Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabudha wako na AmaniIla leo hii makundi gani ya kidini ya nayoua watu hovyo ulimwenguni.
Umechagua kubishana sio kuelewana mkuu hii itakua ngumu sana kwakoUtetezi wenu ni wa aina moja lakini tukifika kwenye matendo yenu ndiyo yanaakisi ukweli wenyewe.
Duuh, bro your eyes are too far off the ball.Wabudha wako na Amani
Pia Wahindu
Warastafari
Wamomoni
Wapagani
Wakristo
Nk
Dini moja tu ndio inayoleta fujo Dunia hii.
Na wakiuwa watu wasio na hatia hata hao wanaosema Dini ya Amani hawakemei kabisa hayo matendo.
Dunia inatakiwa ikae chini iifute hii Dini.
Hata mauaji yanayoendelea Mashariki ya Kati kwa sasa wao ndio waliochokoza wenzao kwa kuua na kuteka watu wasio na hatia.
Mjitafakari basi hata kidogo tu
La Hii Dini ifutwe ili tuishi kwa Amani.
Kwani Muongozo wao Sio qurani unayo Agiza Wafuasi wake wayafuate na KUYAISHI haya??Nakushauri fuatilia mafundisho ya uislam kwa mtazamo chanya na kwa watu sahihi utapata amani ya moyo utaacha kuchukia uislam utaona ni dini tu ambayo watu wanaiheshim na kuna watu wanailewa vibaya
Hujajibu hoja ya hilo andiko hapoNakushauri fuatilia mafundisho ya uislam kwa mtazamo chanya na kwa watu sahihi utapata amani ya moyo utaacha kuchukia uislam utaona ni dini tu ambayo watu wanaiheshim na kuna watu wanailewa vibaya
Tumaini Letu.Kristu
Aisee, nithubutu kusema tu kwamba, unaonekana una u-PUMBAVU mwingi sanaLakini cha kushangaza asilimia 80 ya mauaji ambayo yamefanyika hapa duniani yamefanywa na wanao jiita wakristo tena mpaka na kanisa likiwa na mkono wa moja kwa moja mfano mauaji ya kimbari nchini Rwanda.
Alafu kingine wakristo ndo wenye chuki na wayahudi kwa sababu ndo wahusika wakuu wa mauaji ya maangamizi dhidi ya wayahudi kabla ya mwaka 1947 .
Lakini cha kushangaza asilimia 80 ya mauaji ambayo yamefanyika hapa duniani yamefanywa na wanao jiita wakristo tena mpaka na kanisa likiwa na mkono wa moja kwa moja mfano mauaji ya kimbari nchini Rwanda.
Alafu kingine wakristo ndo wenye chuki na wayahudi kwa sababu ndo wahusika wakuu wa mauaji ya maangamizi dhidi ya wayahudi kabla ya mwaka 1947 .
Hiki ulichoandika humu ni illogical kwa sababu wanaofanya haya wanafanya au walifanya kwa sababu wanazozijua wao hakuna Ukristo unaoelekeza haya.Lakini cha kushangaza wakristo ndo wahusika wakuu wa mauaji ya kikatili ya wayahudi.
Ila hayo maandiko ni kweli yako hivyo ? Jibu swali lake.Nakushauri fuatilia mafundisho ya uislam kwa mtazamo chanya na kwa watu sahihi utapata amani ya moyo utaacha kuchukia uislam utaona ni dini tu ambayo watu wanaiheshim na kuna watu wanailewa vibaya
Hiyo dini yenu ya kiislamu ni dini ya kishenzi sana inafundisha chuki ,ubaguzi,ubakaji hamna lolote nyieNakushauri fuatilia mafundisho ya uislam kwa mtazamo chanya na kwa watu sahihi utapata amani ya moyo utaacha kuchukia uislam utaona ni dini tu ambayo watu wanaiheshim na kuna watu wanailewa vibaya
Let's ushahidiLakini cha kushangaza wakristo ndo wahusika wakuu wa mauaji ya kikatili ya wayahudi.
Leta ushahidiLakini cha kushangaza wakristo ndo wahusika wakuu wa mauaji ya kikatili ya wayahudi.
Rwanda waliuana kwa sababu za kikabila siyo dini. Acha uongo wewe.Lakini cha kushangaza asilimia 80 ya mauaji ambayo yamefanyika hapa duniani yamefanywa na wanao jiita wakristo tena mpaka na kanisa likiwa na mkono wa moja kwa moja mfano mauaji ya kimbari nchini Rwanda.
Alafu kingine wakristo ndo wenye chuki na wayahudi kwa sababu ndo wahusika wakuu wa mauaji ya maangamizi dhidi ya wayahudi kabla ya mwaka 1947 .
Kuna dogo huku kitaa sasa hv amekuwa kama chizi kwa ajili ya Uislamu, akipita njiani anapiga kelele za ajabu na kutoa sauti ngumu yenye kishindo kama wenzake wanavyoimba kwenye nyimbo zao.
