JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

Duh; bado naona watu wanazunguka mbuyu tu... haya bana.. ngoja siye tuendelee kupiga soga
 
Mimi nadhani hoja ni nzuri kama alivyoiweka ni wajibu wa kila moja kufanya utafiti kujua ukweli.Kama ataweka conclusion atakuwa ametufunga kimawazo na kimtazamo.Watu mbalimbali tunalifanyia kazi maana watu wengi hupenda kutafuniwa kila kitu
 
JB ni janga kwa taifa hili....mpeni muda kidogo tu you will prove this..... mbali na hayo mambo ya down to earth ni mzinzi sana na anaharibu sana mabinti pale Quality Centre

Tatizo siyo la JB bali kwa hao mabinti wanaoenda kwake.
 
American Sound Inc???
 
Mwanakijiji habari yako haijakamilika kwa uwa inaacha maswali mengi kuliko majibu, na umeiandika katika lugha ya kijiweni kwa mimi nasikitika kuiita habari hiyo ni majungu na siko tayari kuchangia upuuzi huo zaidi ya kukuambia tumia lugha fasaha kuwasilisha usemacho kama hujui kiswahili andika hicho kiingereza chako na kama hujui kiingereza fasaha andika kiswahili fasaha.

angalau na wewe umeongeza idadi ya post zako... Hongera sana.
 
Kwenye records za BRELA kuna makampuni kadhaa yenye majina yanayoanza na JB na makampuni hayo yamesajiliwa kuanzia mwaka 2007 ila sina uhakika kama yana uhusiano na huyo Mganda

[TABLE="class: MsoNormalTable, width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 10%, bgcolor: transparent"]60146[/TD]
[TD="width: 68%, bgcolor: transparent"]JB VENTURE SOLUTIONS LIMITED[/TD]
[TD="width: 10%, bgcolor: transparent"]27/04/2007[/TD]
[TD="width: 11%, bgcolor: transparent"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 10%, bgcolor: transparent"]60259[/TD]
[TD="width: 68%, bgcolor: transparent"]JB FLORA LIMITED[/TD]
[TD="width: 10%, bgcolor: transparent"]08/05/2007[/TD]
[TD="width: 11%, bgcolor: transparent"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 10%, bgcolor: transparent"]62598[/TD]
[TD="width: 68%, bgcolor: transparent"]JB LAB MAINTENANCE LTD[/TD]
[TD="width: 10%, bgcolor: transparent"]18/10/2007[/TD]
[TD="width: 11%, bgcolor: transparent"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 10%, bgcolor: transparent"]66328[/TD]
[TD="width: 68%, bgcolor: transparent"]JB TRANSPORTES AND TOURS OPERATORS CO LIMITED[/TD]
[TD="width: 10%, bgcolor: transparent"]02/07/2008[/TD]
[TD="width: 11%, bgcolor: transparent"]incorporation[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 10%, bgcolor: transparent"]66875[/TD]
[TD="width: 68%, bgcolor: transparent"]JB FINANCIAL SUPPORT LIMITED[/TD]
[TD="width: 10%, bgcolor: transparent"]04/08/2008[/TD]
[TD="width: 11%, bgcolor: transparent"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 10%, bgcolor: transparent"]67500[/TD]
[TD="width: 68%, bgcolor: transparent"]JB ELECTRONICS & GENERAL TRADERS CO. LIMITED[/TD]
[TD="width: 10%, bgcolor: transparent"]16/09/2008[/TD]
[TD="width: 11%, bgcolor: transparent"]incorporation[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 10%, bgcolor: transparent"]67801[/TD]
[TD="width: 68%, bgcolor: transparent"]JB NTIRUGELEGWA CO. LIMITED[/TD]
[TD="width: 10%, bgcolor: transparent"]07/10/2008[/TD]
[TD="width: 11%, bgcolor: transparent"]incorporation[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 10%, bgcolor: transparent"]114918[/TD]
[TD="width: 68%, bgcolor: transparent"]JB INDEPENDENT[/TD]
[TD="width: 10%, bgcolor: transparent"]24/09/1997[/TD]
[TD="width: 11%, bgcolor: transparent"]incorporation[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 10%, bgcolor: transparent"]115248[/TD]
[TD="width: 68%, bgcolor: transparent"]JB MODERN ENTERPRISES[/TD]
[TD="width: 10%, bgcolor: transparent"]27/10/1997[/TD]
[TD="width: 11%, bgcolor: transparent"]incorporation[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 10%, bgcolor: transparent"]73419
[/TD]
[TD="width: 68%, bgcolor: transparent"]JB HOSPITALITY LIMITED
[/TD]
[TD="width: 10%, bgcolor: transparent"]28-Oct-09[/TD]
[TD="width: 11%, bgcolor: transparent"]incorporation[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 10%, bgcolor: transparent"]78202[/TD]
[TD="width: 68%, bgcolor: transparent"]JB ADVERTISE & PROMOTION CO. LIMITED[/TD]
[TD="width: 10%, bgcolor: transparent"]26/08/2010[/TD]
[TD="width: 11%, bgcolor: transparent"]incorporation[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Hiyo hii ndiyo inamilikiwa na Justus Baguma,
[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD="width: 68%, bgcolor: transparent"]JB HOSPITALITY LIMITED
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

