Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
- Thread starter
- #41
Naona wengi mmeamua kumshambulia bwana mshanajr kwa hoja aliyoileta..
Mm niwakumbushe tuu hata mashuleni mlikua mnachambua vitabu ktk fasihi andishi lakini mlichambua pia maudhui hata ktk fasihi andishi.
Lady Jay Dee nae ni fanani(anafanya kazi ya fasihi) hivyo hapana ubaya/chuki au uswahili mtu kuchambua kazi zake(naamini hata hilo tangazo ni fasihi pia)
So niwaombe msimshambulie mleta mada Bali nanyi chambueni hoja yake kwa kutumia hilo tangazo ili mpinge kwamba anachoamini bwana mshanajr juu ya hilo tangazo si kweli/hakuna mashiko.na sio kukataa kwa maneno mepesi tuu kwamba sio kweli.
Naomba kuwasilisha na naomba samahani kama nitamkwaza mtu.
At least Innocizy umekuja na mchango tofauti which is very constructive mengine yote niliyoandika hayakuzingatiwa imezingatiwa ndoa jambo ambalo linaonyesha ni CASE SENSITIVE halafu sasa mtu anataka kukuita mbea kumbe sasa yeye ndio analeta umbea haswaa
BWT hii mada imepata wachangiaji wengi kwa muda mfupi sana kitu kinachoreflect kuwa wanapenda zaidi kusoma habari za watu wengine kuliko mada zenye kufikirisha siwalaumu kwakuwa ndio binadamu walivyo, tuendelee kufuatilia
Last edited by a moderator: