Je, andiko hili la kiislamu kwa Wayahudi linawezekana kuwa sababu za chuki hizi?

Je, andiko hili la kiislamu kwa Wayahudi linawezekana kuwa sababu za chuki hizi?

Ni vigumu kutenganisha ugaidi na dini uislam kutokana na maandiko yao kua chachu ya ugaidi na mauji wanayo fanya, baada ya hapo wanasubiria kupewa mabikra 72 na nguvu za kutumia mizigo 100 kwa siku, Imani zingine za hovyo kabisa
 
Ila leo hii makundi gani ya kidini ya nayoua watu hovyo ulimwenguni.
Wabudha wako na Amani
Pia Wahindu
Warastafari
Wamomoni
Wapagani
Wakristo
Nk
Dini moja tu ndio inayoleta fujo Dunia hii.
Na wakiuwa watu wasio na hatia hata hao wanaosema Dini ya Amani hawakemei kabisa hayo matendo.

Dunia inatakiwa ikae chini iifute hii Dini.
Hata mauaji yanayoendelea Mashariki ya Kati kwa sasa wao ndio waliochokoza wenzao kwa kuua na kuteka watu wasio na hatia.
Mjitafakari basi hata kidogo tu

La Hii Dini ifutwe ili tuishi kwa Amani.
 
Wabudha wako na Amani
Pia Wahindu
Warastafari
Wamomoni
Wapagani
Wakristo
Nk
Dini moja tu ndio inayoleta fujo Dunia hii.
Na wakiuwa watu wasio na hatia hata hao wanaosema Dini ya Amani hawakemei kabisa hayo matendo.

Dunia inatakiwa ikae chini iifute hii Dini.
Hata mauaji yanayoendelea Mashariki ya Kati kwa sasa wao ndio waliochokoza wenzao kwa kuua na kuteka watu wasio na hatia.
Mjitafakari basi hata kidogo tu

La Hii Dini ifutwe ili tuishi kwa Amani.
Duuh, bro your eyes are too far off the ball.
 
Nakushauri fuatilia mafundisho ya uislam kwa mtazamo chanya na kwa watu sahihi utapata amani ya moyo utaacha kuchukia uislam utaona ni dini tu ambayo watu wanaiheshim na kuna watu wanailewa vibaya
Kwani Muongozo wao Sio qurani unayo Agiza Wafuasi wake wayafuate na KUYAISHI haya??
[emoji116][emoji116]
سَتَجِدُونَ آخَرِينَ يُرِيدُونَ أَن يَأْمَنُوكُمْ وَيَأْمَنُوا قَوْمَهُمْ كُلَّ مَا رُدُّوا إِلَى الْفِتْنَةِ أُرْكِسُوا فِيهَا ۚ فَإِن لَّمْ يَعْتَزِلُوكُمْ وَيُلْقُوا إِلَيْكُمُ السَّلَمَ وَيَكُفُّوا أَيْدِيَهُمْ فَخُذُوهُمْ وَاقْتُلُوهُمْ حَيْثُ ثَقِفْتُمُوهُمْ ۚ وَأُولَـٰئِكُمْ جَعَلْنَا لَكُمْ عَلَيْهِمْ سُلْطَانًا مُّبِينًا

[ AN-NISAAI - 91 ]
Mtawakuta wengine wanataka wapate salama kwenu na salama kwa watu wao. Kila wakirudishwa kwenye fitna hudidimizwa humo. Ikiwa hawajitengi nanyi, na wakakuleteeni salama, na wakazuia mikono yao, basi wakamateni na wauweni popote mnapo wakuta. Na juu ya hao ndio tumekupeni hoja zilizo wazi.

إِذْ يُوحِي رَبُّكَ إِلَى الْمَلَائِكَةِ أَنِّي مَعَكُمْ فَثَبِّتُوا الَّذِينَ آمَنُوا ۚ سَأُلْقِي فِي قُلُوبِ الَّذِينَ كَفَرُوا الرُّعْبَ فَاضْرِبُوا فَوْقَ الْأَعْنَاقِ وَاضْرِبُوا مِنْهُمْ كُلَّ بَنَانٍ

[ AL - ANFAAL - 12 ]
Mola wako Mlezi alipo wafunulia Malaika: Hakika Mimi ni pamoja nanyi, basi watieni nguvu walio amini. Nitatia woga katika nyoyo za walio kufuru. Basi wapigeni juu ya shingo na wapigeni kwenye kila ncha za vidole.

