JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

Nimefurahi sana wabongo tulivyo...

Ana HIV
Alikua jambazi
Alikosana na M7
Anakwepa kodi
Ana...
Ana...

Hivi ule msemo wa Benjamin W Mkapa kuwa wa Tanzania ni mbilikimo wa mawazo na wavivu wa kufikiri ni kweli?
Kuna mmoja anaandika eti ukimwona tu unamjua ni mgonjwa! KHAAA are we that low?

JB is not married to Lilian. Wanaishi pamoja tu.

Kuhusu biashara zake ni kweli zinakua kwa kasi. Ila sijui kama ni za halali au hapana.

Kwanini wabongo tunapenda uongo? kama hujui si unyamaze tu?
 
Nimefurahi sana wabongo tulivyo...

Ana HIV
Alikua jambazi
Alikosana na M7
Anakwepa kodi
Ana...
Ana...

Hivi ule msemo wa Benjamin W Mkapa kuwa wa Tanzania ni mbilikimo wa mawazo na wavivu wa kufikiri ni kweli?
Kuna mmoja anaandika eti ukimwona tu unamjua ni mgonjwa! KHAAA are we that low?

JB is not married to Lilian. Wanaishi pamoja tu.

Kuhusu biashara zake ni kweli zinakua kwa kasi. Ila sijui kama ni za halali au hapana.

Kwanini wabongo tunapenda uongo? kama hujui si unyamaze tu?
mkuu ulivyoanza nkajua unatoa jibu la MMKJ kumbe umerudi pale pale, JB mganda ni nani hapa TZ?
 
mkuu ulivyoanza nkajua unatoa jibu la MMKJ kumbe umerudi pale pale, JB mganda ni nani hapa TZ?

Zumbemkuu,

Nimekuwepo muda mrefu sana kwenye internet, najua madhara ya kuchafuana majina humu. Nina mengi ninayajua kuhusu JB ila yote ni ya kusikia, sina uhakika navyo.

Mie sio mdaku wala mdakuzi. Siwezi kuandika hearsay huku na m damage mshikaji mtandaoni. I am not a kiddo. Wala sitafuti cheap popularity humu.

Siku njema

FP
 
mkuu FairPlayer
huo udaku sio mbaya wengine tukiujua, kama huta'mind uni'pm, napenda sana nimfaham huyu mtu, mbona wengine wengi wafanyabiashara toka mataifa ya nje wasitajwe atajwe yeye, kunanini nyuma ya pazia? MMKJ katuachia kitendawili kizito mno.
 
Last edited by a moderator:
Nimefurahi sana wabongo tulivyo...

Ana HIV
Alikua jambazi
Alikosana na M7
Anakwepa kodi
Ana...
Ana...

Hivi ule msemo wa Benjamin W Mkapa kuwa wa Tanzania ni mbilikimo wa mawazo na wavivu wa kufikiri ni kweli?
Kuna mmoja anaandika eti ukimwona tu unamjua ni mgonjwa! KHAAA are we that low?

JB is not married to Lilian. Wanaishi pamoja tu.

Kuhusu biashara zake ni kweli zinakua kwa kasi. Ila sijui kama ni za halali au hapana.

Kwanini wabongo tunapenda uongo? kama hujui si unyamaze tu?

Naona wanapiga 'ikulu'... Punguza povu, au na wewe 'unanufaika' kwa namna fulani? Acha watu wajadili, kama mtu anaambukiza ukimwi tusiseme? Mbona mkulu tunamsemaga sana humu, juu ya tabia yake ya 'kuoa usiku-asubuhi anaacha'....
 
Mzee Mwanakijiji,

Mr Justus Baguma, a Ugandan entrepreneur in Tanzania, owns the JB Belmont, Savannah and some shops at Quality Centre and has also been elected the chairman of the Ugandan Community in Tanzania.

He is a self-proclaimed self made man and attributes his success to hard work... Whether "hard work" means "trouble for Tanzania" I don't know....

Dah ningekuwa nimesoma uzi huu kabla si ninge'add marks kwenye paper yangu ya Entrepreneurship niliyo'submit leo,kweli humu kuna elimisha.
 
Naomba nitofautiane na wewe, huyu ni MWEKEZAJI!

Ametoa ajira lukuki kwa wa~Tanzania tofauti na hao Wafanyakazi wa kigeni WACHINA/WAHINDI/WAPAKISTAN etc. zaidi ya 10,000 wanaokaa na kufanya kazi zinazoweza kufanywa na Wa-Tanzania!

Naunga mkono hoja hapo kwenye bold. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Jamaa kawekeza sana nchini na kutoa ajira

Tusker Bariiiidi kwahiyo unataka kutuhakikishia kwamba Justus Baguma anaishi na kufanya biashara nchini kihalali? Hafanyi magumashi kama wanavyofanya wengine?