JB ndiyo anayeendesha Bar zote katika hoteli za Paradise. Hoteli za Paradise zinamilikiwa na wasomali ambao huwa hawauzi pombe kwa hiyo waliingia makubaliano na JB kuendesha migahawa itakayo kuwa inauza pombe kwenye hoteli zote zinzzomilikiwa na Paradise na East Africa hotel, migahawa hiyo huitwa SAVANNAH.

Siku za karibuni JB ameuziwa Paradise Hotel iliyokuwa Mkapa Tower na kuibadili jina kuuita JB Belmont. Pia amefungua chain of businesses pale Quality Centre.

Ameishi na kusoma UK, London kwa muda mrefu alikuwa na biashara zake huko kabla ya kuja Tz na kufungua Chicken Hut.

Nachokumbuka mimi siku moja nilikuwa Savannah nikiwa narafiki yangu Doctor tukiwa tumekaa pembeni ya meza aliyokuwa amekaa, nikamuonyesha rafiki yangu mmiliki wa Savannah naye pale plae alisema huyo jamaa naye muonyesha ni mgonjwa kwa kumuangalia tu, nilishangaaa kwa comment yake hiyo ila yeye alisisitiza jamaa atakuwa kaathirika na kuniuliza kama toka nimemfahamu nimewahi kumuona na nywele ndefu zaidi ya kipara kitu ambacho sikuweza kuthibitisha.

Siyajui mabaya yake all i can say huyu jamaa ni mfanyabiashara mkubwa anayekuja kwa kasi Tanzania.
 
Hiyo hii ndiyo inamilikiwa na Justus Baguma,
[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD]JB HOSPITALITY LIMITED[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

JB ndiyo anayeendesha Bar zote katika hoteli za Paradise. Hoteli za Paradise zinamilikiwa na wasomali ambao huwa hawauzi pombe kwa hiyo waliingia makubaliano na JB kuendesha migahawa itakayo kuwa inauza pombe kwenye hoteli zote zinzzomilikiwa na Paradise na East Africa hotel, migahawa hiyo huitwa SAVANNAH.

Siku za karibuni JB ameuziwa Paradise Hotel iliyokuwa Mkapa Tower na kuibadili jina kuuita JB Belmont. Pia amefungua chain of businesses pale Quality Centre.


Hiyo ilikuwa ni hoteli ya nani au alinunua kutoka kwa nani?
 
Mwanakijiji habari yako haijakamilika kwa uwa inaacha maswali mengi kuliko majibu, na umeiandika katika lugha ya kijiweni kwa mimi nasikitika kuiita habari hiyo ni majungu na siko tayari kuchangia upuuzi huo zaidi ya kukuambia tumia lugha fasaha kuwasilisha usemacho kama hujui kiswahili andika hicho kiingereza chako na kama hujui kiingereza fasaha andika kiswahili fasaha.

It is the content that counts........ ndo maana wenzio tumeelewa na wadau wanaweka data hapa. Huyu mzee sio editor na ndio maana kuna watu wa fani hiyo...... after all this is not for publication purposes so kama vipi get back to your employers expectations......m sorry if I sound harsh
 
Ukombozi bado tunasafari ndefu sana,yaani kuna polis wanachukua pesa kwa watu wasio na vibari?
JK ana kazi ngumu mno kutuletea maendeleo kama baadhi ya watendaji wake wanafanya isivyo halali.
 
