Je, awamu ya sita ipo kwaajili tu ya kurekebisha makosa ya Awamu ya Tano?

Je, awamu ya sita ipo kwaajili tu ya kurekebisha makosa ya Awamu ya Tano?

Yes ukiwepo moyo wako mkuu najua ukikaa peke yako unashukuru maisha ya jpm kwa siri lakini amini nakwambia yote yanayofanyika sirini yatajulikana siku moja
Sijawahi kushiriki ushetani
 
Awamu iliyochukua muda mfupi kuliko awamu zote (Miaka mitano na nusu tu!) Lakini imefanya mambo makubwa kuliko awamu zingine zote [emoji16][emoji16][emoji16]JPM was the man aise [emoji119]
Screenshot_20210624-222051_Gallery.jpg
 
Uelekeo wa awamu ya sita unaonesha upo Kwa ajili ya kurekebisha yaliyofanyika awamu ya tano.

Inavyoonekana kulikuwa na "makosa" mengi sana yaliyokwisha fanyika awamu ya tano ambapo jukumu la kwanza kwa awamu ya sita ni kurekebisha makosa ya awamu iliyopita.

Ukitazama safu ya uongozi katika awamu ya sita na tano haitofautiani sana.

Je, awamu ya sita inajificha nyuma ya kivuli Cha awamu ya Tano?

Je, ni rahisi Kwa awamu ya sita kubakia na clean file?

Je, ni lini hasa tutaona awamu ya sita ikifanya mambo yake bila kuyagusa yale ya awamu iliyopita? Inawezekana?

Je, ni lazima kwamba Kila jambo la awamu ya Tano libadiliashwe?

Je, Kila jambo lililofanyika awamu ya Tano lilikuwa baya?

Naamini awamu ya Saba ikifika yatashuhudiwa mengi ya awamu ya sita kama tulivyoona awamu ya tano Kwa ya sita.

Upanga ule ule unaotumika awamu ya SITA kuichinja awamu ya tano, unawezekana kutumika awamu ya Saba kuichinja awamu ya SITA.
Awamu ya sita HAIPO. Ni ulaghai.

Ni uchaguzi upi ulioiweka awamu ya sita madarakani?

Watalazimisha wajulikane kuwa ni awamu ya sita lakini uhalisia wake ni kwamba bado ni awamu ya tano.

Hapo 2025 baada ya uchaguzi tutakuwa na awamu ya sita rasmi, na yote haya ya maigizo yatarudishwa kwenye awamu yake stahiki, awamu ya tano.
 
Uelekeo wa awamu ya sita unaonesha upo Kwa ajili ya kurekebisha yaliyofanyika awamu ya tano.

Inavyoonekana kulikuwa na "makosa" mengi sana yaliyokwisha fanyika awamu ya tano ambapo jukumu la kwanza kwa awamu ya sita ni kurekebisha makosa ya awamu iliyopita.

Ukitazama safu ya uongozi katika awamu ya sita na tano haitofautiani sana.

Je, awamu ya sita inajificha nyuma ya kivuli Cha awamu ya Tano?

Je, ni rahisi Kwa awamu ya sita kubakia na clean file?

Je, ni lini hasa tutaona awamu ya sita ikifanya mambo yake bila kuyagusa yale ya awamu iliyopita? Inawezekana?

Je, ni lazima kwamba Kila jambo la awamu ya Tano libadiliashwe?

Je, Kila jambo lililofanyika awamu ya Tano lilikuwa baya?

Naamini awamu ya Saba ikifika yatashuhudiwa mengi ya awamu ya sita kama tulivyoona awamu ya tano Kwa ya sita.

Upanga ule ule unaotumika awamu ya SITA kuichinja awamu ya tano, unawezekana kutumika awamu ya Saba kuichinja awamu ya SITA.
Hata kibiashara, lazima urekebishe makosa ndiyo ufanisi utakuja. Makosa yasiporekebishwa hatutaenda mbele!!! Tena watu waliumizwa sana lazima wafutwe machozi!!!!
 
Watanzania na wanasiasa kwani nani anadanganywa kwa mustakabali upi ?.

👉🏾Awamu ya sita, kivipi iwe awamu ya sita?


Mwenye jibu naomba anipe majibu yanayoeleweka, vinginevyo tunamdanganya nani hapa?.
 
Yani katika watu hawana akili ni pamoja na wewe mkuu samahani kwa kutumia lugha nzito kidogo, naomba nisamehe mkuu ila kama umefanya tafiti hakuna raisi wa ajabu kuwahi kutokea kama huyu mama na kama CCM wakijiloga wampitishe 2025 nakwambia wapinzani wakija na agenda ya magufulification hata wakiweka jiwe la pembeni likilokataliwa na waashi Watanzania watalipigia kura angalia anavyotapatapa kwenye covid19 legacy aliyoacha hayati baba wa taifawa pili(magufuli JPM) ni kubwa mnoo angalia anavyosimangwa kwa kudanganya tanzania ina corona leo watu hawamuelewi anatakiwa alipe mishahara ya mwezi huuasituletee mambo ya ajabu kiufupi akina zitto wanamuangalia tuu wakianza kutupa mabomu msianze kusema kwakua ni mwanamke.
Pumba tupu
 
Kila mwenye akili timamu anajua nn alikifanya yule iblis
Uelekeo wa awamu ya sita unaonesha upo Kwa ajili ya kurekebisha yaliyofanyika awamu ya tano.

Inavyoonekana kulikuwa na "makosa" mengi sana yaliyokwisha fanyika awamu ya tano ambapo jukumu la kwanza kwa awamu ya sita ni kurekebisha makosa ya awamu iliyopita.