Iwapo vitegauchumi vyake vimesajiliwa kihalali na mamlaka husika na analipa kodi stahiki, basi afanyacho ni halali. Lakini kama hajafikishwa mahakamani kwa kuishi kinyume na sheria na kukwepa kodi then tumwache aendelee kuajiri vijana wetu katika vitega uchumi vyake! Nukta
 
Tufike mahali tutetee ajira zetu mtamzania huwezi kwenda uganda au kenya,india ukapewa kazi hata kama unavigezo sheria zao zinasema wazawa kwanza kwanini hapa kwetu tusiitumie hiyo sheri watanzania wengi wamesoma vizuri lakini hawana kazi na hizo kazi wanapewa wageni ambao hawana vigezo tutafika mahali tutatawaliwa ndani ya nchi yetu
 
naunga mkono hoja hapo kwenye bold. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Jamaa kawekeza sana nchini na kutoa ajira



iwapo vitegauchumi vyake vimesajiliwa kihalali na mamlaka husika na analipa kodi stahiki, basi afanyacho ni halali. Lakini kama hajafikishwa mahakamani kwa kuishi kinyume na sheria na kukwepa kodi then tumwache aendelee kuajiri vijana wetu katika vitega uchumi vyake! Nukta

walimu karibu wote ni waganda watanzania ni 4 ajira gani unayozungumzia ? Kusafisha vyoo na
 
Kuna jina limekuwa likirushwa rushwa kwenye mazungumzo juu ya raia mmoja wa Kiganda ambaye anakwenda kwa kutumia initials za "JB". Does anybody know who he is and what has he been doing in Tanzania na kama in anyway shape or form anaweza kuwa ni tatizo kwa Tanzania?

MMMJ

Utafiti wako wa MERLEI BALHABOU uliishia wapi?
 
walimu karibu wote ni waganda watanzania ni 4 ajira gani unayozungumzia ? Kusafisha vyoo na

Soma kwanza michango ya wenzako kabla hujaandika.
Hakuna mahali katika thread hii palipoandikwa kwamba JB anamiliki shule na kaajiri Waganda wenzake. Tunajadili hoteli na maduka ambayo kaajiri vijana kibao.
Jipange!
 
Tusker bariidi inaonekana unamfahamu vizuri JB but not deep,huyo JB ni partner mkubwa wa msomali wa city garden na hata hayo ma-hotel unayosema kama paradise hotel ya bagamoyo ni mali za msomali wa Tansoma Hotel,huyo msomali yuko na pesa na ame-invest kwenye kila aina ya biashara but ghafla Ame-dissapear hata some of his properties zime-undergo name changes na umiliki ghafla na source kubwa za utajiri wake wa haraka ni Pirate money.
 
Tusker bariidi inaonekana unamfahamu vizuri JB but not deep,huyo JB ni partner mkubwa wa msomali wa city garden na hata hayo ma-hotel unayosema kama paradise hotel ya bagamoyo ni mali za msomali wa Tansoma Hotel,huyo msomali yuko na pesa na ame-invest kwenye kila aina ya biashara but ghafla Ame-dissapear hata some of his properties zime-undergo name changes na umiliki ghafla na source kubwa za utajiri wake wa haraka ni Pirates money.
 
Nimefurahi sana wabongo tulivyo...

Ana HIV
Alikua jambazi
Alikosana na M7
Anakwepa kodi
Ana...
Ana...

Hivi ule msemo wa Benjamin W Mkapa kuwa wa Tanzania ni mbilikimo wa mawazo na wavivu wa kufikiri ni kweli?
Kuna mmoja anaandika eti ukimwona tu unamjua ni mgonjwa! KHAAA are we that low?

JB is not married to Lilian. Wanaishi pamoja tu.

Kuhusu biashara zake ni kweli zinakua kwa kasi. Ila sijui kama ni za halali au hapana.

Kwanini wabongo tunapenda uongo? kama hujui si unyamaze tu?
kuwa waongo kwa wabongo inatokana na wabongo wengi kuwa wavivu wa kufanya kazi ivyo wanakuwa waongo waweze kula
 
Hicho chuo kimejaa watumishi hasa wahadhiri waganda ambao professional qualification zao ni questionable.
Sielewi TCU waliwezaje kuwapa ithibati ya kufanya kazi ya kutoa elimu kwa kiwango cha degree bila kuangalia viwango vya elimu vya wahadhiri.

Pia kuna taarifa za wafanyakazi wazawa kubaguliwa na kunyanyaswa na hao waganda wa KIU.


TCU wataiweza KIU ikiwa tu watafahamu ile ardhi waliyojenga KIU ni ya nani
 
Back
Top Bottom