Je, awamu ya sita ipo kwaajili tu ya kurekebisha makosa ya Awamu ya Tano?

Je, awamu ya sita ipo kwaajili tu ya kurekebisha makosa ya Awamu ya Tano?

Uelekeo wa awamu ya sita unaonesha upo Kwa ajili ya kurekebisha yaliyofanyika awamu ya tano.

Inavyoonekana kulikuwa na "makosa" mengi sana yaliyokwisha fanyika awamu ya tano ambapo jukumu la kwanza kwa awamu ya sita ni kurekebisha makosa ya awamu iliyopita.

Ukitazama safu ya uongozi katika awamu ya sita na tano haitofautiani sana.

Je, awamu ya sita inajificha nyuma ya kivuli Cha awamu ya Tano?

Je, ni rahisi Kwa awamu ya sita kubakia na clean file?

Je, ni lini hasa tutaona awamu ya sita ikifanya mambo yake bila kuyagusa yale ya awamu iliyopita? Inawezekana?

Je, ni lazima kwamba Kila jambo la awamu ya Tano libadiliashwe?

Je, Kila jambo lililofanyika awamu ya Tano lilikuwa baya?

Naamini awamu ya Saba ikifika yatashuhudiwa mengi ya awamu ya sita kama tulivyoona awamu ya tano Kwa ya sita.

Upanga ule ule unaotumika awamu ya SITA kuichinja awamu ya tano, unawezekana kutumika awamu ya Saba kuichinja awamu ya SITA.
Hoja yako ni ipi?
 
Uelekeo wa awamu ya sita unaonesha upo Kwa ajili ya kurekebisha yaliyofanyika awamu ya tano.

Inavyoonekana kulikuwa na "makosa" mengi sana yaliyokwisha fanyika awamu ya tano ambapo jukumu la kwanza kwa awamu ya sita ni kurekebisha makosa ya awamu iliyopita.

Ukitazama safu ya uongozi katika awamu ya sita na tano haitofautiani sana.

Je, awamu ya sita inajificha nyuma ya kivuli Cha awamu ya Tano?

Je, ni rahisi Kwa awamu ya sita kubakia na clean file?

Je, ni lini hasa tutaona awamu ya sita ikifanya mambo yake bila kuyagusa yale ya awamu iliyopita? Inawezekana?

Je, ni lazima kwamba Kila jambo la awamu ya Tano libadiliashwe?

Je, Kila jambo lililofanyika awamu ya Tano lilikuwa baya?

Naamini awamu ya Saba ikifika yatashuhudiwa mengi ya awamu ya sita kama tulivyoona awamu ya tano Kwa ya sita.

Upanga ule ule unaotumika awamu ya SITA kuichinja awamu ya tano, unawezekana kutumika awamu ya Saba kuichinja awamu ya SITA.
Kweli kuna kundi linaumia awamu ya sita
 
Cha kushangaza wewe ni CCM lakini hujui chochote kuhusu Ilani ya uchaguzi na mpango wa maendeleo wa taifa wa miaka 5.

Ila binafsi sishangai, naona unajaribu kujificha ficha lakini ukweli ni kwamba humkubali Rais Samia tangu ameingia madarakani.

Samia mpaka sasa bado ni Rais bora mara 200 kuliko kibwengo Magu, ambaye kila mwenye akili timamu anashangaa alifikaje pale juu.

Luckily, Mungu kasaidia kama ambavyo alifika pale juu kwa ajali, ameondoka vile vile kwa ajali.

