Israel inasema 2006 kuna makosa alifanya yaani alitumia nguvu ndogo na kasi kubwa kushambulia maeneo machache hezbollah alishambulia na kuvamia baadhi ya maeneo tu sasahivi atafanya uvamizi kama ule 1982 kwa hiyo msitegemee hezbolah wataweza kuipiga israel tena kama 2006 mpaka sasa israel anaendelea kuchoma silaha za hezbollah na kuuawa viongozi wao kwa kasi kubwaIsrael imeandaa jeshi na imepeleka jeshi,vifaru na mifumo ya roketi mipakani na Lebanon.
Na jeshi tayari limeshasogea kilometa nyingi zaidi ya Shebah farms.
Ni kilometa chache tu zimebaki kwa IDF kuweza kuingia rasmi ndani ya mipaka ya Lebanon kusini.
Licha ya jeshi lililopelekwa bado kuna askari wa akiba wameitwa kujiunga ukanda huo wa Lebanon kusini.
Ikumbukwe 2006 yalijiri kama yanayojiri sasa.
Hadi kufikia sasa Hizbollah haijasema lolote wala kutoa tamko lolote,ukimya umetanda sana kuliko kawaida kwa Hizbollah.
Je,2006 inaenda kujirudia!!??View attachment 3109187View attachment 3109188View attachment 3109189View attachment 3109190
Hezbollah labda kama sio hawa , ukiua mtu leo atateuliwa mwingine 😀 😀 😀 ...Hao jamaa hapana sio rahisi kuwavuruga kiuzalendo ....Hilo shambulio la pagers ndio lingewarudisha nyuma ila ,timing kumchinja kobe hapo .Israel inasema 2006 kuna makosa alifanya yaani alitumia nguvu ndogo na kasi kubwa kushambulia maeneo machache hezbollah alishambulia na kuvamia baadhi ya maeneo tu sasahivi atafanya uvamizi kama ule 1982 kwa hiyo msitegemee hezbolah wataweza kuipiga israel tena kama 2006 mpaka sasa israel anaendelea kuchoma silaha za hezbollah na kuuawa viongozi wao kwa kasi kubwa
Akipeleka jeshi lote ni hatari , kitu ambacho anafanya ni kuhakikisha hakuna passage ya Hezbollah kupokea silaha la sivyo ni hatari kwake.Alichokifanya Gaza anataka akifanye Lebanon, hii ni kuipa Hezbollah pressure.
Kiuhalisia sidhani kama Israel ipo tayari kwa vita kamili na Hezbollah, watazunguka hapo mipakani wataindoka. Matarajio yao makubwa ni vita isimame.
Sidhani kama una uhakika na hichi ulicho kiandika.Israel inasema 2006 kuna makosa alifanya yaani alitumia nguvu ndogo na kasi kubwa kushambulia maeneo machache hezbollah alishambulia na kuvamia baadhi ya maeneo tu sasahivi atafanya uvamizi kama ule 1982 kwa hiyo msitegemee hezbolah wataweza kuipiga israel tena kama 2006 mpaka sasa israel anaendelea kuchoma silaha za hezbollah na kuuawa viongozi wao kwa kasi kubwa
Hezbollah wana tunnels ambazo zipo complex na nyingi kuliko Hamas, Hamas wame survive Gaza kwenye tunnels.Akipeleka jeshi lote ni hatari , kitu ambacho anafanya ni kuhakikisha hakuna passage ya Hezbollah kupokea silaha la sivyo ni hatari kwake.
Israel imeandaa jeshi na imepeleka jeshi,vifaru na mifumo ya roketi mipakani na Lebanon.
Na jeshi tayari limeshasogea kilometa nyingi zaidi ya Shebah farms.
Ni kilometa chache tu zimebaki kwa IDF kuweza kuingia rasmi ndani ya mipaka ya Lebanon kusini.
Licha ya jeshi lililopelekwa bado kuna askari wa akiba wameitwa kujiunga ukanda huo wa Lebanon kusini.
Ikumbukwe 2006 yalijiri kama yanayojiri sasa.
Hadi kufikia sasa Hizbollah haijasema lolote wala kutoa tamko lolote,ukimya umetanda sana kuliko kawaida kwa Hizbollah.
Je,2006 inaenda kujirudia!!??View attachment 3109187View attachment 3109188View attachment 3109189View attachment 3109190
Nani kasema? Kasema isreal
Mtu asiyejua historia ya Israel anaweza kubeza.Israel imeandaa jeshi na imepeleka jeshi,vifaru na mifumo ya roketi mipakani na Lebanon.
Na jeshi tayari limeshasogea kilometa nyingi zaidi ya Shebah farms.
Ni kilometa chache tu zimebaki kwa IDF kuweza kuingia rasmi ndani ya mipaka ya Lebanon kusini.
Licha ya jeshi lililopelekwa bado kuna askari wa akiba wameitwa kujiunga ukanda huo wa Lebanon kusini.
Ikumbukwe 2006 yalijiri kama yanayojiri sasa.
Hadi kufikia sasa Hizbollah haijasema lolote wala kutoa tamko lolote,ukimya umetanda sana kuliko kawaida kwa Hizbollah.
Je,2006 inaenda kujirudia!!??View attachment 3109187View attachment 3109188View attachment 3109189View attachment 3109190
Wenzio akina nasra wapo peponi saiv wanaogelea kwenye mito yapombe we unabwabwajaTaifa la hovyo linajisifu kupigana a wanamgambo! Mbaya zaidi wanauawa wanawake na watoto, wanamgambo wameshindikana...
Wanaua kiongozi ila wa HAMAS tayari amekufa na mpya kashachukua madaraka mwendo ni ule, huyu aliyekuwa Nasrallah kumbuka alichukua kijiti baada ya wa mtangulizi wake kuuliwa ...Huyu ndio alimpiga ile 2006.Mtu asiyejua historia ya Israel anaweza kubeza.
Israeli in Deep History ya vita kuliko taifa lolote lile Duniani.
Mbinu za vita wamejifunza kizazi hadi kizazi Tangu wakati wanaingia Kanani.
Wayebusi kwa siku moja tu waliuliwa kwa mapanga( vita vya uso kwa uso)
Wapiganaji 28,000.
Bibilia inataja Jeshi la Israali likipambana na Wafilist, waamori, waamoni, wa Edom na wa Parizi wote kwa pamoja na linashinda.
Wakati huo Jeshi la Israeli likiwa na Wapiganaji zaidi ya Laki tatu. Hii ni miaka takribani 1500 Kabla Yesu Hajazaliwa. Leo hii Tanzania watu 61M hatuna idadi inayokaribian hata nusu ya hiyo idadi.
Mwaka 2010 nilifanikiwa kurika Israeli. Utaratibu wao kila Raia ni Mwanajeshi. Wako Smart kwa kila kitu.
Imagine kwa Tension iliyopo ya vita wanapataje Access ya kumuua Kamanda mkubwa?
Wao ktk vita Target zao ni Viongozi.
Wakati wanapigana na Wa Amaleki walimpiga Agagi( kamanda), wakati wa wafilisti walimpiga Goliati.
Kumbuka Jinsi Mwanausalam Ehudi alivyovamia Ikulu ya Mfalme wa Moabu yaani Eglon
Soma; wamuzi 3:12