JB ni janga kwa taifa hili....mpeni muda kidogo tu you will prove this..... mbali na hayo mambo ya down to earth ni mzinzi sana na anaharibu sana mabinti pale Quality Centre

kama wanakubali wenyewe there is nothing wrong with it, angekua anawabaka labda kwa mdomo wa bastola then tungem discuss! huo ndio urithi wa waafrika wakipata pesa!
 
Unaposoma comments za wachangiaji wa hii Thread unazidi kupata picha halisi ya elimu yetu na uwezo wa kufikiri.Mtu anaandika kuwa JB ni janga la taifa(huu nao umekuwa msemo ambao kila asiye na hoja anautumia kuficha utupu wake) bila kutoa sababu yoyote.Wengine wanadai Kasi ya JB inatisha,haya ni madhara ya watu kuzoea kasi ya kobe,kila kitu foleni,mipango kuchukua miaka mingi kuliko utendaji.Uvivu wetu unazidi kukua kwa kasi kwa hio wakija wageni wakaona nafasi za kukua kwa biashara zao hapa Tanzania tunaishia kwenye porojo zetu za kila siku ilhali ripoti zote za kimataifa zinaonesha kuwa tunaongoza kwa uzembe kwenye EAC.


hamna anayekataa kuwa huyu bwana si tajiri,wala anayepinga kuwa ni mfanya biashara maarufu na mwenye elimu lakini hayo yote haya wazuii watanzania kuhoji kama biashara zake zinaendeshwa kwa kufuata misingi ya kibiashara hasahasa kulipa KODI, pia kama mwenendo wake binafsi pia ni hatari kwa vijana wetu hasa wa kike, hatupaswi kumshabikia tuu kisa eti ni MFANYA BIASHARA MAKINI, Kumekua na tabia ya wageni wengi kupewa upendeleo katika biashara zao na dora yetu na huu ndo msingi wa watu kuhoji mwenendo wa biashara na utajiri wake,Kabla wapakstani hawajajua kama pale alipokamatwa osama yalikua makazi yake, wengi wa maeneo yale walisema ile nyumba ilikuwa inamilikiwa na mfanyabiashara mpole asiye na makuu wala bugudha kwa majilani,Kumbe ni GAIDI namba moja OSAMA BIN LADEN,kwaiyo nashauli tuepuke kuhalalisha mambo na kudharau shaka na hoja za watanzania wenzetu.
 
life005px.jpg

In the "haven of peace" that is Dar es Salaam, is the Benjamin William Mkapa Pension Tower, the tallest skyscraper in this commercial capital of Tanzania that houses the famous Paradise City Hotel. The hotel is owned by a Ugandan entrepreneur, Justus Baguma, who at the height of the East African community talk in 2003, stepped on Tanzanian soil, and two years later, established the four-star hotel after leasing the multi-million US dollar complex from Tanzania's National Social Security Fund (NSSF).

"I love to serve and I love good things," Mr Baguma reveals the drive behind his hotel business. "I have lived in most expensive hotels and I always wanted to own mine, and today, I employ about 200 people in this country."

Chanced meet

On a business trip to Tanzania early this year, I booked into the 72-suite hotel, clueless it's owned by a Ugandan. On the third day of my stay, I jumped into the lift to go to my room on the sixth floor, and therein met a man who greeted me politely and asked how I was finding it at the hotel. With the ergonomic facilities I had enjoyed from day one, and the fantastic continental breakfast I had just consumed and the sweet smile of waitress that served me still etched on my mind, I found myself saying: "This place's sure a paradise away from home!"

Turns out, I was speaking to the managing director of the hotel himself! And when he learned I'm Ugandan, he shook my hand excitedly, and invited me to his office where we spoke, like long-lost-finally-reunited-buddies, on life back home.

Ingredients to success

From his unassuming and friendly disposition, it was easy to figure out why it's difficult for such a man to fail. Baguma is a "man of the people" who prefers "dealing with ordinary people because they can be trained and trusted to do a better job than professional managers that always walk out on you."

The husky-voiced hotelier was born in Mbarara, 62 years ago, and studied business at Kyambogo. In 1986, he went to the United Kingdom for a Masters degree in Business Studies.

"A rocky road to success, rags to riches –that's me," he says quietly. "I'm a self-made man. I believe in hard work. I believe in comparing notes and I believe in challenges."