قَاتِلُوا الَّذِينَ لَا يُؤْمِنُونَ بِاللَّهِ وَلَا بِالْيَوْمِ الْآخِرِ وَلَا يُحَرِّمُونَ مَا حَرَّمَ اللَّهُ وَرَسُولُهُ وَلَا يَدِينُونَ دِينَ الْحَقِّ مِنَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ حَتَّىٰ يُعْطُوا الْجِزْيَةَ عَن يَدٍ وَهُمْ صَاغِرُونَ

[ AT-TAWBA - 29 ]
Piganeni na wasio muamini Mwenyezi Mungu wala Siku ya Mwisho, wala hawaharimishi alivyo harimisha Mwenyezi Mungu na Mtume, wala hawashiki Dini ya Haki, miongoni mwa walio pewa Kitabu, mpaka watoe kodi kwa khiari yao, hali wamet'ii.
[emoji121][emoji121]
au kisilamu silamu Ndio AMANI!!

Hapa Ndipo inaanza Tagiyah
[emoji116][emoji116]
لَّا يُؤَاخِذُكُمُ اللَّهُ بِاللَّغْوِ فِي
أَيْمَانِكُمْ وَلَـٰكِن يُؤَاخِذُكُم بِمَا كَسَبَتْ قُلُوبُكُمْ ۗ وَاللَّهُ غَفُورٌ حَلِيمٌ

[ AL - BAQARA - 225 ]
Mwenyezi Mungu hakushikeni kwa viapo vyenu vya upuuzi. Bali anakushikeni kwa yanayo chuma nyoyo zenu. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe na Mpole

Utumiaji wa hiyo aya hiyo (TAQIYA) Kudanganya!
[emoji116][emoji116]
Wakati Waislamu ni wachache kwa idadi ...
[emoji116][emoji116]
Sisi tunatoka katika Dini ya Amani.

Wakati Waislamu ni wengi ...
[emoji116][emoji116]
Uislamu unastahili hadhi maalum.

Wakati Waislamu wanakuzidi wewe Kwa wingi...
[emoji116][emoji116]
UISLAMU AU VINGINEVYO![emoji117][emoji380][emoji378][emoji38][emoji38][emoji38]

Ni wakati wa kuamka.
 

Attachments

  • IMG_20220320_202349.jpg
    IMG_20220320_202349.jpg
    68.8 KB · Views: 1
Nakushauri fuatilia mafundisho ya uislam kwa mtazamo chanya na kwa watu sahihi utapata amani ya moyo utaacha kuchukia uislam utaona ni dini tu ambayo watu wanaiheshim na kuna watu wanailewa vibaya
Hujajibu hoja ya hilo andiko hapo
 
Lakini cha kushangaza asilimia 80 ya mauaji ambayo yamefanyika hapa duniani yamefanywa na wanao jiita wakristo tena mpaka na kanisa likiwa na mkono wa moja kwa moja mfano mauaji ya kimbari nchini Rwanda.

Alafu kingine wakristo ndo wenye chuki na wayahudi kwa sababu ndo wahusika wakuu wa mauaji ya maangamizi dhidi ya wayahudi kabla ya mwaka 1947 .
Aisee, nithubutu kusema tu kwamba, unaonekana una u-PUMBAVU mwingi sana
 
Lakini cha kushangaza asilimia 80 ya mauaji ambayo yamefanyika hapa duniani yamefanywa na wanao jiita wakristo tena mpaka na kanisa likiwa na mkono wa moja kwa moja mfano mauaji ya kimbari nchini Rwanda.

Alafu kingine wakristo ndo wenye chuki na wayahudi kwa sababu ndo wahusika wakuu wa mauaji ya maangamizi dhidi ya wayahudi kabla ya mwaka 1947 .
Lakini cha kushangaza wakristo ndo wahusika wakuu wa mauaji ya kikatili ya wayahudi.
Hiki ulichoandika humu ni illogical kwa sababu wanaofanya haya wanafanya au walifanya kwa sababu wanazozijua wao hakuna Ukristo unaoelekeza haya.

Na nikikwambia lete hapa andiko ktk Bible wapi Wakristo imeandikwa wawauwe wale wasiowapenda huwezi kuleta,mimi nadhani unge-stick kwenye hoja kwamba hiyo Aya hapo juu siyo ya imani yako?imeandikwa au haikuandikwa ktk kitabu chako?na je ina maana tofauti na hiyo?kama ndiyo,fafanua inamaanisha nini!
 
Lakini cha kushangaza asilimia 80 ya mauaji ambayo yamefanyika hapa duniani yamefanywa na wanao jiita wakristo tena mpaka na kanisa likiwa na mkono wa moja kwa moja mfano mauaji ya kimbari nchini Rwanda.

