Je, Ajira ya Tsh 34m kwa mwezi ilikuwa sawa na rushwa kwa Halima Mdee? Alikuwa sahihi kuikataa?

Je, Ajira ya Tsh 34m kwa mwezi ilikuwa sawa na rushwa kwa Halima Mdee? Alikuwa sahihi kuikataa?

Hivi kwanza hao makomandoo anawalipa bei gani ??

Mbona wamekonda sana??

Hiyo ajira labda ni hamira aisee.

Mnatudanganya tu.

Kwanini asimpe Lema anayeishi kama mkimbizi huko??
 
Mbowe kwa Mdee, Zitto Mnyika ni kama baba yao, hawa aliwanyenyua toka wakiwa chuo, wakaingia Bavicha huku akiwapa pocket money na kuwajenga kiuchumi, kifikra na kwajengea kujiamini - ilikuwa ni project - building capacity.

Leo hii wote hawa waliopitia mikononi mwa Mbowe wako vizuri ni jambo la kumsifu mh. Mbowe

Mbowe alikuwa anajaribu kumwokoa Halima na ajira ya damu ya Jiwe, akaona ampatie kazi maana huenda maisha bila ubunge yangekuwa ni magumu kwake.

Sasa kumtafutia kazi Mdee ni sawa na wewe mtoa hoja kumtafutia kazi mwanao - unaita rushwa ?
Ndo amwambie wakutane Nairobi?
 
Hanje Nusrat... ile mashine ni kisu hatari. CHADEMA msivyo na huruma hata mtoto mzuri kama yule mkamfutilia mbali... [emoji24][emoji24] CHADEMA hamtaenda mbinguni.
Ukute alikataa mashart magumu ya makamanda si unajua akina yaliyowakuta akina Mukya
 
..huenda Halima alirudi kwa ma-sponsor wake akapewa kitita kikubwa kuliko alichoahidiwa na Mbowe.

..Nadhani Mbowe alikosea kumlenga Halima, alitakiwa alenge kuwachomoa kina mama wengine.

cc Erythrocyte , Tindo
 
Mbowe kwa Mdee, Zitto Mnyika ni kama baba yao, hawa aliwanyenyua toka wakiwa chuo, wakaingia Bavicha huku akiwapa pocket money na kuwajenga kiuchumi, kifikra na kwajengea kujiamini - ilikuwa ni project - building capacity.

Leo hii wote hawa waliopitia mikononi mwa Mbowe wako vizuri ni jambo la kumsifu mh. Mbowe

Mbowe alikuwa anajaribu kumwokoa Halima na ajira ya damu ya Jiwe, akaona ampatie kazi maana huenda maisha bila ubunge yangekuwa ni magumu kwake.

Sasa kumtafutia kazi Mdee ni sawa na wewe mtoa hoja kumtafutia kazi mwanao - unaita rushwa ?

Blah blah blah!

1652549853150.gif
 
Wakuu nimetuliza sana akili na kufikiria kauli ya Mbowe kwamba alimwomba aachie ubunge kwa madai kwamba tayari alishamtafutia ajira ya kulipwa USD 15000 kwa mwezi. Kuna maswali kadhaa nimejiuliza nikaona nilete thread hapa huenda tukapata majibu yaliyojaa facts toka kwa wafuasi wa Chama Cha Mbowe na wasio wafuasi;

1. Kwanza kwanini iwe ajira kwa Mdee peke yake? Wengine hawakuwa na umuhimu? Ina maana mwenyekiti ana watu muhimu na wasio na umuhimu kwenye chama?

2. Kwanini amtafutie ajira kwa nia ya kumwachisha ubunge ambapo baadae ingembidi mwenyekiti amweke mtu mwingine? Si angemsamehe bila masharti ya kuachia ubunge kama alishaona shida ya Mdee ni njaa?

3. Kwanini awe na huruma kiasi kwamba amtafutie ajira ya 34m ili kuacha ubunge wake ambao mshahara haufiki hata 20m?

4. Mbowe haoni kama kimaadili inaleta ukakasi na kufanya watu waone nae anafanya kitu kilekile kinachoitwa kununua watu?

5. Je, kwa kauli ya Mbowe kutaka kuhusisha hadi fedha anawapa uhalali wanaosema chuki dhidi ya kina mama 19 imetokana na Mbowe kushindwa kupachika majina yake kwenye viti maalum?

Maswali ni mengi ila hayo yanatosha. Kimsingi hadi sasa hivi kwa upande wangu Mbowe hana tofauti na watu wanaofanya siasa zenye rafu nyingi.
Halima mdee ni mdogo sana kuliko chadema. Kama mwita mwikwabe. Mbowe ana akili kubwa
 
Back
Top Bottom