Jaydee huu ni utoto sana tena sana

Jaydee huu ni utoto sana tena sana

Jamani King'asti yaishe basi tuko jukwaa huru na si kila kitu tunaweza kukubaliana lazima kuna mahali tuwe na mawazo tofauti, nimeandika hii post kutokana na historia ya jide. Ukinihukumu kwa 'uswahili' bado si tatizo kwangu lakini jaribu kufuatilia hilo tangazo lisikilize halafu utaniambia ...all in all thanx for sharing

After all JIDE ni celeb...celebrities kote duniani lazima wawekwe kiti Moto kwa lolote wafanyalo..liwe zuri..baya..la aibu ama vyovyote. Kwa hiyo kumuandika JIDE jamvini ni kawaida..she chose to be a celebrity kwa hiyo atasemwa tu..!

Mie nakuumga mkono hoja yako...japo sio mfuatiliaji sana wa hawa viumbe..!
 
Daah jamaa wewe..! Mbona unatengeneza somthin out of nothing..? Halafu ujue haya ndo mambo ya wanawake na Lady Jay Dee mwanamke vile vile.. Acha bana..

Hainizuii kuandika kujisikia ninachotaka kukiandika, mtazamo wako ni huo its OK with me...!!!
Naona wengi mmejikita kwenye kipengele cha ndoa yake na kusahau mengine yote niliyoandika, ni hivi nimeandika nongwa na visasi vya jide kwa yeyote anayetofautiana naye kwa lolote... Jaribuni kutafakari msikimbilie kureply bila kuelewa maudhui
 
Hainizuii kuandika kujisikia ninachotaka kukiandika, mtazamo wako ni huo its OK with me...!!!
Naona wengi mmejikita kwenye kipengele cha ndoa yake na kusahau mengine yote niliyoandika, ni hivi nimeandika nongwa na visasi vya jide kwa yeyote anayetofautiana naye kwa lolote... Jaribuni kutafakari msikimbilie kureply bila kuelewa maudhui

Mkuu hiyo ni hulka yake.. Unafahamu kila mtu ana hulka zake ambazo wengine labda zinawakwaza,, Hata wewe una hulka ambazo wengine wanaziona ok but wengine wanaona either its offensive au provocative..

Tatizo hapa ni wewe unashikia bango hulka yake..! Na mbaya zaidi wewe sio mlengwa wa hicho unachokifikiria..
 
Mkuu hiyo ni hulka yake.. Unafahamu kila mtu ana hulka zake ambazo wengine labda zinawakwaza,, Hata wewe una hulka ambazo wengine wanaziona ok but wengine wanaona either its offensive au provocative.. Tatizo hapa ni wewe unashikia bango hulka yake..! Na mbaya zaidi wewe sio mlengwa wa hicho unachokifikiria..
sosoliso sipangani na wewe kwa lolote hapa ni jukwaani tunaanzisha mada ili watu wachangie siwezi kumlimit yeyote kwenye kuchangia chochote, iwe kaponda kasifu au kaunga mkono katoa kijembe katoa maoni yake ni sahihi tu, alimradi havunji sheria na taratibu za jukwaa,

Kwa mfano nimemuelezea alivyo sijashika bango yani sijamlazimisha yoyote aamini ninachoamini mimi...cha kujiuliza kwanini nimemuandika leo na sio siku nyingine yoyote? Mbona habari zake is almost forgotten? Shida moja tuna papara katika kujibu post
 
Nimenunua kitabu cha saikolojia leo hii...na nimekutana na huu uzi nimejikuta nacheka...kinaitwa 'Men are from Mars, Women are from Venus'...yani nasoma kwa bidii ili nisiwe like other 'women'...lol

Kuna sehemu wameandika mwanaume akiwa na tatizo anahitaji time to be alone...mwanamke akiwa na tatizo anahitaji shoga wa kumsimulia....

Ni ukweli mchungu...na ndio maana wanawake wengi wambea...unasimulia na yeye anasimulia na yeye anasimulia...sitaki kuwa na hii tabia ya 'kike' aisee...
 
Nimenunua kitabu cha saikolojia leo hii...na nimekutana na huu uzi nimejikuta nacheka...kinaitwa 'Men are from Mars, Women are from Venus'...yani nasoma kwa bidii ili nisiwe like other 'women'...lol

Kuna sehemu wameandika mwanaume akiwa na tatizo anahitaji time to be alone...mwanamke akiwa na tatizo anahitaji shoga wa kumsimulia....

Ni ukweli mchungu...na ndio maana wanawake wengi wambea...unasimulia na yeye anasimulia na yeye anasimulia...sitaki kuwa na hii tabia ya 'kike' aisee...

Hapo kwa wanaume watakuwa walinitazama mm ndo wakasema hivyo...
Yaani nikiwa na tatizo always napenda kuwa indoor siku nzima
 
Naona wengi mmeamua kumshambulia bwana mshanajr kwa hoja aliyoileta..
Mm niwakumbushe tuu hata mashuleni mlikua mnachambua vitabu ktk fasihi andishi lakini mlichambua pia maudhui hata ktk fasihi simulizi.
Lady Jay Dee nae ni fanani(anafanya kazi ya fasihi) hivyo hapana ubaya/chuki au uswahili mtu kuchambua kazi zake(naamini hata hilo tangazo ni fasihi pia)

So niwaombe msimshambulie mleta mada Bali nanyi chambueni hoja yake kwa kutumia hilo tangazo ili mpinge kwamba anachoamini bwana mshanajr juu ya hilo tangazo si kweli/hakuna mashiko.na sio kukataa kwa maneno mepesi tuu kwamba sio kweli.


Naomba kuwasilisha na naomba samahani kama nitamkwaza mtu.
 
Hainizuii kuandika kujisikia ninachotaka kukiandika, mtazamo wako ni huo its OK with me...!!!
Naona wengi mmejikita kwenye kipengele cha ndoa yake na kusahau mengine yote niliyoandika, ni hivi nimeandika nongwa na visasi vya jide kwa yeyote anayetofautiana naye kwa lolote... Jaribuni kutafakari msikimbilie kureply bila kuelewa maudhui

Naweza kukubaliana na wewe kwa kiasi fulani.
Ni kweli kuwa JD ni mtu wa kulalamika na kulaumu siku zote ktk ujumbe ulio ktk nyimbo zake. Takriban 80% ya nyimbo zake ni malalamiko na mateso ya mapenzi.

Hata jina 'Binti Machozi' lina akisi tabia yake ya kulialia akitumia muziki kufikisha ujumbe kwa walengwa hasa hasa wale walio differ naye.
Ukisikiliza nyimbo zake kwa makini utafahamu hilo. Nyimbo kama: Joto hasira, Siku hazigandi, Wanaume kama mabinti.... n.k, ni kielelezo tosha kuhusu huyu JD.
 
Watu kwa kujistukia! Kwani gadner hana kazi? Si mtangazaji? Huyo ni msanii. Whatever kinachomuingizia hela.acha akitumie. Nyie ndo mna nongwa sasa. Ama diamond ule wimbo 'now show how we do ngololo' alikuwa anamfumbia penny kuwa hajui kuniniliu?
Uswahili mzigo.

Haahahahhahh wifi sikutegemea kucheka kwenye hii thread, ASANTE!!!!:A S 11:
 
Back
Top Bottom