Je, Abedi Amani Karume alikuwa na Wake 6? Ana Watoto Wangapi?

Je, Abedi Amani Karume alikuwa na Wake 6? Ana Watoto Wangapi?

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995
Wanabodi,

Nimeikuta hii humu jf kwenye mjadala fulani hebu jisomee mwenyewe!.

Kwa mara ya kwanza Sheikh Abeid Karume alifunga ndoa na Bibi Pili binti Ahmed Ambari mwanzoni mwa miaka ya Arubaini. Mke wake wa pili ni Bibi Ashura binti Maisara. Baada ya kutengana na wake hao wawili, Sheikh Karume alifunga ndoa na Bibi Fatma binti Gulamhussein Ismail (Fatma Karume) katika mwaka 1944 mwishoni mwa mwezi wa Novemba, harusi ambayo ilifanyika huko Bumbwini Misufini.

Isitoshe, si Fatma tu na Ashura ambao ni wakizazi cha "mabwana", pia kuna wengine ambao waliolewa na Bwana Karume ni Bibi Nasra, Bibi Helemu na Bibi Fadya ambao kila mmoja alizaa nae mtoto mmoja wa kike.

Unawajua khabari zao hawa mabibi Nasra, Helemu na Fadya?

Pasco Zanzibar huijui. Waachie Wazanzibari wenyewe

"Sisi mambo twayajua" - Khadija Kopa.

nna uhakika somo umelipata.

Kwa mujibu wa mtoa hoja hii, Mkuu Zomba wa JF,

Wake wa Abedi Amani Karume ni hawa wafuatao

  1. Bibi Pili binti Ahmed Ambari
  2. Mke wake wa pili ni Bibi Ashura binti Maisara.
  3. Mke wa tatu ni Bibi Fatma binti Gulamhussein Ismail (Fatma Karume) katika mwaka 1944
  4. Bibi Nasra, -Amebahatika naye mtoto mmoja wa kike
  5. Bibi Helemu-amebahatika nae mtoto mmoja wa kike
  6. Bibi Fadya-amebahatika naye mtoto mmoja wa kike
Data za Bi Mkongwe
Angalau leo kuna mtu kalithibitisha hili kama alivyoeleza hapa

Mkuu Binti Mkongwe, asante kwa hii taarifa yako, ila naomba uilinganishe na hii taarifa ya Mkuu Tigo Pesa


Hivyo nikijumlisha lie original list na hii ya kwako kwa kutumia elimination method, nitapata jibu hili
  1. Mke wa kwanza Bibi Pili binti Ahmed Ambari, (hakuna details za ethnicity wala watoto)
  2. Mke wake wa pili ni Bibi Ashura binti Maisara. (Hakuna details za ethnicity wala watoto)
  3. Mke wa tatu ni Bibi Fatma binti Gulamhussein Ismail (Fatma Karume) katika mwaka 1944-Amani na Ali Karume
  4. Moza Nassor (marehemu) Mwarabu-kutoka Ole Pemba (muarabu na hakubahatika kupata mtoto)
  5. Bibi Nasra, Mmatumbi- alishiriki shindano la Bibi Bomba Clouds. Amejitambulisha kama mke mkubwa Ana mtoto
  6. Nasreen -Mhindi-Amebahatika naye mtoto mmoja wa kike-Ahsa Karume
  7. Bibi Helemu-Mwarabu-amebahatika nae mtoto mmoja wa kike-Ahadi Karume.
  8. Bibi Fadya-Mwarabu-amebahatika naye mtoto mmoja wa kike Asha Karume.
Kitu ambacho nimenote, Karume mwenyewe aliitwa Abedi, Baba yake aliitwa Amani, Mama yake Karume aliitwa Amina, mmoja wa wakeze aliitwa Ashura, mmoja wa wakweze ni Ahmed Ambari, watoto wake Asha (rip), Amani, Ali, Ahsa, Ahadi, Asha, what a coincidence?!.

