Jaydee huu ni utoto sana tena sana

mwacheni atoe dukuduku lake kwny nyimbo..by the way she z moving on but t seems kaumia sana and that is the character of the strong woman she can say she z ok with a smile on her face but deep inside she is hurting..
 
Unajisumbua kutafsiri kila kitu! Alipo imba wanaume kama binti ulijiuliza amemwimbia nani? Joto hasira? Yahaya? Understanding? Historia? Alikuwa amesha achana na G?
 

A figment of your own imagination. Bs
 
Unajisumbua kutafsiri kila kitu! Alipo imba wanaume kama binti ulijiuliza amemwimbia nani? Joto hasira? Yahaya? Understanding? Historia? Alikuwa amesha achana na G?

Kwahiyo vingine havina tafsiri? Nisome nilichoandika ukielewe naona karibia wote kilichowagusa ni talaka mengine yote niliyoyaandika hamkuyasoma? Kazi yangu ilikuwa kuchokoza mada ili watu wafunguke na kupata mtazamo wao...Ni wazi sasa kuwa talaka ya wawili hawa bado ni ishu kubwa japo imepotea kwenye media na bado watu wana kimuhemuhe cha kuongea lolote
 

Hahaha Kiranga kwa hiki Kinyamwezi ulichotema hapa, ngoja nimwite rafiki yangu Lizaboni anitafsirie.
 
Last edited by a moderator:

nimekupenda bureeee
 

Mario kaenda kuolewa wapi tena, hakuna dhambi kama mwanamke kumlisha mwanaume, muulize adam wa eden.
 
Wazaramo tumkukosea nini?

Taadhima gani inayokufunza ulundike kabila zima kwa tabia fulani dhalili?

Au unakariri uhariri?

Mkuu,

Waswahili wa ukanda wa pwani wazaramo wakiwemo,wanasifika Sana kwa matumizi ya mafumbo katika kuwasiliana kwao.

Tafuta makawa kwenye miji ya wazaramo uone mafumbo yake,sikiliza taarabu yenye asili ya pwani hasa uzaramoni pia.

Hivyo kila wakisikiacho hukitafutia tafsiri hata kama kiko clear kabisa.
 

Mimi mbona Mzaramo na nakupa kitu na box?

Uzaramo ndio unaosababisha mafumbo au kuna kingine?
 
Kiranga akiamua kulipuka huwa hafanyi ajizi,sasa hayo maneno maana yake yapo kwenye dikshenari IPI?
 
Yaani wakati una post huu Uzi ulitegemea kupata misifa. Sasa ndio nini hiki unatuletea? Unakusanya fikra na mitazamo yako ya kimajungu halafu unatushirikisha sisi.
Ova
 
Acha wapondwe tu vijana wanapenda vya bure

Na apondwe tuuu!!
Mwanaume mzima anavunja ndoa yake halali anakimbilia kulelewa?! Mambo yakichacha anaenda kuhifadhiwa kwa ndugu zake!

Kwakweli na apondwe tuuu! (Japo sijakubaliana na mawazo ya mtoa maada)
 
Kumbe wameachana, kweli nipo nyuma kwenye masuala ya maselebu wa bongo!!!

Kwa hiyo anatoka na nani sasa kama yupo singo nijaribu bahati miye nami niimbwe kwenye mijinyimbo yake...
 
Hehehe wifi mie nafurahi umecheka. Kaka akikuletea stress tu uniambie tumnyoroshe kwa rula. Hope uko ok my dear
Haahahahhahh wifi sikutegemea kucheka kwenye hii thread, ASANTE!!!!:A S 11:
 

Wazaramo utawajua tu yaani wanatumia nguvu nyingi kutafuta tafsiri ya vitu ambavyo pengine hata havimaanishi hivyo.


Huyo ni wale watu warefu thana kutoka milima ya northern Tanzania! Chakula kikuu ni viadhi vitamu! Tutake radhi wanzaramu yakhe!
 

Hahaa hata Mimi nimepewa zawadi na mtu! Kina mafunzo makubwa for both sides!
Mwanaume akishindwa kuprovide anayeyusha kwenye less important things, ndiyo sababu unaona wanaume wengi ni walevi kupundukia na mara nyingine hujikita kwny michezo kupotezea!
Kizuri mno!
 
Mario kaenda kuolewa wapi tena, hakuna dhambi kama mwanamke kumlisha mwanaume, muulize adam wa eden.

Hahaaaaaa uwiiiiiiiii umenifurahisha sana! na tena haka kamekua kaugonjwa lately!
kakikupata we ni kujump kutoka kwa independent woman mmoja hadi mwingine tu!
U will never be a real/ responsible man! Anatembea na nguo kwenye gari tu sasa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…