tafuta albam ya Jide inaitwa Binti. Uisikilize yote. Kama utalinganisha na hao watoto hapo..
 
Kwenye wimbo wa Zuchu mwambieni mwabieni mali yake yaliwa kuna mstari unasema "wape salamu za Betty Mkwasa" ,nilivyosikia tu hapo nikasema 100% huyu Chuchu anaandikiwa nyimbo zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…