Wanahistoria wa Zanzibar, hizi details haziko consistence, yupi sahihi, Binti Mkongwe au lile andishi, au wote wako sahihi hivyo wake ni 8?!.

Pasco.
Nawauliza wale wajuzi wa siasa za Zanzibar, jee haya ni ya kweli ua anasingiziwa?!.

Kama ni kweli, jee muasisi wetu huyu ana jumla ya watoto wangapi?. Vipi hali za hao watoto na vipi hali za hao wake?.

Lengo la kuyauliza haya kwasababu ndoa ni jambo la kheri, hivyo hakuna ubaya wowote kuijua status ya familia nzima ya Shujaa huyu, kiongozi wa yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na Muasisi wa Muungano wetu Adhimu, ili tunaposherehekea Diamond Jubilei (50-years) ya Mapinduzi na Muungano, pia tuwaenzi watu waliohusika na maisha ya Shujaa na muasisi wetu huyu!.

NB. Kuna kitu kinaitwa "the right to privacy" ambapo kila mtu anayo haki ya faragha ya mambo yake binafsi, na mtu yoyote haruhusiwi kuingilia uhuru huo wa hifadhi ya mambo yake ya faragha na kuyaleta public. Haki hii ya faragha, inakuwa imeondolewa kwa watu ambao ni "public figures" ambao wamekuwa wakilipwa misahara kwa fedha za walipa kodi!, yaani wanalipwa kwa fedha za "taxpayers money", hivyo walipa kodi hao, "The Public has the right to know the publi and private conduct" of their leaders! kwa sababu hayo ni matumizi ya kodi zao!.

Pasco.
 
Wanabodi,

Nimeikuta hii humu jf kwenye mjadala fulani hebu jisomee mwenyewe!.

quote_icon.png
By zomba
Kwa mara ya kwanza Sheikh Abeid Karume alifunga ndoa na Bibi Pili binti Ahmed Ambari mwanzoni mwa miaka ya Arubaini. Mke wake wa pili ni Bibi Ashura binti Maisara. Baada ya kutengana na wake hao wawili, Sheikh Karume alifunga ndoa na Bibi Fatma binti Gulamhussein Ismail (Fatma Karume) katika mwaka 1944 mwishoni mwa mwezi wa Novemba, harusi ambayo ilifanyika huko Bumbwini Misufini. Kisha akamuoa Binti wa Ali Shaaban Juma.

Kwa mujibu wa mtoa hoja hii, Mkuu Zomba wa JF,
Wake wa Abedi Amani Karume ni hawa wafuatao
[/LEFT]


  1. [*=left]Bibi Pili binti Ahmed Ambari
    [*=left]Mke wake wa pili ni Bibi Ashura binti Maisara.
    [*=left]Mke wa tatu ni Bibi Fatma binti Gulamhussein Ismail (Fatma Karume) katika mwaka 1944
    [*=left]Binti wa Ali Shaaban Juma.
    [*=left]Bibi Nasra, -Amebahatika naye mtoto mmoja wa kike
    [*=left]Bibi Helemu-amebahatika nae mtoto mmoja wa kike
    [*=left]Bibi Fadya-amebahatika naye mtoto mmoja wa kike

Nawauliza wale wajuzi wa siasa za Zanzibar, jee haya ni ya kweli ua anasingiziwa?!.
Kama ni kweli, jee muasisi wetu huyu ana jumla ya watoto wangapi?. Vipi hali za hao watoto na vipi hali za hao wake?.

Lengo la kuyauliza haya ni ili kuijua status ya familia nzima ya Shujaa huyu, kiongozi wa yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na Muasisi wa Muungano wetu Adhimu, ili tunaposherehekea Diamond Jubilei (50-years) ya Mapinduzi na Muungano, pia tuwaenzi watu waliohusika na maisha ya Shujaa na muasisi wetu huyu!.