Dini zote n majanga ila Uislamu ndo upumbavu zaidi
Lakini iyo aya ungefatilia ilishuka katika mazingira gani kila kitu kina maelezo yake mkuu binadamu tumetofautiana uelewa mtume predict kuna watu watakuja kufanya vitu vya ajabu ambavyo ni nje ya maamrishoBinafsi nilikua sifuatilii mambo yenu, nilijua nyie ni kama dini zingine, ila vituko vyenu vikazidi kuwa vingi, mauaji kila sehemu, mnachinja na kujilipua mabomu, ndio nikaanza kujua lazima maandiko yanawaamrisha huo uzombi, haiwezekani mtu kwa akili yake anateka basi la abiria anaanza kuchinja wasio waislamu.
Ni vigumu sana kutazama uislamu kwa mtazamo chanya huku mnaendelea kuua watu mkizingatia maandiko yenu yapo dhahiri kabisa.
Hebu soma hili tukio mlilolifanya la kuchinja abiria kisa walishindwa kujibu maswali yenu ya kidini Bus passengers massacred
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
Lakini iyo aya ungefatilia ilishuka katika mazingira gani kila kitu kina maelezo yake mkuu binadamu tumetofautiana uelewa mtume predict kuna watu watakuja kufanya vitu vya ajabu ambavyo ni nje ya maamrisho
Na nikupe faida moja ambayo watu hawaizingatii linapokuja swala zima la uislam.
Mtume alishasema umma wake utagawanyika katika makundi 73 na kundi moja tu ndo litakalo salimika ( apa alizungumzia uislam utagawanyika)
Na iyo ni asili ya dini mbalimbali kugawanyika kutokana na uelewa tofauti tofauti wa watu kwaiyo asikwambie mtu mzee kuwa waislam wote ni kitu kimoja wakati mtume mwenyewe alishasema yatatokea makundi mbali mbali na litasalimika moja tu ambalo alilitolea maelezo
Waislam wengi tupo sawa katika jambo moja, kuamini katika mungu mmoja ambaye ni Allah ila itakadi zingine nadhani waislam wametofautiana sana
Alafu hau waislam wanaoua watu ovyo ovyo sio wageni yani wajuzi hao wapo tokea kipindi cha mtume hajafa wakapewa jina la (khawarij) mbwa wa motoni na washaua hadi maswahaba kama Omary, othman na wengine..
Ukitaka kuujua uislam wa kweli ukitaka kujua kweli quran na sunna za mtume na historia ya kweli kwa ufahamu wa waja wema waliotangulia tafuta wanazuoni mimi naweza kukupa muongozo
Ofcourse kuna mambo yanakera yanayofanywa na baadhi ya waislam ambao wanazitafsir vibaya aya za quran na mafundisho ya mtume
Me naamini kabisa ukipata muongozo sahihi wakuijua iyo dini hutowachukia sana na utawachukia baadhi ambao wanafanya mambo nje ya mafundisho
Kuna kitu unajaribu kukisema (though kwa juu juu una hoja) lakini mtu ukikaa ukatafakari kwa kina unakosa uelewa kwamba kwanini kitu sensitive kama hiki kiandikwe ktk kitabu kinachopaswa kusomwa ili kumtafuta Mungu wa kweli?ukitaka kunielewa tuliza akili soma kuanzia hapo nilipo-bold kwa maandishi makubwa,soma siyo ili unijibu soma uelewe!nimeweka nukuuLakini iyo aya ungefatilia ilishuka katika mazingira gani kila kitu kina maelezo yake mkuu binadamu tumetofautiana uelewa mtume predict kuna watu watakuja kufanya vitu vya ajabu ambavyo ni nje ya maamrisho
Na nikupe faida moja ambayo watu hawaizingatii linapokuja swala zima la uislam.
Mtume alishasema umma wake utagawanyika katika makundi 73 na kundi moja tu ndo litakalo salimika ( apa alizungumzia uislam utagawanyika)
Na iyo ni asili ya dini mbalimbali kugawanyika kutokana na uelewa tofauti tofauti wa watu kwaiyo asikwambie mtu mzee kuwa waislam wote ni kitu kimoja wakati mtume mwenyewe alishasema yatatokea makundi mbali mbali na litasalimika moja tu ambalo alilitolea maelezo
Waislam wengi tupo sawa katika jambo moja, kuamini katika mungu mmoja ambaye ni Allah ila itakadi zingine nadhani waislam wametofautiana sana
Alafu hau waislam wanaoua watu ovyo ovyo sio wageni yani wajuzi hao wapo tokea kipindi cha mtume hajafa wakapewa jina la (khawarij) mbwa wa motoni na washaua hadi maswahaba kama Omary, othman na wengine..
Ukitaka kuujua uislam wa kweli ukitaka kujua kweli quran na sunna za mtume na historia ya kweli kwa ufahamu wa waja wema waliotangulia tafuta wanazuoni mimi naweza kukupa muongozo
Ofcourse kuna mambo yanakera yanayofanywa na baadhi ya waislam ambao wanazitafsir vibaya aya za quran na mafundisho ya mtume
Me naamini kabisa ukipata muongozo sahihi wakuijua iyo dini hutowachukia sana na utawachukia baadhi ambao wanafanya mambo nje ya mafundisho
Hata wanapochinja mtu wanamwita Mungu wao.Hapo hapo umesema binadamu tumetofautiana uelewa ndio umemaliza kila kitu, sasa ndugu zako uelewa wao ni tofauti na wa kwako hivyo wanachinja watu kwa kutumia hizo aya.