The greatest ingredient to success, he said, is guts. The guts to take tough decisions, the guts not to quit when the going gets rough. Blunders characterised his early business days. "I used to get excited," he confesses, "I would involve people in all sorts of business ventures without doing thorough research. We would lose all our money and they would blame me. That was my major challenge until I decided to do it alone."

In 2001, Baguma attempted to bring McDonalds, the American fast food chain to Uganda, but it didn't work. He retreated to the drawing board and made another strategy that birthed Paradise City Hotel. He uses the metaphor of death to describe the investment mistakes from which the real business men rise to make it.

Experience has also taught him that generosity is invaluable. "Someone comes and says ‘I want to stay here, but I don't have that kind of money.' What do you do? You have workers to pay, and rent, but you look at the empty room and give him accommodation."
 
Story za aina hii nzuri kweli kama watasimuliwa kina Obama kwenye mkutano wao wa G8. Kuwa tajiri sio tatizo na kwa kweli tunahitaji watu wenye uwezo wa kufanya biashara na kutengeneza mitaji na ajira. Lakini Tanzania ina watu wendawazimu sana. Mtu akishakuwa na hela basi asisemwe wala kuguswa hata kama hela zake zinapatikana pasipo uhalali. Sio busara kumuonea wala kumsingizia mtu. Ila penye ukweli lazima pia usemwe....nyinyi mliozoea kuimba sifa za matajiri na wenye hela endeleeni tu maana hata Akudo, Twanga pepeta, diamondo soundo wanaifanya kwa uastadi mkubwa kazi hiyo ya kuimbia wenye pesa mjini, kama kina Papaa Msofe na Ndama mtoto wa ng'ombe.
So what's your point?Tuendeleze kasumba yetu ya kila tajiri ni fisadi ama freemason kwa sababu ujamaa hautaki matajiri?
 
Okay, JB = Justus Baguma,,,,,,!!??
We Ikorogo Le Kurya, unajuwaje ni Justus Baguma na siyo Otoigo au Mwita Marwa au Warwa! Inawezekana maana majina mengi ya Kiganda hasa hasa ya Banyankole yana fanana sana na ya Kihaya. Nakumbuka kuna agency fulani ilkuwa inahusika sana na mambo haya ya Real Estate ilikuwa na initials hizo hizo (JB) na walikuwa ni Waganda, niliwahi kwenda kwao kuhulizia nyumba fulani walio kuwa wanahuza - nilipo fika pale nilikuta wana zungumza Kiganda na wenzake niliwasikia vyema waliyo kuwa wanazungumza, nilipo wasalimia kiganda na kuwahuliza maswali kwenye lugha hiyo hiyo walishtuka SANA.
 
@ EngMtolera

Swali hili sio la YES or NO as litahitaji justification for watever the response may be.........!!!!!!!!

Mleta uzi kaanzisha na wadau wanachangia kwa kadri wajuavyo.......je ni reliable answers???
I hope mtoa mada ana cross check haya majibu na taarifa aliyo nayo ili kutuletea taarifa kamili......NA ANA WAJIBU HUO

MzeeMwanakijiji...........you compiled report is highly expected
 
kama wanakubali wenyewe there is nothing wrong with it, angekua anawabaka labda kwa mdomo wa bastola then tungem discuss! huo ndio urithi wa waafrika wakipata pesa!

Mkuu hii inatisha! Hivi sisi kama Watanzania hatuna wajibu wa kukemea mambo machafu kama hayo? Nenda Uchina ufanye mambo kama hayo kama utatwangwa risasi - nchi nyingine ziko serious kuwalinda raia WAO dhidi ya watu waharibifu.
 
Naskia ana Grid ya taifa.. ana anatoa connections kama hana akili nzuri.. na dada zetu kwa kupenda maisha matamu ndio anawamaliza kweli kweli, Labda tujiulize tu Chicken hut ndio imempa utajiri wote huu? definitely nooo.. tutafakari kwa pamoja.

Ukianza kuchunguza wamiliki halali wa majengo na Biashara mbali mbali hapa Jijini ustaajabu ya AC kabla hujayaona ya Riz1 na Ngel3j@ kwa migongo ya wenzetu wachache wanaowekwa kama wasimamizi... Najaga mie
 
Back
Top Bottom