Pasco.

NB. Kuna kitu kinaitwa "the right to privacy" ambapo kila mtu anayohaki ya faragha, na haruhusiwi kuingilia mambo yake ya faragha na kuyaleta public. Haki hii ya faragha, inakuwa imeondolewa kwa watu amba ni "public figures" ambao wamekuwa wakilipwa misahara kwa fedha za walipa kodi!, yaani wanalipwa kwa fedha za "taxpayers". Kufuatia kulipwa mishahara na walipa kodi, "The Public has the right to know the publi and private conduct" of their leaders! kwa sababu hayo ni matumizi ya kodi yao!.
[/LEFT]

Aliyekuita shetani hajakosea, ndio nini kuudanganya umma wa JF na kubadili post yangu niliyoibandika na kusingizia yasioandikwa?

Post yangu ni hii hapa, na wapi hapa imesema kuwa Karume "kisha alimuoa Binti wa Shaaban Juma"

Natumai Moderator wa jukwaa hilia anliona hili na atachukuwa hatua stahiki.

Wanajamvi jioneeni upotoshaji wa wazi wazi wa Pasco, mambo yamemshinda sasa anacheza na post zangu. Kuweni mahakimu kwa hili kwani wengine mlisha inukuu humu rejeeni post mjonee wenyewe.

Hilo swali limekushinda kujibu lakini mimi ntakujibu, kwani linahusu sana maandiko yako ya "utwana" na "ubwana" uliyoyaandika huko juu, kuwa eti mapinduzi ndio yalifanya watwana wawabake watoto wa mabwana na kufunguwa milango.

Kwa mara ya kwanza Sheikh Abeid Karume alifunga ndoa na Bibi Pili binti Ahmed Ambari mwanzoni mwa miaka ya Arubaini. Mke wake wa pili ni Bibi Ashura binti Maisara. Baada ya kutengana na wake hao wawili, Sheikh Karume alifunga ndoa na Bibi Fatma binti Gulamhussein Ismail (Fatma Karume) katika mwaka 1944 mwishoni mwa mwezi wa Novemba, harusi ambayo ilifanyika huko Bumbwini Misufini. - Ali Shaaban Juma.

Sasa nakuuliza, kulikoni? huo "utwana" na "ubwana" haukuwepo 1944?Isitoshe, si Fatma tu na Ashura ambao ni wakizazi cha "mabwana", pia kuna wengine ambao waliolewa na Bwana Karume ni Bibi Nasra, Bibi Helemu na Bibi Fadya ambao kila mmoja alizaa nae mtoto mmoja wa kike.

Unawajua khabari zao hawa mabibi Nasra, Helemu na Fadya?


Kwa kukujuza nao pia si katika "watwana". Kulikoni? ilikuwa ni unique case kwa Karume tu? jibu lako ni hili hapa:



Mwinyi "mtwana" wa kutoka Mkuranga kumuoa Siti mtoto wa "mabwana" 1960 na kuzaa nae watoto sita, au Mapinduzi yalikuwa tayari yameshawafungua watoto wa mabwana? Isitoshe, si Siti tu, kuna mwengine aitwae Bi Khadija nae yuko hapo hapo nyumba hiyo hiyo na Bi Siti, unaelewa kuwa nae si katika "watwana"?
Pasco Zanzibar huijui. Waachie Wazanzibari wenyewe japo kidogo na sie wa pwani, kwani kwetu pia mpaka wa hii leo ni himaya ya Zanzibar na khulka zetu hazijapishana kihivyo, si kama wewe wakuja. Unalijuwa hilo? nani aliibadili ile maili 10 ya pwani? Unajuwa kuwa Kariakoo na Gerezani ni chini ya maili kumi kutoka pwani ya bahari ya hindi?

"Sisi mambo twayajua" - Khadija Kopa.

Situmai majibu kutoka kwako lakini nna uhakika somo umelipata.


