kyler
Member
- Sep 23, 2014
- 55
- 24
Jmn I have something to say in this. Ni hivi Sanaa ya bongo wangekuwa serious kama mbele wangefika mbali sana. Jmn muziki Wa Tanzania utakuwa simply bcoz watu wapi talented. Na wale ambao wanadandia unaona tuu mwisho Wa siku watafifia wapotee kabisa. Ila kwenye bongo movie hawawezi kufika mbali koz hawana hizo talent na hawapo serious na kazi zao. Wana kopy sana I think hata Dereva tax imekuwa copied amecheza jb na wolper. Tho walicheza vzr I don't remember kama waliacknowledge MTU mule. Maybe wanaiga idea za Nigeria mfano movie ya guardian angel ya Ramsay so ameiga hatia sijui ya kiindi. Exactly the same tena hawa hadi wakaimba kbsa. Na mvua ikanyesha kama wahindi wanavyopenda mvua kwenye movie zao. Sasa sisi creativity inakuwa zero