JB na Skendo mpya ya kuiba mawazo ya Movie ya ''Ladies Vs Ricky Bahl"

Ahsante kwa taarifa!, iwe busara kwa Manege kuacknowledge wamiliki wa kazi ambazo anatumia idea zao otherwise titamtoa maana.
 
na wewe ndio unafanya the same mistake ungesema mapema kuwa wewe sio muhusika bali umekopi kama huyo alivyokopi ahahahahaha pole sana
mdukuzi :smile-big:

Kifungua na kifunga semi hivyo nikadhani umeviona hahahaha
 
Last edited by a moderator:
jaman i jamani jamani jamani, nyamazeni tu asije akatokea mmbeya wa kimataifa akawasiliana na hao wahindi jamani , mtafilisiwa hadi hayo mapumbu watayachukua
sasa mbona kwenye movie credit ya story JB ndo kajipa ? shame on you

Hahahaaa. ..dah!
 
Yani mbwa huyu mane no mengiii kwani we nani labda? Nyoo ebu tutolee kijambio chako apa, sasa unatutajia movie ulizoandika tumekuomba au shobo? Nfyuuu wezi wakubwa nyie na kesho naenda India Ku report nfyuuu
 
jaman i jamani jamani jamani, nyamazeni tu asije akatokea mmbeya wa kimataifa akawasiliana na hao wahindi jamani , mtafilisiwa hadi hayo mapumbu watayachukua
sasa mbona kwenye movie credit ya story JB ndo kajipa ? shame on you

maatope unanichokoza? Sitaki Mimi ugomvi na wewe nfyuu bichwa lile kama tumbo la jb
 
Last edited by a moderator:
na wewe ndio unafanya the same mistake ungesema mapema kuwa wewe sio muhusika bali umekopi kama huyo alivyokopi ahahahahaha pole sana

Achana nao yeye na kibaraka wake wote wezi tena kwa jinsi walivyokubuhu wanajipa na credit et wametunga wao nfyuu...
 
maatope unanichokoza? Sitaki Mimi ugomvi na wewe nfyuu bichwa lile kama tumbo la jb

hahahahaha warumi itabidi hii taarifa ya menege na copy ya kipindi cha take one plus dvd ya mzee wa swagga zitumwe India, waje wamchukue bonge la bwana akapige deki vyoo vya ofisi zao miaka 5 ajifunze na jinsi ya kufanya movies pia
 

Mwambie JB na production yake waache wizi Wa kujifanya story wametunga wao kumbe uwongo yani Nina hasira apa yan wametuona sisi wajinga ehh??...
 
jaman i jamani jamani jamani, nyamazeni tu asije akatokea mmbeya wa kimataifa akawasiliana na hao wahindi jamani , mtafilisiwa hadi hayo mapumbu watayachukua
sasa mbona kwenye movie credit ya story JB ndo kajipa ? shame on you

Hilo ni angalizo zuri,
Ila tujue pia tasnia yetu idara zake nyingi sio makini hivyo kuna makosa mengine muandika script au muigizaji mkuu yanakuwa sio yao moja kwa moja....
Ila ndio hivyo goli mkifungwa linakuwa ni kosa la timu nzima
 
hahahahaha warumi itabidi hii taarifa ya menege na copy ya kipindi cha take one plus dvd ya mzee wa swagga zitumwe India, waje wamchukue bonge la bwana akapige deki vyoo vya ofisi zao miaka 5 ajifunze na jinsi ya kufanya movies pia

Ndo najaribu apa kuchat na film association ya India, Email yenyewe sijui kutumia apa basi shida tupu sijui nitafanikisha kufikisha ujumbe India yani naona kama nachelewa, ebu njoo kwa pm unifundishe kwanza kutuma email
 
Ndugu zangu wale nitawachek baadae nipo juu juu sana saiv..hahahahaha umenifanya nicheke.

Ule mtanange ni hatari....
Mijadala adimu sana ile hapa JF, naufuatilia ule mjada kurasa kwa kurasa....
Tutakutana kule baadae!!
 
Teh Teh huwa mnanishangaza na hoja zenu! Kwa hiyo JB hana uwezo wa kutunga kama hao wanao kopi? Kama ni hivyo kwanini asitangaze ana hitaji story kuliko ku kopi? Kwa hiyo JB aendelee kukopi kwa kuwa wengine walikopi?

Aniite ata mie nimuandikie story apa sio kujifanya yeye ndo yeye kumbe wizi tu anaufanya..
 
kwa hiyo huyu bwana manege anataka kutuambia kwamba akilaumiwa yeye ndio hiyo filamu yao inakuwa halali?

halafu bila aibu anadai anaumiza kichwa kuburudisha mashabiki wao, sasa kuiga kazi ya mtu mwengine bila kumpa mwenyekazi sifa yake ndio kuumiza kichwa. ama kweli ujinga zigo la misumari...
 
Anasema anaumia mno na kuumiza akili katika kutunga story! warumi umemwelewa huyu mvivu? Sasa anataka kazi yake iwe nyepesi....! Sipendi kuangalia movie ya bollywood version ya kibongo tena bila credit kwa vile ulitingwa! Uli na matingo jobha
 
Last edited by a moderator:
Tatizo wabongo mkiambiwa kuna script zipo kali toeni pesa, hata kabla hamjaziona mnajibu kwamba mnazo wenyewe kumbe mambo yenyewe ndo hayo kucopy idea, mbona kuna visa vingi sana hapa bongo jamani na vinasisimua tu, acheni kupelekwa pelekwa na wasambazaji ambao wanawapangia aina za filamu, atleast itendeeni haki sanaa. Si wabongo wote wanapenda filamu zenye genre za comedy km za vgodoro, jb ni muigizaj ambae akibadilika na kuonekana ktk genre nyingine ni sheeder ss nyie washaur wake mnataka acheze character ile ile tu hadi lini.

Ili msiumize vichwa washirikisheni na waandishi wengine, toeni pesa mpate pesa mobb acheni ubahili.

Nawaheshim sana watu walio ktk sanaa. cha msingi tuitendee haki jamani na bongo ipate sifa, audience inawakubali sana na inasupport sana sanaa ya bongo hivyo nanyi watendeeni haki basi kwa kuwapatia kazi zenye ubora na msipende kukataa changamoto, mkiambiwa ukweli kubalini na mboreshe sio kujustify jambo na kulifanya ni halali, unapotoa utetezi kwamba hata hollywood wanafanya hivyo unajidhihirisha wewe ni dhaifu ktk utunzi.

don't always stick to what you know.🙄🙁
 
Teh Teh kwa hiyo huu ndio utetezi? kwanini Filamu inaonesha mtunzi wa Story ni JB? Kwanini haku acknowladge? Anaendelea kumtia aibu JB!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…