Edsger wybe Dijkstra
JF-Expert Member
- Aug 22, 2019
- 244
- 491
Nimeuliza watu wajifunze sheria .tendo la ndoa ni kwa wanandoa
We unamzini mwanafunzi,kifupi unamdefile mtoto wa watu na kumuharibia future yake,wacha mara moja kenge
Sheria gani sasa hapa tunajifunza, hujui kuwa huo ni ubakaj!?Nimeuliza watu wajifunze sheria
Mtu akiwa na mahusiano na mwanafunzi na wakashiriki tendo la ndoa bila kutokea mimba je adhabu yake inakuaje?
Miaka 30Mtu akiwa na mahusiano na mwanafunzi na wakashiriki tendo la ndoa bila kutokea mimba je adhabu yake inakuaje?
Rekebisha hapo.Mtu akiwa na mahusiano na mwanafunzi na wakashiriki tendo la ndoa bila kutokea mimba je adhabu yake inakuaje?
Kesi zote nilizosikia kuhusu ili swala ni pale mwanafunzi anapopewa ujauzito . Sijaskia mtu kafungwa akam hajampa mimba ndo maana nikaulizaSheria gani sasa hapa tunajifunza,hujui kuwa huo ni ubakaj!?
Basi wanaume wote bongo sasa hivi tungekuwa na mvua kwa pilato tena pamoja na huyo pilato mwenyewe kama ni mwanammeYaani kitendo cha kumtongoza tu mwanafunzi...tayari una mvua zako kwa pilato
Basi wanaume wote bongo sasa hivi tungekuwa na mvua kwa pilato tena pamoja na huyo pilato mwenyewe kama ni mwanamme
Subiri ukue kwanzaAhaa ahaa
Na mimi nilikua nawaza, mimi nina miaka 19, nikitafuna kiform 4 cha miaka 16 ni vibaya? hatujapishana sana.
okay miss jf😂Subiri ukue kwanza
okay miss jf😂
Ikithibitika umefanya Mapenzi na mtoto chini y 18 yrs either with or without her/his consent it is Rape ,âdhabu ya Rape ni 30 yrs jela .Maana ya kubaka katika sheria zetu za Adhabu inajumuusha kufanya mapenzi na binti wa miaka chini ya kumi na nane (18) kwa ridhaa yake au bila ridhaa yake...
Kifungu namba 130 (2) (e) Cha Sheria ya Adhabu sura 16 RE 2022
Ambapo adhabu ya kubaka ni miaka isiyopungua 30 Jela....
Kwani hujui kua mimba ndiyo kidhibiti kikuu kwenye kesi ya ubakaji wa mwanafunzi!? Ndiyo maana watu wanafungwa hasa baada ya kidhibiti kukuu kuwepo ubaoni!!Kesi zote nilizosikia kuhusu ili swala ni pale mwanafunzi anapopewa ujauzito . Sijaskia mtu kafungwa akam hajampa mimba ndo maana nikauliza