jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Wabudha wako na Amani
Pia Wahindu
Warastafari
Wamomoni
Wapagani
Wakristo
Nk
Dini moja tu ndio inayoleta fujo Dunia hii.
Na wakiuwa watu wasio na hatia hata hao wanaosema Dini ya Amani hawakemei kabisa hayo matendo.
Dunia inatakiwa ikae chini iifute hii Dini.
Hata mauaji yanayoendelea Mashariki ya Kati kwa sasa wao ndio waliochokoza wenzao kwa kuua na kuteka watu wasio na hatia.
Mjitafakari basi hata kidogo tu
La Hii Dini ifutwe ili tuishi kwa Amani.
Inatakiwa ukubali kuwa wewe sio mfuatiliaji wa mambo na unatakiwa ujifunze kupitia sisi izo harakati zinaendelea mkuu kuwahubiria watu wanaoleta maafa kwa ugaidi unaofanyika nimekuelezea apo juu jitihada na juhudi za baadhi wa masheikh kupinga ugaidi naweza nikakutajia na masheikh wenyewe na mafundisho yao wakikemea ayo mambo yaliyofanyika kwa hamasa za kina Abud logo na wenzake we ulizani Bongo ingekuwa na amani ivi mzee
Nakuandikia kwasababu umekuwa kinara katika upotoshaji na umeegemea katika aya mbili ambazo hutaki kuambiwa chochote juu ya izo aya na bila kusahau leo weekend sina mchongo leo nashinda Jf tu
Nipo tayari kukufundisha usiyoyajua hata inbox utabadili mtazamo naamini, sina shaka na elimu yako najua ni msomi na unauwezo mkubwa wakuchambua mambo
Nazan ulipaswa kujibu hoja je kilicho andikwa ni kweli ama si kweliNakushauri fuatilia mafundisho ya uislam kwa mtazamo chanya na kwa watu sahihi utapata amani ya moyo utaacha kuchukia uislam utaona ni dini tu ambayo watu wanaiheshim na kuna watu wanailewa vibaya
Kwahiyo kisa waamaleki siwajui ndio iwe sawa Mungu wako kuwatuma wakina Sauli kuuwa mpaka watoto? huna hoja wewe ukweli ni kwamba kabla hujashangaa maandiko ya mauaji kwenye Quran ni vyema ukaenda kufuta maandiko hayo kwenye Biblia yako, acha fujo ambazo hazina maana , ulivyo wa ovyo unaniuliza unawajua waamaleki kwahiyo kutokuwajua ndio ina ondoa ubinadamu wao!!! ukija kwangu uwe umejipangaWewe unawajua hao akina waemeleki ?
Nyie mnawaua watu hadi sasa hivi.
Kila mahali wauaji ni nyie tu. Mmagombana na watu wa dini zote.
Hivi ni kweli hamuoni huo uhalifu wenu ?
Kwenye kila jamii ya Waislamu lazima kuwe na mauaji.
Mfano hapa Nchini mmeua Watanzania juzi tu kwenye ubarozi wa Marekani kwa Mabomu.
Mmeuwa watu
Kibiti
Mkuranga
Rufiji
Tanga Amboni
Na kwingine kwingi na hakuna jumuia za Kiislamu zilizokemea hayo matendo yenu maovu.
Bila uimara wa vyombo vya usalama mlikuwa mnaua watu wa kila mkoa na Wilaya zake.
Hivi hamkai chini mkawatafari Mtume wenu Muhammadi na Mungu wenu Allah kuwa kuwa ni viumbe vya kumwaga damu za wasio na hatia duniani?
Hao Hammas si ndio walioanzisha mauaji yanayo endelea huko Palestina. Na mkawasifu sana na kuwashangilia.
Kaeni chini mjitafakari na sio kuleta ubishi usio na maana.
Dini yenu ni ya chinjachinja ulimwenguni kote mnako kaa
Hiyo Dini yenu ni Majanga sana hapa duniani.
Plus:Ukienda Nigeria Waislamu wanagombana na Wakristo.
Ukienda Uhindini Waislamu wanagombana na Wahindu
Ukienda China Waislamu wanagombana na Wabudha
Ukienda Israeli Waislamu wanagombana na Wayahudi
Ukienda Somalia na Sudan Waislamua wanagombana wao kwa Wao.
Ukija Tanzania Waislamu wanauwa watu. Kibiti. Mkuranga. Rufiji. Tanga Amboni. Nk.
Ukienda Irani na Afghanistani Waislamu wanagombana na Wanawake wote wasiye vaa Hijabu na Nikabu.
Hujui kiingereza au unajitoa akili?Kuna hili andiko la kiislamu linaloonekana kuamrisha Wayahudi wachinjwe hadi ambao watakuwa wamejificha nyuma ya mawe, je inawezekana kuwa sababu za hizi chuki?
sahih muslim 2921
Abdullah b. 'Umar reported Allah's Messenger (ﷺ) as saying:
You and the Jews would fight against one another until a stone would say: Muslim, here is a Jew behind me; come and kill him.
