Jaydee huu ni utoto sana tena sana

Jaydee huu ni utoto sana tena sana

Kumbe wameachana, kweli nipo nyuma kwenye masuala ya maselebu wa bongo!!!

Kwa hiyo anatoka na nani sasa kama yupo singo nijaribu bahati miye nami niimbwe kwenye mijinyimbo yake...

Hahaaaaaaa kajaribu bahati huwezi jua
 
Naamini wengi wamesikia tangazo jipya la mgahawa wa Jaydee unaokwenda kwa jina jipya la MOG na kikolombwezo cha LIFE IS TOUGH na mwishowe anamalizia na YAHAYA UNAISHI WAPIII
Wenye kujua mafumbo wanajua anamaanisha nini!!! Jaydee ni mtu wa nongwa sana na anapenda visasi kapitiliza, ukigombana naye hakuachi mpaka akutungie wimbo wa vijembe kafanya hivyo kwa wengi tu wakiwemo Ruge, Mwana FA, na sasa vijembe vyote ni kwa mtalaka wake, sio kwenye mitandao kwenye vyombo vya habari na sasa kwenye matangazo yake

Mkiwa wanandoa hakuna mmoja anaweza kujvunia mafanikio bila ya mwenza wako, hata ile tu kuhisi kuwa nyumbani nina mke au mume ananisubiri hata kama hana kazi inakupa nguvu ya kufanya kazi kwa utulivu na amani

Huyu mtalaka wake alikuwa ni mme wa mtu mwenye ndoa halali na mtoto juu, kwa kutumia influence yake wakati huo ya vijisenti na umaarufu akampoka asiye nguvu mume....akumbuke mtenda hutendwa.....

Aukubali ukweli, we are living in the world of impermanence...! Nothing last forever, yeye si wa kwanza kusuffer broken heart na hatakuwa wa mwisho... It happens always and ever... Na katika maisha huwezi kupata kila kitu ni ukweli mchungu! Vijembe na mafumbo havitabadili ukweli wala kumpunguzia maumivu
ATULIEEEE....! BINTI NYAMBIBO

wewe ndo unaonekana kupenda nongwa,,,

hiyo yahaya ni wimbo wake
life is tough si ni ujumbe tu unaonekana sehemu nyingi san
labda kama kuna zaidi ya hapo tuambiane.
 
Naamini wengi wamesikia tangazo jipya la mgahawa wa Jaydee unaokwenda kwa jina jipya la MOG na kikolombwezo cha LIFE IS TOUGH na mwishowe anamalizia na YAHAYA UNAISHI WAPIII
Wenye kujua mafumbo wanajua anamaanisha nini!!! Jaydee ni mtu wa nongwa sana na anapenda visasi kapitiliza, ukigombana naye hakuachi mpaka akutungie wimbo wa vijembe kafanya hivyo kwa wengi tu wakiwemo Ruge, Mwana FA, na sasa vijembe vyote ni kwa mtalaka wake, sio kwenye mitandao kwenye vyombo vya habari na sasa kwenye matangazo yake

Mkiwa wanandoa hakuna mmoja anaweza kujvunia mafanikio bila ya mwenza wako, hata ile tu kuhisi kuwa nyumbani nina mke au mume ananisubiri hata kama hana kazi inakupa nguvu ya kufanya kazi kwa utulivu na amani

Huyu mtalaka wake alikuwa ni mme wa mtu mwenye ndoa halali na mtoto juu, kwa kutumia influence yake wakati huo ya vijisenti na umaarufu akampoka asiye nguvu mume....akumbuke mtenda hutendwa.....

Aukubali ukweli, we are living in the world of impermanence...! Nothing last forever, yeye si wa kwanza kusuffer broken heart na hatakuwa wa mwisho... It happens always and ever... Na katika maisha huwezi kupata kila kitu ni ukweli mchungu! Vijembe na mafumbo havitabadili ukweli wala kumpunguzia maumivu
ATULIEEEE....! BINTI NYAMBIBO
Mtoa mada umetumwa na Ruge, coz jide kasha achana na clouds na mziki wake still uko juu bila hata ya clouds so una mtakia nn jide wa watu,au kwa kuwa haitumii tena clouds kutangaza mziki wake
 
Mtoa mada umetumwa na Ruge, coz jide kasha achana na clouds na mziki wake still uko juu bila hata ya clouds so una mtakia nn jide wa watu,au kwa kuwa haitumii tena clouds kutangaza mziki wake

1414557727462.jpg
 
Naamini wengi wamesikia tangazo jipya la mgahawa wa Jaydee unaokwenda kwa jina jipya la MOG na kikolombwezo cha LIFE IS TOUGH na mwishowe anamalizia na YAHAYA UNAISHI WAPIII
Wenye kujua mafumbo wanajua anamaanisha nini!!! Jaydee ni mtu wa nongwa sana na anapenda visasi kapitiliza, ukigombana naye hakuachi mpaka akutungie wimbo wa vijembe kafanya hivyo kwa wengi tu wakiwemo Ruge, Mwana FA, na sasa vijembe vyote ni kwa mtalaka wake, sio kwenye mitandao kwenye vyombo vya habari na sasa kwenye matangazo yake

Mkiwa wanandoa hakuna mmoja anaweza kujvunia mafanikio bila ya mwenza wako, hata ile tu kuhisi kuwa nyumbani nina mke au mume ananisubiri hata kama hana kazi inakupa nguvu ya kufanya kazi kwa utulivu na amani

Huyu mtalaka wake alikuwa ni mme wa mtu mwenye ndoa halali na mtoto juu, kwa kutumia influence yake wakati huo ya vijisenti na umaarufu akampoka asiye nguvu mume....akumbuke mtenda hutendwa.....

Aukubali ukweli, we are living in the world of impermanence...! Nothing last forever, yeye si wa kwanza kusuffer broken heart na hatakuwa wa mwisho... It happens always and ever... Na katika maisha huwezi kupata kila kitu ni ukweli mchungu! Vijembe na mafumbo havitabadili ukweli wala kumpunguzia maumivu
ATULIEEEE....! BINTI NYAMBIBO



Mkuu mshana jr usisikie, dushelele lina utamu wake kwa mwanamke...na ukizoea kulila au kulipokea pale unapotaka kisha lije likuponyoke lazima utajiuliza kulikoni au tu utatafuta kisingizio cha kulikashifu na kulitungia wimbo. Nothing is new here. #Dushelele_Oyeee
 
Naona mtoa mada unatumiwa na Ruge kumuchafua jide,mbona hatujaona kosa la jide,au kwa kuwa hajapeleka hilo tangazo clouds? Jide ni msanii mkubwa na isitoshe anajielewe na mziki wake unasikika bila hata clouds, so kama wewe ni shabiki na mdau wa clouds jide huwezi kumuelewa
 
Define 'utoto' na utuambie viashiria vya utoto huanzia wapi na kuishia wapi? Na ni according to who!

Baada ya hapo ndio tutajadili kile alichokifanya jide ni utoto au la.
 
Sanaa mara nyingi is about expressing oneself, na sidhani kama kuna msanii haimbi yale anayokutana nayo au iwe direct au kwa kuona maisha ya wanaomzunguka; tatizo ni la mtafsiri sio la msanii. Ukichagua yakuhusu basi yatakuhusu.
 
Back
Top Bottom