Sasa hivi huna tofauti na Mmawia kifikra.
Pumbaf
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
labda chini kwa chini huko underground
Mwambie mtoto wako shujaa wa africa ni mmoja tuu alitokea Tanzania mpaka baraza la umoja wa mataifa kuket kuheshimu uongozi wake uliotukuka wazungu sio wapumbavu kama wewe na watu wa aina yako
 
Yani katika watu hawana akili ni pamoja na wewe mkuu samahani kwa kutumia lugha nzito kidogo, naomba nisamehe mkuu ila kama umefanya tafiti hakuna raisi wa ajabu kuwahi kutokea kama huyu mama na kama CCM wakijiloga wampitishe 2025 nakwambia wapinzani wakija na agenda ya magufulification hata wakiweka jiwe la pembeni likilokataliwa na waashi Watanzania watalipigia kura angalia anavyotapatapa kwenye covid19 legacy aliyoacha hayati baba wa taifawa pili(magufuli JPM) ni kubwa mnoo angalia anavyosimangwa kwa kudanganya tanzania ina corona leo watu hawamuelewi anatakiwa alipe mishahara ya mwezi huuasituletee mambo ya ajabu kiufupi akina zitto wanamuangalia tuu wakianza kutupa mabomu msianze kusema kwakua ni mwanamke.
Wacha akili za kilevi kuulinganisha upinzani na jiwe
 
Uelekeo wa awamu ya sita unaonesha upo Kwa ajili ya kurekebisha yaliyofanyika awamu ya tano.

Inavyoonekana kulikuwa na "makosa" mengi sana yaliyokwisha fanyika awamu ya tano ambapo jukumu la kwanza kwa awamu ya sita ni kurekebisha makosa ya awamu iliyopita.

Ukitazama safu ya uongozi katika awamu ya sita na tano haitofautiani sana.

Je, awamu ya sita inajificha nyuma ya kivuli Cha awamu ya Tano?

Je, ni rahisi Kwa awamu ya sita kubakia na clean file?

Je, ni lini hasa tutaona awamu ya sita ikifanya mambo yake bila kuyagusa yale ya awamu iliyopita? Inawezekana?

Je, ni lazima kwamba Kila jambo la awamu ya Tano libadiliashwe?

Je, Kila jambo lililofanyika awamu ya Tano lilikuwa baya?

Naamini awamu ya Saba ikifika yatashuhudiwa mengi ya awamu ya sita kama tulivyoona awamu ya tano Kwa ya sita.

Upanga ule ule unaotumika awamu ya SITA kuichinja awamu ya tano, unawezekana kutumika awamu ya Saba kuichinja awamu ya SITA.
CCM ni ile ile lini ccm ikawa na mwelekeo sahihi wa nchi?
 
AWAMU YA 5 ILIPOANZA ULIULIZA SWALI HILI KUHUSIANA NA AWAMU YA 4...
 
Uelekeo wa awamu ya sita unaonesha upo Kwa ajili ya kurekebisha yaliyofanyika awamu ya tano.

Inavyoonekana kulikuwa na "makosa" mengi sana yaliyokwisha fanyika awamu ya tano ambapo jukumu la kwanza kwa awamu ya sita ni kurekebisha makosa ya awamu iliyopita.

Ukitazama safu ya uongozi katika awamu ya sita na tano haitofautiani sana.

Je, awamu ya sita inajificha nyuma ya kivuli Cha awamu ya Tano?

Je, ni rahisi Kwa awamu ya sita kubakia na clean file?

Je, ni lini hasa tutaona awamu ya sita ikifanya mambo yake bila kuyagusa yale ya awamu iliyopita? Inawezekana?

Je, ni lazima kwamba Kila jambo la awamu ya Tano libadiliashwe?

Je, Kila jambo lililofanyika awamu ya Tano lilikuwa baya?

Naamini awamu ya Saba ikifika yatashuhudiwa mengi ya awamu ya sita kama tulivyoona awamu ya tano Kwa ya sita.

Upanga ule ule unaotumika awamu ya SITA kuichinja awamu ya tano, unawezekana kutumika awamu ya Saba kuichinja awamu ya SITA.
Wewe hutaki?
 
Wacha akili za kilevi kuulinganisha upinzani na jiwe
Hujanielewa mkuu its their time upinzani kuchukua nchi mimi ni timu magufuli damu sioni kipya kwa hii lady ya sasa
 
Uelekeo wa awamu ya sita unaonesha upo Kwa ajili ya kurekebisha yaliyofanyika awamu ya tano.

