Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msitutishe panya wa baharini wataendelea kuwepo tu hata mkileta ngamia kulinda.Ngoja na huko bandarini kitaeleweka tu
Bahati nzuri toka utotoni niliishi uhindini nawajua, nilisoma nao boding'i nawajua, nimefanyanao kazi ninawajua. Tofauti tuliweza kujichanganya kirahisi na wazungu isipokuwa hawa ndugu zetu wazalendo watanzania wenzetu.Aga khan walichofanya ni kupunguza kero za watu wa nhif
Hili wala halina uwongo, ni ukweli usiopingika kwamba ile Agakhan hospital ina ubaguzi sana.Katikati ya mwaka huu yaani 2023 mwezi wa sita nilikwenda hospitali ya Aga Khan iliyopo Sea View Dar es Salaam kwa ajili ya matibabu, kama taratibu zilivyo niliwasilisha kadi yangu ya bima ya afya ilipokelewa na nikapewa jibu kuwa siwezi kutibiwa kwenye hospitali hiyo! Haikuwa shida kwangu, nikaenda hospitali ya Shree Hindu Mandal iliyopo Upanga na nikapata tiba kwa kutumia kadi hiyohiyo.
Mwezi huu wa kumi nilienda kwenye tawi la hospitali ya Aga Khan lililopo uswahilini na nikisema uswahilini ni uswahilini kweli kwani madakitari, manesi na wafanyakazi wengine ni waswahili wenyewe wanakili wahindi wa uzao wa Aga Khan hawakanyagi huku uswazi! Baada ya kupata tiba kwenye hilo tawi letu la hospitali ya Aga Khan nikamuuliza dakitari kuhusu hospitali mama ya Sea View, naye hakusita kuniambia kuwa kule ni kwa wahindi, wabunge, mawaziri na viongozi wa juu wa serikali, nikajua kuwa ukiwapendelea hawa basi jambo lako litakwenda vizuri bila kuhojiwa.
Miaka iliyopita tulikuwa tukitibiwa bila tatizo kwenye hospitali hiyo ya Aga Khan Sea View licha ya tatizo la hawa wazalendo watanzania wenzetu kutokujua kiswahili vizuri, lakini walipoona tunawabana wakatufungulia matawi uswazi na madakitari wetu wakiswazi tumaliziane huku huku.
Hawa ni korapti na wameitumia kuwalainisha viongozi ili sauti zetu zisisikike.Aga khan walichofanya ni kupunguza kero za watu wa nhif
Sawa.Hili wala halina uwongo, ni ukweli usiopingika kwamba ile Agakhan hospital ina ubaguzi sana.
By the way, hiyo ya uswahili ni ile ya pale Zakhem au Buza?
Nilisikia hivyo,Ile ya sea view,anayefahamu hili atujuze maana ukute naogopa bure kwendaAga Khan nilisikia hawakubali bima ya NHIF.
Wahindi ni wabaguzi sn ndiyo maana wana misikiti yaoKatikati ya mwaka huu yaani 2023 mwezi wa sita nilikwenda hospitali ya Aga Khan iliyopo Sea View Dar es Salaam kwa ajili ya matibabu, kama taratibu zilivyo niliwasilisha kadi yangu ya bima ya afya ilipokelewa na nikapewa jibu kuwa siwezi kutibiwa kwenye hospitali hiyo! Haikuwa shida kwangu, nikaenda hospitali ya Shree Hindu Mandal iliyopo Upanga na nikapata tiba kwa kutumia kadi hiyohiyo.
Mwezi huu wa kumi nilienda kwenye tawi la hospitali ya Aga Khan lililopo uswahilini na nikisema uswahilini ni uswahilini kweli kwani madakitari, manesi na wafanyakazi wengine ni waswahili wenyewe wanakili wahindi wa uzao wa Aga Khan hawakanyagi huku uswazi! Baada ya kupata tiba kwenye hilo tawi letu la hospitali ya Aga Khan nikamuuliza dakitari kuhusu hospitali mama ya Sea View, naye hakusita kuniambia kuwa kule ni kwa wahindi, wabunge, mawaziri na viongozi wa juu wa serikali, nikajua kuwa ukiwapendelea hawa basi jambo lako litakwenda vizuri bila kuhojiwa.
Miaka iliyopita tulikuwa tukitibiwa bila tatizo kwenye hospitali hiyo ya Aga Khan Sea View licha ya tatizo la hawa wazalendo watanzania wenzetu kutokujua kiswahili vizuri, lakini walipoona tunawabana wakatufungulia matawi uswazi na madakitari wetu wakiswazi tumaliziane huku huku.
Sure, wahindi, waarabu na wachina siyo wenzetu ni takataka kabisaWAHINDI SI WATANZANIA WENZETU, HO NI MABEBERU TU, HAO VIJIBWA NA MAJUHA WA KITANZANIA(VIONGOZI) NDIYO WANAO LEA UPUUZI HUU
Ukiambiwa hawapokei keshi mkononi utasemaje.
Tahadhari: Hatupokei Pesa.
Kwa hiyo unataka watu wasife?Mkuu usiseme hivyo,watu kwasababu ya kutofanya check up, yawezekana kwasababu ya kutokua na pesa au bima za afya,unakuta mteja anapelekwa hospitali akiwa katika hatua mbaya,au wengine unakuta anadondoka tu,anakufa kumbe alikua mgonjwa muda mrefu,anajikaza anakunywa Panadol.Kuna mama amefariki juzi,yaani aliugua ghafla,akakimbizwa hospitali,sikuamini nilipokuja kuambiwa amefariki,ilikua ghafla sana,kuuliza wadau wakajibu kua alikutwa maini yameharibika pamoja na figo pia,nikasikitika sana.
Siyo ndiyo ubaguzi wenyeweSawa usiende na cash nenda na bima ya fast track halafu ulete ushuhuda mana wenye hizo bima hawajawahi kurudishwa
Hapana, wanakubali isipokuwa ni kwenye matawi yao ya uswazi, huko ni waswahili watupu.Aga Khan nilisikia hawakubali bima ya NHIF.
Siyo ndiyo ubaguzi wenyewe
Ni wizi mtupu wa mali za ummaNi maslahi tu[emoji1374] kwenye bima wanajipimia pesa wanayoitaka hata kama laki4 utaandikiwa milioni
Huko kwenye matawi yao ya Aga Khan watumishi wote ni waswahili na hautamuona mhindi akikanyaga.Siyo ndiyo ubaguzi wenyewe
Ni wabaguzi snHuko kwenye matawi yao ya Aga Khan watumishi wote ni waswahili na hautamuona mhindi akikanyaga.
Ni wizi mtupu wa mali za umma
Nitake nisitake,utake usitake,kiumbe hai chochote lazima kife.Anyway kwa swali lako huoni kabisa umuhimu wa vituo vya kutolea huduma za afya,yaani ungekua kiongozi ungeona ni muhimu huduma nyingine ziwepo,ila huduma za afya ungeachana nazo,nikimaanisha usingehangaika nazo kwa kuwasogea wananchi wako?Kwa hiyo unataka watu wasife?
Wahindi wote ni weziJuzi tu niliplka mtoto hospital moja private kubwa tu Zanzibar jina kapuni alikua na asthma attack canula nimeletewa tatu ikatumika moja mbili zikabak kwa doctor nauliza hizi zote za kwake jibu sikulipata[emoji18]