Dahhh.....[emoji53] [emoji53]Habari wana JF.! Naomba kuuliza kuwa mtu anayetumia ARV inasemekana kuwa anauwezekano mdogo sana wa kumwambukiza HIV mtu ambaye ni negative kwakuwa akishaanza kumeza ARV virusi vinafubaa pia vinatoka ktk mfumo wa damu vinaenda kukaa sehemu moja yaani ktk tezi.
je' uyu mtu ukimpima kwa mara ingine anaweza kukutwa bado yuko Positive..?
Madame, naomba usiache kunitag wakimaliza research baada ya hiyo miaka mitano....[emoji5] [emoji5] [emoji5]Kuna research moja inayoendelea wale wenye undetectable walichomwa sindano hii ya kinga ya HIV na imepunguza sana virus kwenye reservoir wakachomwa tena T8 ika clear kabisa. Ni mwaka wa tatu huu wameacha ARV’s bado wana waangalia ikifika miaka mitano itakuwa break through
Mkuu, hauna ya kiswahili....[emoji53] [emoji53]am not CTC person but in my experience tezi au mtoki inapovimba sehem 2 au zaidi within mwezi mmoja baada ya kufanya ngono with symptoms like fever, headache, flue that is hiv initial stage.
Mkuu, ebu tupe Darsa kuhusu hiyo Stem Cell kwaajili ya kupandisha kinga....[emoji101]Ok it is a good progress. Lakini kwa sasa hivi pia kuna tiba ya Stem Cell ambayo inazalisha seli za kinga na kupandisha kiwango cha CD4 je wewe kama medical personnel umeisha wahi kuijua na kuitumia kwa mwathirika yeyote? WELCOME and try it, it is really amazing
Duhhh....[emoji53] [emoji53]inapatikanaje kwa Tanzania na gharama zake?
Alifanya research ama aliongea tu kwakujenga hoja..!!??ukifatilia uzi wa jamaa mmoja hivi anajiita .DECEPTION yule jamaa aliongea mengi sana kuhusa HIV/AIDS humu JF nadhan huko alipo anabarikiwa sana.
Anasema HIV haisababishi UKIMWI na UKIMWI ni upungufu wa kinga mwilini unaoweza kuurekebisha kwa kula chakula bora,mazoezi,maji safi, hewa safi n.k. Anatuaminisha kwa fact kuwa Dawa za kupunguza makali ya virusi yani ARVs ndio chanzo kikubwa kinachosababisha UKIMWI na magonjwa mengi sana hadi kupelekea mtu kufa....Anaendelea laiti watu wangekuwa hawapimi HIV basi hakuna mtu angekufa kwa UKIMWI mana UKIMWI ni biashara ya dawa za ARVs
mtafute huyu jamaa mkuu...nakumbuka uzi ule uliwabariki sana watu, tangu 2013 uzi bado upo active hadi eo
Mkuu, ebu kwanza toa elimu ya hiyo Steam Cell, kabla haujawaita watu huko MP.Inapatikana kwa samabazaji (mie mmojawapo) hata hapa Dar ipo, gharama inategemea; kama mtu akinunua tu kwa bei ya rejareja inaweza kwenda mpaka 1.8m, ila kuna namna anaweza kupata dose yote kwa hata chini ya 1m
KWA MAELEZO ZAIDI NJOO PM TU
Yah, research alifanya mkuu nadhani pitia uzi zake zote utaona jinsi gan katumia sana fact mbalimbali kuelezea, na waliombariki ni wale walioelimishwa elimu hii na wengi sana walitoa ushuhuda kwa jinsi mambo mengi walivyoyaona ....fatilia uzi wakeAlifanya research ama aliongea tu kwakujenga hoja..!!??
Alafu unaposema "alibarikiwa sana", hiyo baraka alipatiwa na nani?
Ohhhppppssssss....[emoji53] [emoji53] [emoji53][emoji23] [emoji23] [emoji23] sio tu havionekani, bali vigezo na masharti vikizingatiwa HIV inaisha kabisa!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Oh! Ndio tatizo lenu wabongo![emoji134]Ohhhppppssssss....[emoji53] [emoji53] [emoji53]
Mdomowangu umebaki wazi kabisa[emoji47] [emoji47]
Kumbe chuma kilisha pata dawa, alafu watu tunajibana kwa kujinyima wallah... tehteehhh
Tatizo nini mkuu, minajua asilimia kubwa ya vvu tunapata kwenye uno....[emoji39] [emoji39] [emoji39][emoji23] [emoji23] [emoji23] Oh! Ndio tatizo lenu wabongo![emoji134]
Tatizo huko kwenye uno kuna mengi zaidi ya VVU.....wee liendekeze tu utajiju[emoji1]Tatizo nini mkuu, minajua asilimia kubwa ya vvu tunapata kwenye uno....[emoji39] [emoji39] [emoji39]
Are serious???? hii kibokoam not CTC person but in my experience tezi au mtoki inapovimba sehem 2 au zaidi within mwezi mmoja baada ya kufanya ngono with symptoms like fever, headache, flue that is hiv initial stage.
Mkuu, ebu naomba nione "mengi zaidi" kutoka kwako, alafu utanipa maelekezo jinsi ya kutumia mlonge kwa tiba ya umemeTatizo huko kwenye uno kuna mengi zaidi ya VVU.....wee liendekeze tu utajiju[emoji1]
Mlonge longe ni dawa ya kienyeji au mahabara.. Naomba kufahamishwa ilokwa wale wanaotumia mlonge longe kuna wakati mtu akipima vijamaa havionekani
[emoji2] [emoji3] [emoji2] [emoji3]Dahhh.....[emoji53] [emoji53]
Pole sana mkuu ndio Dunia ilivyo, hivyo hautokua wakwanza wala wamwisho.
Kikubwa zingatia Mazoezi, Kula vizuri na umrudie Mungu wako.
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]