Alafu kingine wakristo ndo wenye chuki na wayahudi kwa sababu ndo wahusika wakuu wa mauaji ya maangamizi dhidi ya wayahudi kabla ya mwaka 1947 .
Rwanda waliuana kwa sababu za kikabila siyo dini. Acha uongo wewe.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Sasa ndo zama za mwisho.HYO HADITHI.
yaani israel atachezea kichapo kitakatifu.
 
na ndio dini utakayokuja kuuliza kama ni mfuasi wake.kama sio wewe ni kafiri moto unakusubiri
Kuna dogo huku kitaa sasa hv amekuwa kama chizi kwa ajili ya Uislamu, akipita njiani anapiga kelele za ajabu na kutoa sauti ngumu yenye kishindo kama wenzake wanavyoimba kwenye nyimbo zao.

Dini zote n majanga ila Uislamu ndo upumbavu zaidi
 
Binafsi nilikua sifuatilii mambo yenu, nilijua nyie ni kama dini zingine, ila vituko vyenu vikazidi kuwa vingi, mauaji kila sehemu, mnachinja na kujilipua mabomu, ndio nikaanza kujua lazima maandiko yanawaamrisha huo uzombi, haiwezekani mtu kwa akili yake anateka basi la abiria anaanza kuchinja wasio waislamu.
Ni vigumu sana kutazama uislamu kwa mtazamo chanya huku mnaendelea kuua watu mkizingatia maandiko yenu yapo dhahiri kabisa.
Hebu soma hili tukio mlilolifanya la kuchinja abiria kisa walishindwa kujibu maswali yenu ya kidini Bus passengers massacred

“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
Lakini iyo aya ungefatilia ilishuka katika mazingira gani kila kitu kina maelezo yake mkuu binadamu tumetofautiana uelewa mtume predict kuna watu watakuja kufanya vitu vya ajabu ambavyo ni nje ya maamrisho
Na nikupe faida moja ambayo watu hawaizingatii linapokuja swala zima la uislam.

Mtume alishasema umma wake utagawanyika katika makundi 73 na kundi moja tu ndo litakalo salimika ( apa alizungumzia uislam utagawanyika)
Na iyo ni asili ya dini mbalimbali kugawanyika kutokana na uelewa tofauti tofauti wa watu kwaiyo asikwambie mtu mzee kuwa waislam wote ni kitu kimoja wakati mtume mwenyewe alishasema yatatokea makundi mbali mbali na litasalimika moja tu ambalo alilitolea maelezo

Waislam wengi tupo sawa katika jambo moja, kuamini katika mungu mmoja ambaye ni Allah ila itakadi zingine nadhani waislam wametofautiana sana

Alafu hau waislam wanaoua watu ovyo ovyo sio wageni yani wajuzi hao wapo tokea kipindi cha mtume hajafa wakapewa jina la (khawarij) mbwa wa motoni na washaua hadi maswahaba kama Omary, othman na wengine..

Ukitaka kuujua uislam wa kweli ukitaka kujua kweli quran na sunna za mtume na historia ya kweli kwa ufahamu wa waja wema waliotangulia tafuta wanazuoni mimi naweza kukupa muongozo
Ofcourse kuna mambo yanakera yanayofanywa na baadhi ya waislam ambao wanazitafsir vibaya aya za quran na mafundisho ya mtume

Me naamini kabisa ukipata muongozo sahihi wakuijua iyo dini hutowachukia sana na utawachukia baadhi ambao wanafanya mambo nje ya mafundisho
 
Lakini iyo aya ungefatilia ilishuka katika mazingira gani kila kitu kina maelezo yake mkuu binadamu tumetofautiana uelewa mtume predict kuna watu watakuja kufanya vitu vya ajabu ambavyo ni nje ya maamrisho
Na nikupe faida moja ambayo watu hawaizingatii linapokuja swala zima la uislam.

Mtume alishasema umma wake utagawanyika katika makundi 73 na kundi moja tu ndo litakalo salimika ( apa alizungumzia uislam utagawanyika)
Na iyo ni asili ya dini mbalimbali kugawanyika kutokana na uelewa tofauti tofauti wa watu kwaiyo asikwambie mtu mzee kuwa waislam wote ni kitu kimoja wakati mtume mwenyewe alishasema yatatokea makundi mbali mbali na litasalimika moja tu ambalo alilitolea maelezo

Waislam wengi tupo sawa katika jambo moja, kuamini katika mungu mmoja ambaye ni Allah ila itakadi zingine nadhani waislam wametofautiana sana

Alafu hau waislam wanaoua watu ovyo ovyo sio wageni yani wajuzi hao wapo tokea kipindi cha mtume hajafa wakapewa jina la (khawarij) mbwa wa motoni na washaua hadi maswahaba kama Omary, othman na wengine..