Nilikwambia, waache magwiji wa historia ya Zanzibar wakupe ilmu, wewe kaa uulize maswali, hujanielewa, naona sasa unaanza kubadili post zangu kabisa ili kujaribu kuni "assasinate character" yangu.

Najuwa wasomaji wanakusoma na hata hao wanaokutetea kidogo wanakuona ni vipi kila muda uvyokwenda unavyosidi kupotoka.

Ungekuwa unajuwa "right to privacy" usingeli mkebehi binti yetu Salma Said humu, wala usingewakebehi dada zetu wa Gerezani, wala usingeibadilisha maneno post yangu.
 
Last edited by a moderator:
Naona umeanza kubadili nyimbo lyrics imekuwa tofauti. Msikilize Bi Fatma ana majibu gani kuhusu. Mbona ulikataa kujibu Karume alimuoa lini Fatma? eti sasa unajidai kuja na maswali. Au ulikuwa huyajui ukasingizia "Nimeshajibu" ulijibu nini zaidi ya utumbo?

Nilikwambia, waache magwiji wa histria ya Zanzibar wakupe ilmu, wewe kaa uulize maswali, hujanielewa, naona sasa unarudi kule kule.

Ungekuwa unajuwa "right to privacy" usingeli mkebehi binti yetu Salma Said humu, wala usingewakebehi dada zetu wa Gerezani.

Hii ligi ngumu. Ngoja watazamaji tukanunue pop corns tuje tupate maarifa zaidi.

Tiririka mkuu.
 
Hii ligi ngumu. Ngoja watazamaji tukanunue pop corns tuje tupate maarifa zaidi.

Tiririka mkuu.

Wala si ngumu rudia post yangu namba 3 nimei edit. Huyu Pasco ni hatari, mjadala kautoa huko kauleta huku na kabadili maneno yangu na kuweka yake kwenye post yangu.

Ikiwa uongozi wa JF utaachia hali ikawa hivi ni hatari kubwa sana, hata kutoka kwa mtu maarufu kama Pasco.
 
Last edited by a moderator:
Mechi imehamia uwanja mpana wacha niangalie kijiwe cha kahawa na kashata,unajua sisi wenye elimu za madrasa wacha tujifunze,

CC Ritz
 
Last edited by a moderator:
Wanabodi,

Nimeikuta hii humu jf kwenye mjadala fulani hebu jisomee mwenyewe!.

Kwa mujibu wa mtoa hoja hii, Mkuu Zomba wa JF,
Wake wa Abedi Amani Karume ni hawa wafuatao
[/LEFT]


  1. [*=left]Bibi Pili binti Ahmed Ambari
    [*=left]Mke wake wa pili ni Bibi Ashura binti Maisara.
    [*=left]Mke wa tatu ni Bibi Fatma binti Gulamhussein Ismail (Fatma Karume) katika mwaka 1944
    [*=left]Binti wa Ali Shaaban Juma.
    [*=left]Bibi Nasra, -Amebahatika naye mtoto mmoja wa kike
    [*=left]Bibi Helemu-amebahatika nae mtoto mmoja wa kike
    [*=left]Bibi Fadya-amebahatika naye mtoto mmoja wa kike

Nawauliza wale wajuzi wa siasa za Zanzibar, jee haya ni ya kweli ua anasingiziwa?!.
Kama ni kweli, jee muasisi wetu huyu ana jumla ya watoto wangapi?. Vipi hali za hao watoto na vipi hali za hao wake?.

Lengo la kuyauliza haya ni ili kuijua status ya familia nzima ya Shujaa huyu, kiongozi wa yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na Muasisi wa Muungano wetu Adhimu, ili tunaposherehekea Diamond Jubilei (50-years) ya Mapinduzi na Muungano, pia tuwaenzi watu waliohusika na maisha ya Shujaa na muasisi wetu huyu!.

Pasco.