حَدَّثَنَا أَبُو بَكْرِ بْنُ أَبِي شَيْبَةَ، حَدَّثَنَا أَبُو أُسَامَةَ، أَخْبَرَنِي عُمَرُ بْنُ حَمْزَةَ، قَالَ سَمِعْتُ
سَالِمًا، يَقُولُ أَخْبَرَنَا عَبْدُ اللَّهِ بْنُ عُمَرَ، أَنَّ رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم قَالَ "
تَقْتَتِلُونَ أَنْتُمْ وَيَهُودُ حَتَّى يَقُولَ الْحَجَرُ يَا مُسْلِمُ هَذَا يَهُودِيٌّ وَرَائِي تَعَالَ فَاقْتُلْهُ " .
Sunnah.com
Hivi mna uhakika hii ni dini ?Kuna hili andiko la kiislamu linaloonekana kuamrisha Wayahudi wachinjwe hadi ambao watakuwa wamejificha nyuma ya mawe, je inawezekana kuwa sababu za hizi chuki?
sahih muslim 2921
Abdullah b. 'Umar reported Allah's Messenger (ﷺ) as saying:
You and the Jews would fight against one another until a stone would say: Muslim, here is a Jew behind me; come and kill him.
حَدَّثَنَا أَبُو بَكْرِ بْنُ أَبِي شَيْبَةَ، حَدَّثَنَا أَبُو أُسَامَةَ، أَخْبَرَنِي عُمَرُ بْنُ حَمْزَةَ، قَالَ سَمِعْتُ
سَالِمًا، يَقُولُ أَخْبَرَنَا عَبْدُ اللَّهِ بْنُ عُمَرَ، أَنَّ رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم قَالَ "
تَقْتَتِلُونَ أَنْتُمْ وَيَهُودُ حَتَّى يَقُولَ الْحَجَرُ يَا مُسْلِمُ هَذَا يَهُودِيٌّ وَرَائِي تَعَالَ فَاقْتُلْهُ " .
Sunnah.com
Hujui kiingereza au unajitoa akili?
Tafsiri ya hiyo sentensi ya kiingereza ni kwamba watapigana hadi ile siku jiwe litakaposema “Muislam, kuna myahudi nyuma yangu, njoo umuue”.
Na haisemi kwamba hata aliyejificha nyuma ya jiwe auwawe.
Hiyo imesemwa kumaanisha figuratively kwamba vita yao itakuwa ni ya muda mrefu sana, probably hadi mwisho wa dunia, maana haitatokea siku jiwe likaongea, au hujui maana ya ‘figure of speech’?Kwa hivyo "njoo umuue" ni sawa na kusema "njoo umuimbie taarab".
Hapo umechomekea "probably" ni wazi unaandika unachodhani kuwa kweli, hata hivyo tafsiri halisi ni kuwa waislamu wanaambiwa watawaua wayahudi hadi hao wayahudi watakosa pakujificha maana hata wakijificha nyuma ya mawe, hayo mawe yatawaumbua.Hiyo imesemwa kumaanisha figuratively kwamba vita yao itakuwa ni ya muda mrefu sana, probably hadi mwisho wa dunia, maana haitatokea siku jiwe likaongea, au hujui maana ya ‘figure of speech’?
80 kwamba boko haram , adf , al ansar , al shabab , is central africal , jana weed hawa wote wapo mars hawapo dunian maana hakuna anewazid kwa kufanya mauajiLakini cha kushangaza asilimia 80 ya mauaji ambayo yamefanyika hapa duniani yamefanywa na wanao jiita wakristo tena mpaka na kanisa likiwa na mkono wa moja kwa moja mfano mauaji ya kimbari nchini Rwanda.
Alafu kingine wakristo ndo wenye chuki na wayahudi kwa sababu ndo wahusika wakuu wa mauaji ya maangamizi dhidi ya wayahudi kabla ya mwaka 1947 .
Hahaahahaaaaa.... Wee jamaaa nmecheka km fala Yani.Hivi bado mpo serious na hizi dini
😂Nashangaa yaani yote tunayojua bado tuamini kitabu kinasema jua linazama kwenye topeHahaahahaaaaa.... Wee jamaaa nmecheka km fala Yani.
Hapo umechomekea "probably" ni wazi unaandika unachodhani kuwa kweli, hata hivyo tafsiri halisi ni kuwa waislamu wanaambiwa watawaua wayahudi hadi hao wayahudi watakosa pakujificha maana hata wakijificha nyuma ya mawe, hayo mawe yatawaumbua.
Sijui lini mtajifunza kuishi na binadamu kwa amani, tafuteni namna ya kushawishi mapagan uwepo wa Mungu na kwamba yeye ni wa amani, hebu ona ndugu zenu wanavyopokelewa huku Kanisa kongwe Gaza limehifadhi Waislamu waliokimbia mabomu, limewapokea kwa upend
Hayo mengine mimi sipo huko, ninachosema ni kwamba, jiwe kuongea ni ‘figure of speech’, na sio kwamba waislamu wanaambiwa waue hadi waliojificha nyuma ya jiwe
Mwenye dini yake ni kitombi, katoto ka miaka tisa. Huu ni ubakaji. Hiki ni kielelezo cha ushetaniDini au utamaduni unaofundisha wafuasi na waamini wake chuki,hasira,uhuni,uuaji,uonevu,kutovumiliana,kutosamehe, ubaguzi,kuweka watu kwa madaraja hadi watumwa,ubakaji,upendeleo,kujitenga na ghasia nyingine ni ya kutupiliwa mbali yenyewe na takataka zake zote mara moja bila huruma,kusitasita na kugeuka nyuma.