Ukitaka kuujua uislam wa kweli ukitaka kujua kweli quran na sunna za mtume na historia ya kweli kwa ufahamu wa waja wema waliotangulia tafuta wanazuoni mimi naweza kukupa muongozo
Ofcourse kuna mambo yanakera yanayofanywa na baadhi ya waislam ambao wanazitafsir vibaya aya za quran na mafundisho ya mtume

Me naamini kabisa ukipata muongozo sahihi wakuijua iyo dini hutowachukia sana na utawachukia baadhi ambao wanafanya mambo nje ya mafundisho

Hapo hapo umesema binadamu tumetofautiana uelewa ndio umemaliza kila kitu, sasa ndugu zako uelewa wao ni tofauti na wa kwako hivyo wanachinja watu kwa kutumia hizo aya.
 
Lakini iyo aya ungefatilia ilishuka katika mazingira gani kila kitu kina maelezo yake mkuu binadamu tumetofautiana uelewa mtume predict kuna watu watakuja kufanya vitu vya ajabu ambavyo ni nje ya maamrisho
Na nikupe faida moja ambayo watu hawaizingatii linapokuja swala zima la uislam.

Mtume alishasema umma wake utagawanyika katika makundi 73 na kundi moja tu ndo litakalo salimika ( apa alizungumzia uislam utagawanyika)
Na iyo ni asili ya dini mbalimbali kugawanyika kutokana na uelewa tofauti tofauti wa watu kwaiyo asikwambie mtu mzee kuwa waislam wote ni kitu kimoja wakati mtume mwenyewe alishasema yatatokea makundi mbali mbali na litasalimika moja tu ambalo alilitolea maelezo

Waislam wengi tupo sawa katika jambo moja, kuamini katika mungu mmoja ambaye ni Allah ila itakadi zingine nadhani waislam wametofautiana sana

Alafu hau waislam wanaoua watu ovyo ovyo sio wageni yani wajuzi hao wapo tokea kipindi cha mtume hajafa wakapewa jina la (khawarij) mbwa wa motoni na washaua hadi maswahaba kama Omary, othman na wengine..

Ukitaka kuujua uislam wa kweli ukitaka kujua kweli quran na sunna za mtume na historia ya kweli kwa ufahamu wa waja wema waliotangulia tafuta wanazuoni mimi naweza kukupa muongozo
Ofcourse kuna mambo yanakera yanayofanywa na baadhi ya waislam ambao wanazitafsir vibaya aya za quran na mafundisho ya mtume

Me naamini kabisa ukipata muongozo sahihi wakuijua iyo dini hutowachukia sana na utawachukia baadhi ambao wanafanya mambo nje ya mafundisho
Kuna kitu unajaribu kukisema (though kwa juu juu una hoja) lakini mtu ukikaa ukatafakari kwa kina unakosa uelewa kwamba kwanini kitu sensitive kama hiki kiandikwe ktk kitabu kinachopaswa kusomwa ili kumtafuta Mungu wa kweli?ukitaka kunielewa tuliza akili soma kuanzia hapo nilipo-bold kwa maandishi makubwa,soma siyo ili unijibu soma uelewe!nimeweka nukuu

“You and the Jews would fight against one another until a stone would say: Muslim, here is a Jew behind me; come and kill him."

Yaani mpaka jiwe ambalo aliyeliumba (mwenye Aya hiyo hapo juu) anajua kabisa hakuliwekea pumzi ya kunena lakini amesisitiza ugomvi na hao Jews utalifanya liongee,unaweza kupima kiwango cha chuki kilichopandikizwa hapo?kama hoja ni kuzingatia wakati Aya iliposhushwa,mtume au Mungu wa kitabu hiki alishindwa nini kung’amua kwamba inabidi ije zama ambazo watu wote bila kujali ni Jewish,Arabs etc wanabidi wakae kwa pamoja kwa amani bila kuuana?labda nikuulize,ipo Aya yoyote inayotengua maana ya Aya hii?

Hapo mashariki ya kati maskini ya Mungu wanakufa watu kwa sababu ya kusoma vitu kama hivi,sisemi ni vibaya as long as hainihusu ila hili linaweza kuwa ni tatizo kubwa.
 
Hapo hapo umesema binadamu tumetofautiana uelewa ndio umemaliza kila kitu, sasa ndugu zako uelewa wao ni tofauti na wa kwako hivyo wanachinja watu kwa kutumia hizo aya.
Hata wanapochinja mtu wanamwita Mungu wao.
Kuna nchi ukisikia "Allahu Akbal" timua mbio kwa kasi sana.
La sivyo Bomu litakulipukia likuuwe.

Chukua maandishi yale meupe ya kwenye bendela nyeusi za hao magaidi wa Dini halafu yasome.

Halafu ndio utajua wale ndio Waislamu kamili kabisa. Wanafanya walicho agizwa na Mola wao Mlezi.
 
Back
Top Bottom