mtotowamjini
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 4,525
- 1,171
biashara zote alizonazo there's no way atakua analipa full tax TRA. lazima kuna watu wanapoozwa nae. aisee mganda yuko nchini hapa na anafanya vizuri hivi....kuna mbongo ambae yuko kenya or UG ambae ana miliki vitu kama huyu jamaa??