Inavyoonekana kulikuwa na "makosa" mengi sana yaliyokwisha fanyika awamu ya tano ambapo jukumu la kwanza kwa awamu ya sita ni kurekebisha makosa ya awamu iliyopita.

Ukitazama safu ya uongozi katika awamu ya sita na tano haitofautiani sana.

Je, awamu ya sita inajificha nyuma ya kivuli Cha awamu ya Tano?

Je, ni rahisi Kwa awamu ya sita kubakia na clean file?

Je, ni lini hasa tutaona awamu ya sita ikifanya mambo yake bila kuyagusa yale ya awamu iliyopita? Inawezekana?

Je, ni lazima kwamba Kila jambo la awamu ya Tano libadiliashwe?

Je, Kila jambo lililofanyika awamu ya Tano lilikuwa baya?

Naamini awamu ya Saba ikifika yatashuhudiwa mengi ya awamu ya sita kama tulivyoona awamu ya tano Kwa ya sita.

Upanga ule ule unaotumika awamu ya SITA kuichinja awamu ya tano, unawezekana kutumika awamu ya Saba kuichinja awamu ya SITA.
Umeongea kinyume! Awamu ya tano labda ndiyo iliyokuwa kurekebisha hadi wakapitiliza na kupelekea udikteta.
 
Cha kushangaza wewe ni CCM lakini hujui chochote kuhusu Ilani ya uchaguzi na mpango wa maendeleo wa taifa wa miaka 5.

Ila binafsi sishangai, naona unajaribu kujificha ficha lakini ukweli ni kwamba humkubali Rais Samia tangu ameingia madarakani.

Samia mpaka sasa bado ni Rais bora mara 200 kuliko kibwengo Magu, ambaye kila mwenye akili timamu anashangaa alifikaje pale juu.

Luckily, Mungu kasaidia kama ambavyo alifika pale juu kwa ajali, ameondoka vile vile kwa ajali.

Sasa hivi huna tofauti na Mmawia kifikra

Cha kushangaza wewe ni CCM lakini hujui chochote kuhusu Ilani ya uchaguzi na mpango wa maendeleo wa taifa wa miaka 5.

Ila binafsi sishangai, naona unajaribu kujificha ficha lakini ukweli ni kwamba humkubali Rais Samia tangu ameingia madarakani.

Samia mpaka sasa bado ni Rais bora mara 200 kuliko kibwengo Magu, ambaye kila mwenye akili timamu anashangaa alifikaje pale juu.

Luckily, Mungu kasaidia kama ambavyo alifika pale juu kwa ajali, ameondoka vile vile kwa ajali.

Sasa hivi huna tofauti na Mmawia kifikra.
Msingi wa ulinganifu huo ni nini? Tofauti yako na unayemtolea povu mbona siioni! Probably you are worse scenario!
 
Awamu ya sita pamoja na malengo walioyapanga kuyafikia na kazi walizopanga kutekeleza ila moja wapo ni kuivua nguo awamu ya tano. Kisha wataivua ngozi awamu ya tano. Baadae watatenganisha nyama sa mwili na mifupa. Kisha kila kipande cha mfupa kitaondolewa kwenye kiunzi cha mwili na kitawekwa kivyake. Asee awamu ya 5 imevuliwa nguo sharti ichutame.
Chawa kama chawa wa awamu ya tano nawaona tuu mlivyowakiwa kama wana UKAWA walivyoachwa na LOWASA kipindi kile.
 
Awamu ya sita pamoja na malengo walioyapanga kuyafikia na kazi walizopanga kutekeleza ila moja wapo ni kuivua nguo awamu ya tano. Kisha wataivua ngozi awamu ya tano. Baadae watatenganisha nyama sa mwili na mifupa. Kisha kila kipande cha mfupa kitaondolewa kwenye kiunzi cha mwili na kitawekwa kivyake. Asee awamu ya 5 imevuliwa nguo sharti ichutame.
Chawa kama chawa wa awamu ya tano nawaona tuu mlivyowakiwa kama wana UKAWA walivyoachwa na LOWASA kipindi kile.
 
Back
Top Bottom