Je, andiko hili la kiislamu kwa Wayahudi linawezekana kuwa sababu za chuki hizi?


Kuna namna dunia inabidi ishughulike na hii dini ni threat kwa ustawi na amani ya dunia.
 
dini yao haibadili mioyo ila inaleta jazaba kwa wao. Tazama wasomali walivyowaua wakenya pale nairobi!!
 
Ukienda Nigeria Waislamu wanagombana na Wakristo.

Ukienda Uhindini Waislamu wanagombana na Wahindu

Ukienda China Waislamu wanagombana na Wabudha

Ukienda Israeli Waislamu wanagombana na Wayahudi

Ukienda Somalia na Sudan Waislamua wanagombana wao kwa Wao.

Ukija Tanzania Waislamu wanauwa watu. Kibiti. Mkuranga. Rufiji. Tanga Amboni. Nk.

Ukienda Irani na Afghanistani Waislamu wanagombana na Wanawake wote wasiye vaa Hijabu na Nikabu.
 

Nilikuambia siku zote sikua mfuatiliaji wa mambo yenu, nilijua nyie ni dini kama za wengine hadi pale mlianza kuua watu kisa dini, mwanzo nikadhani labda kuna watu wanajaribu kuwaharibia jina, ila mauaji na matukio yenu yalipozidi ndio nikawa najiuliza au labda kuna mafundisho kwenye dini yenu yanayoamrisha yote haya, utafiti kidogo tu nikakumbana na aya kibao hizo zinazoamrisha muue watu wasiomuabudu huyo muarabu.

Hivyo hata tukeshe humu ukiandika andika, haitobadilisha uhalsia wa mauaji yanayofanywa na watu wanaofuata hizo aya.
Mnapaswa kjifunza kuvumilia wengine, maandamano kama haya ni ishara ya chuki


View: https://www.youtube.com/watch?v=pcwvILodCKM
 
Nakushauri fuatilia mafundisho ya uislam kwa mtazamo chanya na kwa watu sahihi utapata amani ya moyo utaacha kuchukia uislam utaona ni dini tu ambayo watu wanaiheshim na kuna watu wanailewa vibaya
Nazan ulipaswa kujibu hoja je kilicho andikwa ni kweli ama si kweli
 
Kwahiyo kisa waamaleki siwajui ndio iwe sawa Mungu wako kuwatuma wakina Sauli kuuwa mpaka watoto? huna hoja wewe ukweli ni kwamba kabla hujashangaa maandiko ya mauaji kwenye Quran ni vyema ukaenda kufuta maandiko hayo kwenye Biblia yako, acha fujo ambazo hazina maana , ulivyo wa ovyo unaniuliza unawajua waamaleki kwahiyo kutokuwajua ndio ina ondoa ubinadamu wao!!! ukija kwangu uwe umejipanga

Chuma hiki hapa
Basi sasa enda ukawapige Amaleki, na kuviharibu kabisa vitu vyote walivyo navyo, wala msiwaachilie; bali waueni, mwanamume na mwanamke, mtoto naye anyonyaye, ng'ombe na kondoo, ngamia na punda.

1 Samueli 15:3
 
Plus:
Huko Pemba, Zenji wanazuia waumini wa Kikristo kujenga Kanisa la kuabudia, lakini Bara wanajenga misikiti kila mahali kwa uhuru!

View: https://youtu.be/pcwvILodCKM?si=ivTANuwDGcY3JtWj
 
Hujui kiingereza au unajitoa akili?

Tafsiri ya hiyo sentensi ya kiingereza ni kwamba watapigana hadi ile siku jiwe litakaposema “Muislam, kuna myahudi nyuma yangu, njoo umuue”.

Na haisemi kwamba hata aliyejificha nyuma ya jiwe auwawe.
 
Hivi mna uhakika hii ni dini ?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Hujui kiingereza au unajitoa akili?

Tafsiri ya hiyo sentensi ya kiingereza ni kwamba watapigana hadi ile siku jiwe litakaposema “Muislam, kuna myahudi nyuma yangu, njoo umuue”.

Na haisemi kwamba hata aliyejificha nyuma ya jiwe auwawe.

Kwa hivyo "njoo umuue" ni sawa na kusema "njoo umuimbie taarab".
 
Kwa hivyo "njoo umuue" ni sawa na kusema "njoo umuimbie taarab".
Hiyo imesemwa kumaanisha figuratively kwamba vita yao itakuwa ni ya muda mrefu sana, probably hadi mwisho wa dunia, maana haitatokea siku jiwe likaongea, au hujui maana ya ‘figure of speech’?
 
Hiyo imesemwa kumaanisha figuratively kwamba vita yao itakuwa ni ya muda mrefu sana, probably hadi mwisho wa dunia, maana haitatokea siku jiwe likaongea, au hujui maana ya ‘figure of speech’?
Hapo umechomekea "probably" ni wazi unaandika unachodhani kuwa kweli, hata hivyo tafsiri halisi ni kuwa waislamu wanaambiwa watawaua wayahudi hadi hao wayahudi watakosa pakujificha maana hata wakijificha nyuma ya mawe, hayo mawe yatawaumbua.
Sijui lini mtajifunza kuishi na binadamu kwa amani, tafuteni namna ya kushawishi mapagan uwepo wa Mungu na kwamba yeye ni wa amani, hebu ona ndugu zenu wanavyopokelewa huku Kanisa kongwe Gaza limehifadhi Waislamu waliokimbia mabomu, limewapokea kwa upendo
 
80 kwamba boko haram , adf , al ansar , al shabab , is central africal , jana weed hawa wote wapo mars hawapo dunian maana hakuna anewazid kwa kufanya mauaji
 
Hayo mengine mimi sipo huko, ninachosema ni kwamba, jiwe kuongea ni ‘figure of speech’, na sio kwamba waislamu wanaambiwa waue hadi waliojificha nyuma ya jiwe
 
Hayo mengine mimi sipo huko, ninachosema ni kwamba, jiwe kuongea ni ‘figure of speech’, na sio kwamba waislamu wanaambiwa waue hadi waliojificha nyuma ya jiwe

Of-course jiwe haliwezi kuongea na kuwaumbua Wayahudi waliojificha nyuma yake, sio literal, lakini kimsingi 'mungu' wenu kwa chuki zake kwa Wayahudi anaamrisha wauawe mpaka waliojificha nyuma ya jiwe, sasa tatizo Mungu wa Wayahudi ana nguvu nyingi kuliko huyo wenu, kila mkijaribu kuua Wayahudi mnakufa wengi.
Soma historia, ndugu zenu wameuawa wengi sana kila wakijaribu kufuta jamii ya Wayahudi.
 
Mwenye dini yake ni kitombi, katoto ka miaka tisa. Huu ni ubakaji. Hiki ni kielelezo cha ushetani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…