JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

Hiyo ilikuwa ni hoteli ya nani au alinunua kutoka kwa nani?

Paradise Hotel inamilikiwa na msomali Kwa jina Mohamed ingawa yeye ni mrithi, hawa ndio wanamiliki wa Paradise Hotel ya Bagamoyo ile iliyoungua moto mwaka 2009 na ndio wanamiliki mgahawa wa city garden pale ppf tower pembeni ya imalaseko na atc, na pia mgahawa wa city garden wa pale gerezani, na hotel za arusha zijulikanazo kama east africa, kwa faida ya wengine baba wa Mohamed ni moja ya mawaziri kipindi cha UTAWALA WA SIAD BALEH
 
Paradise Hotel inamilikiwa na msomali Kwa jina Mohamed ingawa yeye ni mrithi, hawa ndio wanamiliki wa Paradise Hotel ya Bagamoyo ile iliyoungua moto mwaka 2009 na ndio wanamiliki mgahawa wa city garden pale ppf tower pembeni ya imalaseko na atc, na pia mgahawa wa city garden wa pale gerezani, na hotel za arusha zijulikanazo kama east africa, kwa faida ya wengine baba wa Mohamed ni moja ya mawaziri kipindi cha UTAWALA WA SIAD BALEH

Hotel za East Africa Arusha ni za PPF. Hawa wasomali wanaendesha tu - management lakini majengo ni ya PPF.
 
Mkuu wangu Kimbunga.

Bob Justus Baguma, ni kichwa sana mie huwa nina mfananisha na (Wapopo).

Kainunua Paradise Hotel Bagamoyo, kutoka kwa kile kichwa ch kisomali kilikuwa waziri kule Somalia wakati wa utawala Said Bare.

Mwaka 2011 nilikuwa Kampala Uganda, huyo jamaa Bob JB, alikuwa anafunguwa mgahawa wa MacDonalds.

Mwaka 1999 ana kampuni tatu Uk.

Jamaa ni Don kweli kweli sio mchezo.

Mkuu akuna anaye underrate umahili wa Omukama Baguma katika biashara zake na PR yake, lakini mbona nimesoma humu akisema alijaribu kupata franchise za ku-run MacDonalds chains in Uganda akashindwa sijuhi kutokana na nini! Halafu kilicho nitisha kidogo ni hiki cha kusema Baguma ni "DON!!" - hivi ujuhi mfanya biashara akihitwa DON anaweza kuwa associated na under world business ambazo mtu kama Baguma hawezi kujihingiza/kujishughulisha na biashara za namna hiyo, ameishi Uingereza na anjua vizuri wazungu walivyo mahili kwa ku-track dowm watu wa aina hiyo, rain or shine watakutia mbaroni tu at the end of the day and you will end up in a slammer na kufilisiwa kila kitu - hilo lilikuwa nia ANGALIZO LANGU tu, wakati mwingine tuwe makini maneno tunayo tumia. "Banyankole ichwena tukole tuta! okulima, nakwo nindamamu KAKE"
 
Mkuu juzi nilikuwa Gongo la Mboto, nikawa na shahuku ya kutembelea KIU yaani kitu nilicho kiona pale kilinistaajabisha kweli kweli - Basajja Balaba si mchezo! Sijuhi kwa sasa hivi hapa Tanzania kama kuna Chuo chochote Kikuu ambacho kimejengwa kwa umahili mkubwa kiasi hicho, chuo chenyewe kime-cover area kubwa sana-kinaweza kuwa cha pili kwa ukubwa wa eneo kikifatia UDSM. Vitivyo vimepangwa kwa ustadi mkubwa, barabara, bustani nk - jamaa huyu mkali kweli kweli na akifanikiwa kuwapata walimu makini basi chuo chenyewe kitakuwa moto wa kuotea mbali.

Hujafika Dodoma wewe UDOM ndo kinashika Chart.
 
watu tunajadili hili na ww unakurupuka na lako..alah!
John locke, na hilo pia kiongozi. Issue ya kutofautiana na M7 iko kurasa za mwanzo - ukipata wasaa soma thread nzima. Pia kumbuka hoja hapa tunataka kumjua JB ni nani, au wewe ulielewa nini hasa kuhusu hii thread?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu akuna anaye underrate umahili wa Omukama Baguma katika biashara zake na PR yake, lakini mbona nimesoma humu akisema alijaribu kupata franchise za ku-run MacDonalds chains in Uganda akashindwa sijuhi kutokana na nini! Halafu kilicho nitisha kidogo ni hiki cha kusema Baguma ni "DON!!" - hivi ujuhi mfanya biashara akihitwa DON anaweza kuwa associated na under world business ambazo mtu kama Baguma hawezi kujihingiza/kujishughulisha na biashara za namna hiyo, ameishi Uingereza na anjua vizuri wazungu walivyo mahili kwa ku-track dowm watu wa aina hiyo, rain or shine watakutia mbaroni tu at the end of the day and you will end up in a slammer na kufilisiwa kila kitu - hilo lilikuwa nia ANGALIZO LANGU tu, wakati mwingine tuwe makini maneno tunayo tumia. "Banyankole ichwena tukole tuta! okulima, nakwo nindamamu KAKE"

Mkuu Bukyanagandi.

