JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

Naona wanapiga 'ikulu'... Punguza povu, au na wewe 'unanufaika' kwa namna fulani? Acha watu wajadili, kama mtu anaambukiza ukimwi tusiseme? Mbona mkulu tunamsemaga sana humu, juu ya tabia yake ya 'kuoa usiku-asubuhi anaacha'....

LOL.

Halafu kila kukicha mnajiuliza kwanini Tanzania ni nchi maskini na Ombaomba; wakati ina watu kama huyu MD25 !!?
 
Last edited by a moderator:
kutokwa povu ndio nini?Sorry dude,not all of us entertain misemo isiyo na maana,I mean sio wote tulikulia vichochoroni.Simjui JB na wala sikuwahi kumsikia kabla lakini bahati nzuri nimefika mpakani mwa Tanzania na Uganda na kujionea tofauti ya wafanyakazi na sisi watu wa porojo.kwa mtu yeyote aliyefika mpaka wa Mutukula atakuambia tofauti ya kimaendeleo iliyopo katika upande wa kwetu na ule wa wenzetu wa Uganda.Binafsi roho iliniuma sana pale Mtanzania mwenzangu aliponiomba hela ya Uganda badala ya kitanzania tena katika ardhi ya Tanzania anapofanyia biashara yake ya mgahawa,do you know why?Ni kwamba vitu vingi wananunua sehemu ya Uganda kwa sababu Sehemu ya Tanzania hamna kitu,ni vibanda viwili vitatu tu.Huu ndio ujinga wetu unao nitoa povu.Na hali kama hii inajirudia katika mipaka yetu mingine.Tumelala then wakija wageni wachapakazi tunaanza kuropoka bila sababu za msingi.

Acha uongo. Hiyo ilikuwa mwaka gani? naanza kuhisi wewe ni muongo.
Upande wa Tanzania serikali iliwafukuza wakazi wote waliokuwa wanafanya biashara mpakani miaka mingi tu imepita sasa ni kibanda gani unachosema? Kumbe unazungumzia habari za miaka 10 iliyopita?
Vibanda vya kibiashara viko upande wa uganda tu.
 
Acha uongo. Hiyo ilikuwa mwaka gani? naanza kuhisi wewe ni muongo.
Upande wa Tanzania serikali iliwafukuza wakazi wote waliokuwa wanafanya biashara mpakani miaka mingi tu imepita sasa ni kibanda gani unachosema? Kumbe unazungumzia habari za miaka 10 iliyopita?
Vibanda vya kibiashara viko upande wa uganda tu.
Nimepita mwaka jana,uongo wangu uko wapi?Huwezi kulinganisha upande wa Tanzania na ule wa Uganda.Upande wa Uganda pamoja na kwamba kwa kipindi kirefu ulikuwa hauna umeme lakini bado maduka,hoteli,migahawa na hata benki viliendelea kujengwa.Miaka kumi ya wapi ?Kama private commercial bank inaweza kufungua tawi lake upande wa Uganda wakati the same bank imeona haina haja kufungua tawi hata Bukoba mjini,yaani bado tu hupati picha ya tofauti kwenye suala la kimaendeleo...
Si mpaka wa Mtukula tu,jaribu kwenda Sirari au Namanga ujionee tofauti ya uchangamfu kibiashara katika upande wetu na upande wa majirani zetu...Unapoona benki upande wa mwenzako halafu kwako hakuna sijui unapata picha gani kibiashara?Au unao ni uongo?
 
walimu karibu wote ni waganda watanzania ni 4 ajira gani unayozungumzia ? Kusafisha vyoo na
Anazungumzia hizo ajira 4 au zenyewe si ajira?Wewe ulitaka aajiri watu wanaoshinda wakipiga simu za mambo yao binafsi badala ya kufanya kazi wakati yeye anafanya biashara.Kama elimu ya waganda ni questionable,je ya hao wakwetu itakuwaje?
 
Mzee Mwanakijiji.

Mbona Wazungu matajiri wa Tanzania utaki kufahamu habari zao wewe na weusi tu.

Mbona hujauliza yule Mzungu mmiliki wa Hoteli ya Sleep Way, ni nani na anafanya nini Tanzania.

Ritz, mbona mjadala huu unakukwaza sana....You are unnecessarily giving people more doubts kuhusu JB.....
Kwa mfuatiliaji wa michango yako hapa JF, atajua kwamba kuna kitu unakijua kuhusu JB, na usingependa watu waendelee kuchimba zaidi!
 
Kuna jina limekuwa likirushwa rushwa kwenye mazungumzo juu ya raia mmoja wa Kiganda ambaye anakwenda kwa kutumia initials za "JB". Does anybody know who he is and what has he been doing in Tanzania na kama in anyway shape or form anaweza kuwa ni tatizo kwa Tanzania?

mkuu provide details. Whats wrong with the name? We ulisikia nini bga kukupa wasi wasi?
 
Kuna jina limekuwa likirushwa rushwa kwenye mazungumzo juu ya raia mmoja wa Kiganda ambaye anakwenda kwa kutumia initials za "JB". Does anybody know who he is and what has he been doing in Tanzania na kama in anyway shape or form anaweza kuwa ni tatizo kwa Tanzania?
Ninachokijua kuhusu huyu bwana ni kwamba alipokuja Tanzania kufanya biashara, alitambulishwa kwa JK na Mseveni na baadaye akatambulishwa kwa mmiliki wa Paradise hotels. Akapata mkopo na kuanza ku-operate baa kwenye hoteli za paradise. Mwaka jana umoja wa mataifa na serikali ya Marekani walianza kufuatilia assets za mmiliki wa Paradise Hotel kutokana na tuhuma kuwa alikuwa anafadhili mtandao wa maharamia. Jamaa akapata wasiwasi kuwa assets zake zingechukuliwa kwahiyo Paradise City Hotel ikabadilishwa jina ghafla kuitwa JB Belimonte.
 