NB. Kuna kitu kinaitwa "the right to privacy" ambapo kila mtu anayohaki ya faragha, na haruhusiwi kuingilia mambo yake ya faragha na kuyaleta public. Haki hii ya faragha, inakuwa imeondolewa kwa watu amba ni "public figures" ambao wamekuwa wakilipwa misahara kwa fedha za walipa kodi!, yaani wanalipwa kwa fedha za "taxpayers". Kufuatia kulipwa mishahara na walipa kodi, "The Public has the right to know the publi and private conduct" of their leaders! kwa sababu hayo ni matumizi ya kodi yao!.
[/LEFT]
Pasco wacha uongo, hukuikuta humu, hii imetoka kwenye mada uliyoanzisha wewe mwenyewe hii hapa:

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...bar-bado-kuna-maswali-bila-majibu-1-a-18.html

Nashangaa umeamua kuyabadili maneno ya kwenye post yangu na kuja kuzuwa uongo huku. Huo ni zaidi ya ushetani.

Wana JF wataipitia hiyo link na kujionea wenyewe jinsi ulivyo.
 
Wala si ngumu rudia post yangu namba 3 nimei edit. Huyu Pasco ni hatari, mjadala kautoa huko kauleta huku na kabadili maneno yangu na kuweka yake kwenye post yangu.

Ikiwa uongozi wa JF utaachia hali ikawa hivi ni hatari kubwa sana, hata kutoka kwa mtu maarufu kama Pasco.

Na mimi ananitishia maisha yangu kwa kumwita Sheittani sababu amadhalilisha Salma Said.

Je Pasco anataka akanitupe Msitu wa Pande?
 
Last edited by a moderator:
Wala si ngumu rudia post yangu namba 3 nimei edit. Huyu Pasco ni hatari, mjadala kautoa huko kauleta huku na kabadili maneno yangu na kuweka yake kwenye post yangu.

Ikiwa uongozi wa JF utaachia hali ikawa hivi ni hatari kubwa sana, hata kutoka kwa mtu maarufu kama Pasco.

Tatizo hii ID hua mnawapa mateeneja mpaka inashuka thamani
 
Last edited by a moderator:
Wanabodi,

Nimeikuta hii humu jf kwenye mjadala fulani hebu jisomee mwenyewe!.

Kwa mujibu wa mtoa hoja hii, Mkuu Zomba wa JF,
Wake wa Abedi Amani Karume ni hawa wafuatao


  1. [*=left]Bibi Pili binti Ahmed Ambari
    [*=left]Mke wake wa pili ni Bibi Ashura binti Maisara.
    [*=left]Mke wa tatu ni Bibi Fatma binti Gulamhussein Ismail (Fatma Karume) katika mwaka 1944
    [*=left]Bibi Nasra, -Amebahatika naye mtoto mmoja wa kike
    [*=left]Bibi Helemu-amebahatika nae mtoto mmoja wa kike
    [*=left]Bibi Fadya-amebahatika naye mtoto mmoja wa kike

Nawauliza wale wajuzi wa siasa za Zanzibar, jee haya ni ya kweli ua anasingiziwa?!.
Kama ni kweli, jee muasisi wetu huyu ana jumla ya watoto wangapi?. Vipi hali za hao watoto na vipi hali za hao wake?.

Lengo la kuyauliza haya ni ili kuijua status ya familia nzima ya Shujaa huyu, kiongozi wa yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na Muasisi wa Muungano wetu Adhimu, ili tunaposherehekea Diamond Jubilei (50-years) ya Mapinduzi na Muungano, pia tuwaenzi watu waliohusika na maisha ya Shujaa na muasisi wetu huyu!.

Pasco.