Mie ninavyojua maana ya "DON" ni Mwungwana hata mwalimu wa chuo Kikuu nae anaitwa "DON".

Kuhusu MacDonalds alikosa wateja Kampala.
 
Last edited by a moderator:
Kwa mujibu wa mganda mmoja ni kwamba hizi investment za JB zipo nyuma ya wakubwa flani na kwamba hata jina si halisi ila huyu JB anatumika kuuficha ukweli, kwa mujibu wa huyu mganda ni kwamba herufi J ni ya jina la mke wa mkulu mmoja uganda na kwamba anawatumia ndugu hao ili kujificha.

Hizi ni rumours na si lazima ziwe na ukweli

Same old stories, kila biashara ya wakubwa!

Hebu acheni hizi stori za vijiweni, kama huna evidence kaa kimya
 
Mbona kuna wahindi wengi wa Kenya wapo Tanzania wanafanya biashara kubwa kuliko za JB hamuhoji uhalali wa biashara zao?
 
pia huyu bwana amepamgisha godown pale mlimani city la vitu vya electronics used toka UK, possible hiyo biashara pia imempatia faida kubwa, hilo la kuajiri watu wenye elimu ndogo na kuwa train nakubaliana nalo coz kuna jamaa mmoja wa kipare anaitwa Luka yeye ndo kama Manager wake na ni std 7 tu.
 
Mkuu Bukyanagandi.

Mie ninavyojua maana ya "DON" ni Mwungwana hata mwalimu wa chuo Kikuu nae anaitwa "DON".

Kuhusu MacDonalds alikosa wateja Kampala.

Mkuu heshima yako kwanza, najua vizuri kwamba mwalimu wa chuo kikuu anaweza kuitwa DON au Mtu Mungwana, lakini ukumbuke hii forum inasomwa na watu wengi na wengine awachangii chochote kazi zao ni kuangalia mtililiko wa mada husika - unaweza kuwa umetumia term hiyo kwa nia nzuri tu, lakini ukakuta unamtia mwenzio kwenye limelight ambayo anaweza kujukuta anafuatwa fuatwa bila sababu, kumbuka dunia siyo Tanzania TU-sijuhi kama nime eleweka. Msalimie emanzi BAGUMA.
 
nakubaliana na wewe...mwenzetu akifanikiwa sisi ni kumpiga mawe na majungu tu. Raha yetu tutumikishwe na waarabu na wahindi. Give the man a break! Kila mtu akifanikiwa anakwepa kodi!!! Hii mentality inatumaliza jamani tufunguke..sio kila tajiri ni mwizi.
 
Mkuu heshima yako kwanza, najua vizuri kwamba mwalimu wa chuo kikuu anaweza kuitwa DON au Mtu Mungwana, lakini ukumbuke hii forum inasomwa na watu wengi na wengine awachangii chochote kazi zao ni kuangalia mtililiko wa mada husika - unaweza kuwa umetumia term hiyo kwa nia nzuri tu, lakini ukakuta unamtia mwenzio kwenye limelight ambayo anaweza kujukuta anafuatwa fuatwa bila sababu, kumbuka dunia siyo Tanzania TU-sijuhi kama nime eleweka. Msalimie emanzi BAGUMA.

Mkuu nimekusoma ngoja nikafute hilo neno na wewe futa, pamoja sana.

JF Daima.
 
i wish hii thread ifungwe sababu imegeuka uwanja wa nani anajua zaidi mali za jb,wasomali, na wamiliki wa mahotel ...then WHAT?kama kuna mwenye uthibitisho wa uhalali wa biashara na mali za watajwa au la, tuwekee tujadili kama hamna huu mjadala unageuka POROJO.atakuja mtu na hoja yA "MMILIKI WA DOUBLE TREE NI NANI APA" sasa ivi
 
Kwa ambao ham mjui JB.
Justus Baguma photo by Dennis D. Muhumuza.JPGJB P.jpg
 
Back
Top Bottom