Ninachokijua kuhusu huyu bwana
ni kwamba alipokuja Tanzania kufanya biashara, alitambulishwa kwa JK na
Mseveni na baadaye akatambulishwa kwa mmiliki wa Paradise hotels.
Akapata mkopo na kuanza ku-operate baa kwenye hoteli za paradise. Mwaka
jana umoja wa mataifa na serikali ya Marekani walianza kufuatilia assets
za mmiliki wa Paradise Hotel kutokana na tuhuma kuwa alikuwa anafadhili
mtandao wa maharamia. Jamaa akapata wasiwasi kuwa assets zake
zingechukuliwa kwahiyo Paradise City Hotel ikabadilishwa jina ghafla
kuitwa JB Belimonte.

duh!kumbe ni huyo!
 
hapa nilikuwa namtofautisha jb na wale wafanyakazi lukuki waliopo nchini kinyume cha sheria!

Kuhusu magumashi sina uhakika ila ukiangalia kasi ya kumiliki chain stores na ile hotel iliyokuwa paradise... Lazima kutakuwa na namna!

freemason!
 
Nimepita mwaka jana,uongo wangu uko wapi?Huwezi kulinganisha upande wa Tanzania na ule wa Uganda.Upande wa Uganda pamoja na kwamba kwa kipindi kirefu ulikuwa hauna umeme lakini bado maduka,hoteli,migahawa na hata benki viliendelea kujengwa.Miaka kumi ya wapi ?Kama private commercial bank inaweza kufungua tawi lake upande wa Uganda wakati the same bank imeona haina haja kufungua tawi hata Bukoba mjini,yaani bado tu hupati picha ya tofauti kwenye suala la kimaendeleo...
Si mpaka wa Mtukula tu,jaribu kwenda Sirari au Namanga ujionee tofauti ya uchangamfu kibiashara katika upande wetu na upande wa majirani zetu...Unapoona benki upande wa mwenzako halafu kwako hakuna sijui unapata picha gani kibiashara?Au unao ni uongo?

Hivi hakuna CRDB Bank pale getini Namanga?
 
Ninachokijua kuhusu huyu bwana ni kwamba alipokuja Tanzania kufanya biashara, alitambulishwa kwa JK na Mseveni na baadaye akatambulishwa kwa mmiliki wa Paradise hotels. Akapata mkopo na kuanza ku-operate baa kwenye hoteli za paradise. Mwaka jana umoja wa mataifa na serikali ya Marekani walianza kufuatilia assets za mmiliki wa Paradise Hotel kutokana na tuhuma kuwa alikuwa anafadhili mtandao wa maharamia. Jamaa akapata wasiwasi kuwa assets zake zingechukuliwa kwahiyo Paradise City Hotel ikabadilishwa jina ghafla kuitwa JB Belimonte.

Salute Mkuu.

mtu hawezi kuwa tajiri from nowhere at no time. There is always a sinister behind. JB seems to be a mere front.
 
Hicho chuo kimejaa watumishi hasa wahadhiri waganda ambao professional qualification zao ni questionable.
Sielewi TCU waliwezaje kuwapa ithibati ya kufanya kazi ya kutoa elimu kwa kiwango cha degree bila kuangalia viwango vya elimu vya wahadhiri.

Pia kuna taarifa za wafanyakazi wazawa kubaguliwa na kunyanyaswa na hao waganda wa KIU.

huelewi?

amka mkuu...that is the power of money!!!

ukisikia pesa inahamisha milima ndiyo maana yake hiyo..mbele ya pesa, TCU wala si mlima ni kichuguu tu!

Kwani wale waliotuhumiwa na Kainerugaba Msemakweli na kitabu wakatungiwa kwa kuwa na vyeti feki, wameishia wapi..akina Dk. Makongoro Mahanga, bado wanapeta..ndiyo nguvu ya manoti pesa hiyo.
 
mwanakijiji@jamiiforums.com
Binafsi NAKERWA, NAKASIRISHWA, NA KUCHUKIZWA sana na haya mambo kwamba eti "ameshauriwa vibaya na wasaidizi wake!" Huwa mara zote najiuliza ikiwa anashauriwa vibaya ni kwanini basi kila wakati awe anachukua huo ushauri mbaya!! - NasDaz?

In our new Constitution let it be read that "If at anytime, anyhow, will the head of state assent any view, directive, suggestion or any of the like and that the head of state acts on those as mentioned and of the like and then thereafter recognizes he has/had been led in the wrongful way to assent that/those decissions, that head of state will have to sack those who led hi/her that way. If the head of state shall not act on those within twenty one days of his/her knowledge then he/she will have to resign as the head of state. The State shall be then under the Vice President who automatically shall be sworn in as Head of State within seven days.

Labda itasaidia kuwakumbusha hawa wakubwa kuwa na sisi wananchi tunachukizwa sana na vitendo vyao vya kujifanya miungu watu mara wanapokuwa madarakani.

 
Back
Top Bottom