Je! Ahmed Ally aendelee kuaminiwa pale msimbazi?

Mi naona yupo sahihi tu maana kazi yake anaifanya Sawasawa na matakwa ya kazi yake anatakiwa kuippnda sana Yanga ili kuiweka sehemu timu yake hasa kwenye kitengo cha usemaji
Kikowapi Sasa [emoji23]
 
Kikowapi Sasa [emoji23]
Inatakiwa acheze na vibe lililopo. Mfano wakati huu anasema Yanga nao waone ugumu wa kuvuka robo. Yanga Amecheza na mamelod mbovu na mashabiki na wamiliki wanaswing na beat hilohilo
 
Interview yote kaizungumzia Yanga utazani wao walienda kutikisa matako Misri. Yaani walivyo wajinga wamejificha kwenye matokeo ya Yanga wamesahau mizigo waliyokuwa nayo kwenye timu.
 
Inatakiwa acheze na vibe lililopo. Mfano wakati huu anasema Yanga nao waone ugumu wa kuvuka robo. Yanga Amecheza na mamelod mbovu na mashabiki na wamiliki wanaswing na beat hilohilo
Sema jamaa ana nuks pale ukoloni
 
Interview yote kaizungumzia Yanga utazani wao walienda kutikisa matako Misri. Yaani walivyo wajinga wamejificha kwenye matokeo ya Yanga wamesahau mizigo waliyokuwa nayo kwenye timu.
Ndio vizuri mkuu..... according to Ali kamwe

"Mjinga mpe cheo ........ Nmesahau[emoji23]
 
Wrong question, right question je uongozi wa simba uaminiwe?
 
Tatizo mnapenda porojo na maneno mengi ndio maana bado hata Ahmed Ally hajapatosha. Nikiambiwa nitaje mabadiliko yafanyike Simba ili kuwa timu imara, msemaji hata namba tano hayupo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…