Israel imeandaa jeshi na imepeleka jeshi,vifaru na mifumo ya roketi mipakani na Lebanon.
Na jeshi tayari limeshasogea kilometa nyingi zaidi ya Shebah farms.
Ni kilometa chache tu zimebaki kwa IDF kuweza kuingia rasmi ndani ya mipaka ya Lebanon kusini.
Licha ya jeshi lililopelekwa bado kuna askari wa akiba wameitwa kujiunga ukanda huo wa Lebanon kusini.
Ikumbukwe 2006 yalijiri kama yanayojiri sasa.
Hadi kufikia sasa Hizbollah haijasema lolote wala kutoa tamko lolote,ukimya umetanda sana kuliko kawaida kwa Hizbollah.
Je,2006 inaenda kujirudia!!??
Na jeshi tayari limeshasogea kilometa nyingi zaidi ya Shebah farms.
Ni kilometa chache tu zimebaki kwa IDF kuweza kuingia rasmi ndani ya mipaka ya Lebanon kusini.
Licha ya jeshi lililopelekwa bado kuna askari wa akiba wameitwa kujiunga ukanda huo wa Lebanon kusini.
Ikumbukwe 2006 yalijiri kama yanayojiri sasa.
Hadi kufikia sasa Hizbollah haijasema lolote wala kutoa tamko lolote,ukimya umetanda sana kuliko kawaida kwa Hizbollah.
Je,2006 inaenda kujirudia!!??