stata mzuka
JF-Expert Member
- Nov 25, 2012
- 4,834
- 1,759
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pasco, umechanganyikiwa ha ha ha ha, Karume ajao mfulilizo kama unavyotaka kuwaminisha watu, zomba amekuandikia vizuri kabisa wake zake wa mwanzo wawili walitengana ili haujaliweka kwa makusudi, wapi zomba kasema Karume walikuwa na wake 7.
Kwani MUDI alikuwa na wake wangapi?Pasco ulifikiri utanidhalilisha, umejidhalilisha mwenyewe. Jikumbushe:
Do Not Lie About Others. Do not fabricate stories about your boss, co-workers, and spread gossip for the sake of company politics. You are here to be the salt and the light, not the pepper and the darkness!! Truth always rises to the surface, and eventually you will be ashamed and rebuked if you lie. (II Peter 2:10-13 ).
Kwani MUDI alikuwa na wake wangapi?
Kwani MUDI alikuwa na wake wangapi?
Wanabodi,
Nimeikuta hii humu jf kwenye mjadala fulani hebu jisomee mwenyewe!.
Kwa mujibu wa mtoa hoja hii, Mkuu Zomba wa JF,
Wake wa Abedi Amani Karume ni hawa wafuatao
[*=left]Bibi Pili binti Ahmed Ambari
[*=left]Mke wake wa pili ni Bibi Ashura binti Maisara.
[*=left]Mke wa tatu ni Bibi Fatma binti Gulamhussein Ismail (Fatma Karume) katika mwaka 1944
[*=left]Bibi Nasra, -Amebahatika naye mtoto mmoja wa kike
[*=left]Bibi Helemu-amebahatika nae mtoto mmoja wa kike
[*=left]Bibi Fadya-amebahatika naye mtoto mmoja wa kike
Nawauliza wale wajuzi wa siasa za Zanzibar, jee haya ni ya kweli ua anasingiziwa?!.
Kama ni kweli, jee muasisi wetu huyu ana jumla ya watoto wangapi?. Vipi hali za hao watoto na vipi hali za hao wake?.
Lengo la kuyauliza haya ni ili kuijua status ya familia nzima ya Shujaa huyu, kiongozi wa yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na Muasisi wa Muungano wetu Adhimu, ili tunaposherehekea Diamond Jubilei (50-years) ya Mapinduzi na Muungano, pia tuwaenzi watu waliohusika na maisha ya Shujaa na muasisi wetu huyu!.
Pasco.
NB. Kuna kitu kinaitwa "the right to privacy" ambapo kila mtu anayohaki ya faragha, na haruhusiwi kuingilia mambo yake ya faragha na kuyaleta public. Haki hii ya faragha, inakuwa imeondolewa kwa watu amba ni "public figures" ambao wamekuwa wakilipwa misahara kwa fedha za walipa kodi!, yaani wanalipwa kwa fedha za "taxpayers". Kufuatia kulipwa mishahara na walipa kodi, "The Public has the right to know the publi and private conduct" of their leaders! kwa sababu hayo ni matumizi ya kodi yao!.
Leo tunapomkumbuka Hayati Karume, kuna ubaya wowote, wenzetu Wanzibari, mkatuhadithia japo kidogo, vipi khali za hao wajane, au watalaka wake wengine, na vipi khali za hao watoto wengine?!.Wanabodi,
Nimeikuta hii humu jf kwenye mjadala fulani hebu jisomee mwenyewe!.
Kwa mujibu wa mtoa hoja hii, Mkuu Zomba wa JF,
Wake wa Abedi Amani Karume ni hawa wafuatao
[*=left]Bibi Pili binti Ahmed Ambari
[*=left]Mke wake wa pili ni Bibi Ashura binti Maisara.
[*=left]Mke wa tatu ni Bibi Fatma binti Gulamhussein Ismail (Fatma Karume) katika mwaka 1944
[*=left]Bibi Nasra, -Amebahatika naye mtoto mmoja wa kike
[*=left]Bibi Helemu-amebahatika nae mtoto mmoja wa kike
[*=left]Bibi Fadya-amebahatika naye mtoto mmoja wa kike
Nawauliza wale wajuzi wa siasa za Zanzibar, jee haya ni ya kweli ua anasingiziwa?!.
Kama ni kweli, jee muasisi wetu huyu ana jumla ya watoto wangapi?. Vipi hali za hao watoto na vipi hali za hao wake?.
Lengo la kuyauliza haya ni ili kuijua status ya familia nzima ya Shujaa huyu, kiongozi wa yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na Muasisi wa Muungano wetu Adhimu, ili tunaposherehekea Diamond Jubilei (50-years) ya Mapinduzi na Muungano, pia tuwaenzi watu waliohusika na maisha ya Shujaa na muasisi wetu huyu!.
NB. Kuna kitu kinaitwa "the right to privacy" ambapo kila mtu anayo haki ya faragha ya mambo yake binafsi, na mtu yoyote haruhusiwi kuingilia uhuru huo wa hifadhi ya mambo yake ya faragha na kuyaleta public. Haki hii ya faragha, inakuwa imeondolewa kwa watu ambao ni "public figures" ambao wamekuwa wakilipwa misahara kwa fedha za walipa kodi!, yaani wanalipwa kwa fedha za "taxpayers money", hivyo walipa kodi hao, "The Public has the right to know the publi and private conduct" of their leaders! kwa sababu hayo ni matumizi ya kodi zao!.
Pasco.
Leo tunapomkumbuka Hayati Karume, kuna ubaya wowote, wenzetu Wanzibari, mkatuhadithia japo kidogo, vipi khali za hao wajane, au watalaka wake wengine, na vipi khali za hao watoto wengine?!.
Pasco
Leo tunapomkumbuka Hayati Karume, kuna ubaya wowote, wenzetu Wanzibari, mkatuhadithia japo kidogo, vipi khali za hao wajane, au watalaka wake wengine, na vipi khali za hao watoto wengine?!.
Pasco
Sasa mtu ana wake sita anapata wapi muda wa kuandaa hotuba.maana kuna mtu alikuwa anauliza mbona leo haziwekwi hotuba zake...