Je, anayetumia ARVs kupunguza makali ya VVU akipimwa virusi vitaonekana?

Kun 3drps ya jamaa mmoja hiv anajiiya Dr Willium kuna aliewai kuiskia?
 
Sasa hivi bado mzima huyo mama?
 
Uzi za ngoma umu jf zimeshamil sana, yajayo hayafurahishi, walai vile
 
Walikosea sana hao ndugu zake Marehemu Virusi vya HIV/AIDS huwezi kuviombea dua eti vipate kufa hao wachungaji feki wanao waombea wagonjwa wa Virusi vya Ukimwi.Virusi vya ukimwi vipo ndani ya Damu na kuna dawa maalum za mitishamba za kuweza kuviuwa hivyo virusi vya ukimwi ukiweza kusafisha Damu,ini,figo na kusafisha utombo wa chakula kuwa msafi basi virusi vyenyewe vinakufa muda sio mrefu .Kuna dawa za mitishamba maalum za kuweza kusafisha Hizo Organ za mwili wa binadamu.

Dr Sebi Tells How He Cures A.I.D.S

Tiba ya Ukimwi ninayo kwa Mtu mwenye kutaka nitafute kwa wakati wako nipate kukutibia ili uweze kupona.


Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu. Au boonyeza hapa.Mzizi Mkavu
 
Naskia kuna wakati kwa wale watumiaji sana wa ARVs huonekana hawana hawo virus.adont knw y?
 
AIDS level ukimaanisha hatua gan mama
 
Na kuna mwingine anaitwa Dr William huko fb naye ana maoni kama hayo na anadai ana dawa za kuondoa madhara ya dawa za kufubaza virusi.
 
Sasa*Sky Eclat
Hujamaliza ikawaje alivyofika kwenye hiyo level?
 
Yes, uwezekano ni mkubwa sababu virus vinakuwa vichache sana (very very low concentration in the blood) to the undetectable level by normal/ordinary ;aboratory screening methods except by PCR! Sky Eclat I s this correct?
 
Yes, uwezekano ni mkubwa sababu virus vinakuwa vichache sana (very very low concentration in the blood) to the undetectable level by normal/ordinary ;aboratory screening methods except by PCR! Sky Eclat I s this correct?
Yes it’s correct but the person is still HIV +
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…