NB. Kuna kitu kinaitwa "the right to privacy" ambapo kila mtu anayohaki ya faragha, na haruhusiwi kuingilia mambo yake ya faragha na kuyaleta public. Haki hii ya faragha, inakuwa imeondolewa kwa watu amba ni "public figures" ambao wamekuwa wakilipwa misahara kwa fedha za walipa kodi!, yaani wanalipwa kwa fedha za "taxpayers". Kufuatia kulipwa mishahara na walipa kodi, "The Public has the right to know the publi and private conduct" of their leaders! kwa sababu hayo ni matumizi ya kodi yao!.

Pasco
Wale mabinti wa kizanzibari walokuwa wakikufuata wenyewe mara tu wakuonapo na wale wa gerezani wakumbuka idadi zao?

Na je, hakuna hata mmoja katika idadi hiyo kama si watatu ambaye/ambao uliwahipata naye/nao watoto?

Tafadhali usikimbie tena huku, nisaidie nami kutambua hili halafu tuhamie kwa wake za Abeid Aman Karume.
 
Sasa naamini maneno ya Kikwete, "kuna watu wana viwanda vya uongo".

Mmoja wapo ni wewe Pasco.
 
Na mimi ananitishia maisha yangu kwa kumwita Sheittani sababu amadhalilisha Salma Said.

Je Pasco anataka akanitupe Msitu wa Pande?

Kule mambo yamemshinda kaja kutafuta msaada huku. Lakini watu wengi wa JF wameshamjua alivyo mnafik, hata hao ambao anategemea watampa msaada kwa huu uongo wake, wanamponda tu.

Eti mtu yuko kwenye fani ya habari anaenda kubadili post yangu kwa kuwa nimemshinda kwa hoja.
 
Wanabodi,

Nimeikuta hii humu jf kwenye mjadala fulani hebu jisomee mwenyewe!.

Kwa mujibu wa mtoa hoja hii, Mkuu Zomba wa JF,
Wake wa Abedi Amani Karume ni hawa wafuatao


  1. [*=left]Bibi Pili binti Ahmed Ambari
    [*=left]Mke wake wa pili ni Bibi Ashura binti Maisara.
    [*=left]Mke wa tatu ni Bibi Fatma binti Gulamhussein Ismail (Fatma Karume) katika mwaka 1944
    [*=left]Bibi Nasra, -Amebahatika naye mtoto mmoja wa kike
    [*=left]Bibi Helemu-amebahatika nae mtoto mmoja wa kike
    [*=left]Bibi Fadya-amebahatika naye mtoto mmoja wa kike

Nawauliza wale wajuzi wa siasa za Zanzibar, jee haya ni ya kweli ua anasingiziwa?!.
Kama ni kweli, jee muasisi wetu huyu ana jumla ya watoto wangapi?. Vipi hali za hao watoto na vipi hali za hao wake?.

Lengo la kuyauliza haya ni ili kuijua status ya familia nzima ya Shujaa huyu, kiongozi wa yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na Muasisi wa Muungano wetu Adhimu, ili tunaposherehekea Diamond Jubilei (50-years) ya Mapinduzi na Muungano, pia tuwaenzi watu waliohusika na maisha ya Shujaa na muasisi wetu huyu!.

Pasco.

NB. Kuna kitu kinaitwa "the right to privacy" ambapo kila mtu anayohaki ya faragha, na haruhusiwi kuingilia mambo yake ya faragha na kuyaleta public. Haki hii ya faragha, inakuwa imeondolewa kwa watu amba ni "public figures" ambao wamekuwa wakilipwa misahara kwa fedha za walipa kodi!, yaani wanalipwa kwa fedha za "taxpayers". Kufuatia kulipwa mishahara na walipa kodi, "The Public has the right to know the publi and private conduct" of their leaders! kwa sababu hayo ni matumizi ya kodi yao!.
Pasco, umechanganyikiwa ha ha ha ha, Karume ajao mfulilizo kama unavyotaka kuwaminisha watu, zomba amekuandikia vizuri kabisa wake zake wa mwanzo wawili walitengana ili haujaliweka kwa makusudi, wapi zomba kasema Karume walikuwa na wake 7.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom