Cha kushangaza wewe ni CCM lakini hujui chochote kuhusu Ilani ya uchaguzi na mpango wa maendeleo wa taifa wa miaka 5.
Ila binafsi sishangai, naona unajaribu kujificha ficha lakini ukweli ni kwamba humkubali Rais Samia tangu ameingia madarakani.
Samia mpaka sasa bado ni Rais bora mara 200 kuliko kibwengo Magu, ambaye kila mwenye akili timamu anashangaa alifikaje pale juu.
Luckily, Mungu kasaidia kama ambavyo alifika pale juu kwa ajali, ameondoka vile vile kwa ajali.
Sasa hivi huna tofauti na
Mmawia kifikra.