JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

JB ni janga kwa taifa hili....mpeni muda kidogo tu you will prove this..... mbali na hayo mambo ya down to earth ni mzinzi sana na anaharibu sana mabinti pale Quality Centre

acha chuki za kijinga hata ww ukiwa na ela lazima utake kuchukua madem wakal i bet sasa hata kwa kipato chako unasumbua walio chini yako!!!!
 
Maskini JB nimepita juzi juzi pale QC
-Maduka yake yote yamefungwa!
-Savannah No more.
-Restaurant ya Lemon Grass No more.
RIP Baguma.
 
JB ni janga kwa taifa hili....mpeni muda kidogo tu you will prove this..... mbali na hayo mambo ya down to earth ni mzinzi sana na anaharibu sana mabinti pale Quality Centre
Sasa hilo la kabinti linahusiana nn na national Interest?
We umeharibu wangap
 
Hicho chuo kimejaa watumishi hasa wahadhiri waganda ambao professional qualification zao ni questionable.
Sielewi TCU waliwezaje kuwapa ithibati ya kufanya kazi ya kutoa elimu kwa kiwango cha degree bila kuangalia viwango vya elimu vya wahadhiri.

Pia kuna taarifa za wafanyakazi wazawa kubaguliwa na kunyanyaswa na hao waganda wa KIU.
Wanatoa na masters pia mkuu
 
Wengi hujaa kwa namna ya kuwekeza lkn undercover kuna vitu vinaendelea......sio wa kuamini sana wengi wao huwa *sleeper agent*
 
Back
Top Bottom