Je, Abedi Amani Karume alikuwa na Wake 6? Ana Watoto Wangapi?

Maadahii Nimeipenda Ilasijaona Mtualiesema Kalume Alikuwa Nawatoto Wangapi.Watalamu Tuambieni
 
Sijapata jibu bado. Nimesoma mwanzo mpaka mwisho Ritz kasema wakeze karume walikuwa watatu na watoto wake ni wangapi wa huyo muasisi wa muungano.
 
Last edited by a moderator:

Angalau leo kuna mtu kalithibitisha hili kama alivyoeleza hapa
Mkuu Binti Mkongwe, asante kwa hii taarifa yako, ila naomba uilinganishe na hii taarifa ya Mkuu Tigo Pesa

Hivyo nikijumlisha lie original list na hii ya kwako kwa kutumia elimination method, nitapata jibu hili
  1. Mke wa kwanza Bibi Pili binti Ahmed Ambari, (hakuna details za ethnicity wala watoto)
  2. Mke wake wa pili ni Bibi Ashura binti Maisara. (Hakuna details za ethnicity wala watoto)
  3. Mke wa tatu ni Bibi Fatma binti Gulamhussein Ismail (Fatma Karume) katika mwaka 1944-Amani na Ali Karume
  4. Moza Nassor (marehemu) Mwarabu-kutoka Ole Pemba (muarabu na hakubahatika kupata mtoto)
  5. Bibi Nasra, Mmatumbi- alishiriki shindano la Bibi Bomba Clouds. Amejitambulisha kama mke mkubwa Ana mtoto
  6. Nasreen -Mhindi-Amebahatika naye mtoto mmoja wa kike-Ahsa Karume
  7. Bibi Helemu-Mwarabu-amebahatika nae mtoto mmoja wa kike-Ahadi Karume.
  8. Bibi Fadya-Mwarabu-amebahatika naye mtoto mmoja wa kike Asha Karume.
Kitu ambacho nimenote, Karume mwenyewe aliitwa Abedi, Baba yake aliitwa Amani, Mama yake Karume aliitwa Amina, mmoja wa wakeze aliitwa Ashura, mmoja wa wakweze ni Ahmed Ambari, watoto wake Asha (rip), Amani, Ali, Ahsa, Ahadi, Asha, what a coincidence?!.

Wanahistoria wa Zanzibar, hizi details haziko consistence, yupi sahihi, Binti Mkongwe au lile andishi, au wote wako sahihi hivyo wake ni 8?!.

Pasco.
 

Mimi nilisema ninaowakumbuka na ni hao wa baada ya mapinduzi. Hao wa kabla niliwahi kusikia tu lakini sikuwa nafahamu.
 
Yule binti yake ambaye ni wakili anaitwa nani?
 
Duh! Hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…