Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,400
- 320
mbonna huyu mtu ni mtu mzuri ti ingawa alikuwa ni mwana jeshi uko uganda akakosana na mseveni akabwaga akaenda uingereza na badaye akarudi hapa tz akuweza kurudi uganda na ameoa mtanzania dada mmoja wa kihaya wanaishi tegeta wako vizuri kifedha ni tajiri sana
na wewe ni mmoja wa wanaokula upenuni kwake na kuusifia uzuri wake?