JB na Skendo mpya ya kuiba mawazo ya Movie ya ''Ladies Vs Ricky Bahl"

Kwanini haku hakusema kuwa amechukua kutoka sehemu fulani au kuonesha kushukuru hiyo movie.? Mnatetea bure tuu ameboronga kabisa huyu hakutakiwa kukopi na kupaste kabisa kila kitu..huyu JB kaishiwa kabisa na amekosa la kujitetea kabisa..

Sijui atakuja na utetezi gani, mi nasubiria tu
 
Huyu Zamaradi wiki Jana aliisifia sana. Baada ya kuonyeshwa kuwa amecopy anaanza kuponda. Vipindi vingne wanaanzisha hats siyo watafiti mpaka waambiwe

Kwani kuna tatizo gani akikosoa? Mwanzo alisifia movie lakini baada ya kuambiwa alikwenda kuangalia akakuta JB kakopi hadi nukta..na uzuri ilioneshwa kila kitu...Zamaradi kafanya kazi yake...nzuri sana!
 

Attachments

  • 1424894591198.jpg
    53.1 KB · Views: 516
Last edited by a moderator:
Nawashangaa kuna watu wana mtetea humu mkuu lusungo mimi niliangalia movie hiyo jama kwenye kipindi cha zamaradi hakika JB kakopi maneno,character ,mpangilio wa movie hadi movement za character halafu anajifanya kuchukia kwa kuwa kasemwa.

Huo sio usanii ni utapeli na uvivu wa kufikiri, mbona katika maisha kuna story nyingi tu za kusisimua? JB kazoea kuiba hii sio movie ya kwanza kufanya ivi kuna regina na DANIJA, wizi wa idea sio mbya ila jamaa kazidi hadi scene zinafanana
 
Last edited by a moderator:
Kwani kuna tatizo gani akikosoa? Mwanzo alisifia movie lakini baada ya kuambiwa alikwenda kuangalia akakuta JB kakopi hadi nukta..na uzuri ilioneshwa kila kitu...Zamaradi kafanya kazi yake...nzuri sana!

Zamaradi yuko smart sana , kafanya vzur kwa kweli, tumshukuru na mdau aliyetuto tongo tongo kuhusu hyo movie , ila jb atatamani kumuua hyo mtu kwa kweli maana kamuaibisha sana
 
Zamaradi yuko smart sana , kafanya vzur kwa kweli, tumshukuru na mdau aliyetuto tongo tongo kuhusu hyo movie , ila jb atatamani kumuua hyo mtu kwa kweli maana kamuaibisha sana

Zamaradi yuko vizuri na uzuri nilimuangalia ameelwzea vyema na ameonesha kila kitu na washangaa wanao beza kisa kasema ukweli na kaonesha ushahidi na uzuri aliambiwa! JB nilikuwa na mkubali sana lakini nimeshangaa anashindwa kukubali kuwa kakopi na kupaste hiyo movie bali anataka Zamaradi aonekane mbaya.
 
Kosa la defence ni goli? Haoni ata aibu mwizi mkubwa huyo na mtumbo wake kama fuko la mavi..ashtakiwe hyo asidhan sifa

Hakuna wa kshitaki bali wenye haki za movie wako india ..
 
Hakuna wa kshitaki bali wenye haki za movie wako india ..

Mim ntaenda kumshtak kama balozi wa movie za kihindi, ntamrukisha kichura chura hadi india akaombe msamaha na mtambi wake
 
Huo sio usanii ni utapeli na uvivu wa kufikiri, mbona katika maisha kuna story nyingi tu za kusisimua? JB kazoea kuiba hii sio movie ya kwanza kufanya ivi kuna regina na DANIJA, wizi wa idea sio mbya ila jamaa kazidi hadi scene zinafanana

umesahau na movie yake ya signature kakkopy
 
Wengi hatuijui hiyo ya kihindi ila wewe peke yako na unaleta majungu hapa na wewe haujakatazwa kucopy na kupaste style za watangazaji wakubwa
 
Movie gani aliyotunga Zamaradi na kuuza sana sokoni?
 

Tofautisha ukweli na wivu..
 
Wengi hatuijui hiyo ya kihindi ila wewe peke yako na unaleta majungu hapa na wewe haujakatazwa kucopy na kupaste style za watangazaji wakubwa

Kwani mie mtangazaji? Makubwa haya geniveros ebu njoo uone miujiza ya nchi
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…