Ukitazama safu ya uongozi katika awamu ya sita na tano haitofautiani sana.

Je, awamu ya sita inajificha nyuma ya kivuli Cha awamu ya Tano?

Je, ni rahisi Kwa awamu ya sita kubakia na clean file?

Je, ni lini hasa tutaona awamu ya sita ikifanya mambo yake bila kuyagusa yale ya awamu iliyopita? Inawezekana?

Je, ni lazima kwamba Kila jambo la awamu ya Tano libadiliashwe?

Je, Kila jambo lililofanyika awamu ya Tano lilikuwa baya?

Naamini awamu ya Saba ikifika yatashuhudiwa mengi ya awamu ya sita kama tulivyoona awamu ya tano Kwa ya sita.

Upanga ule ule unaotumika awamu ya SITA kuichinja awamu ya tano, unawezekana kutumika awamu ya Saba kuichinja awamu ya SITA.
 
Yani katika watu hawana akili ni pamoja na wewe mkuu samahani kwa kutumia lugha nzito kidogo, naomba nisamehe mkuu ila kama umefanya tafiti hakuna raisi wa ajabu kuwahi kutokea kama huyu mama na kama CCM wakijiloga wampitishe 2025 nakwambia wapinzani wakija na agenda ya magufulification hata wakiweka jiwe la pembeni likilokataliwa na waashi Watanzania watalipigia kura angalia anavyotapatapa kwenye covid19 legacy aliyoacha hayati baba wa taifawa pili(magufuli JPM) ni kubwa mnoo angalia anavyosimangwa kwa kudanganya tanzania ina corona leo watu hawamuelewi anatakiwa alipe mishahara ya mwezi huuasituletee mambo ya ajabu kiufupi akina zitto wanamuangalia tuu wakianza kutupa mabomu msianze kusema kwakua ni mwanamke.
Kumbe tanzania hakuna Corona afu bi mkubwa anasema ipo ..aisee bi mkubwa siyo mzalendo hata kidogo ila magufuli alikiwa jembe kwerikweri ....au nasema uongo ndugu yangu ..msema kweri ni mpenzi wa mungu na razima ukweri usemwe
 
Hata mjinga hujiona mwerevu
Yani katika watu hawana akili ni pamoja na wewe mkuu samahani kwa kutumia lugha nzito kidogo, naomba nisamehe mkuu ila kama umefanya tafiti hakuna raisi wa ajabu kuwahi kutokea kama huyu mama na kama CCM wakijiloga wampitishe 2025 nakwambia wapinzani wakija na agenda ya magufulification hata wakiweka jiwe la pembeni likilokataliwa na waashi Watanzania watalipigia kura angalia anavyotapatapa kwenye covid19 legacy aliyoacha hayati baba wa taifawa pili(magufuli JPM) ni kubwa mnoo angalia anavyosimangwa kwa kudanganya tanzania ina corona leo watu hawamuelewi anatakiwa alipe mishahara ya mwezi huuasituletee mambo ya ajabu kiufupi akina zitto wanamuangalia tuu wakianza kutupa mabomu msianze kusema kwakua ni mwanamke.
 
Kweli mleta mada umefubaa akili. wewe uoni kuwa mwendazake nchi aliifanya isiwe ya kistaarabu? Mama Kaletwa na Mungu kuleta ahueni
 
Uelekeo wa awamu ya sita unaonesha upo Kwa ajili ya kurekebisha yaliyofanyika awamu ya tano.

Inavyoonekana kulikuwa na "makosa" mengi sana yaliyokwisha fanyika awamu ya tano ambapo jukumu la kwanza kwa awamu ya sita ni kurekebisha makosa ya awamu iliyopita.

Ukitazama safu ya uongozi katika awamu ya sita na tano haitofautiani sana.

Je, awamu ya sita inajificha nyuma ya kivuli Cha awamu ya Tano?

Je, ni rahisi Kwa awamu ya sita kubakia na clean file?

Je, ni lini hasa tutaona awamu ya sita ikifanya mambo yake bila kuyagusa yale ya awamu iliyopita? Inawezekana?

Je, ni lazima kwamba Kila jambo la awamu ya Tano libadiliashwe?

Je, Kila jambo lililofanyika awamu ya Tano lilikuwa baya?

Naamini awamu ya Saba ikifika yatashuhudiwa mengi ya awamu ya sita kama tulivyoona awamu ya tano Kwa ya sita.

Upanga ule ule unaotumika awamu ya SITA kuichinja awamu ya tano, unawezekana kutumika awamu ya Saba kuichinja awamu ya SITA.
Hata awamu ya tano ilitumika kuchinja awamu ya nne tena awamu ya nne ilidhihakiwa sana utafikiri hakuna kizuri kilichofanyika
 
Labda wazungu wa chato
Mwambie mtoto wako shujaa wa africa ni mmoja tuu alitokea Tanzania mpaka baraza la umoja wa mataifa kuket kuheshimu uongozi wake uliotukuka wazungu sio wapumbavu kama wewe na watu wa aina yako
 
Uelekeo wa awamu ya sita unaonesha upo Kwa ajili ya kurekebisha yaliyofanyika awamu ya tano.

Inavyoonekana kulikuwa na "makosa" mengi sana yaliyokwisha fanyika awamu ya tano ambapo jukumu la kwanza kwa awamu ya sita ni kurekebisha makosa ya awamu iliyopita.

Ukitazama safu ya uongozi katika awamu ya sita na tano haitofautiani sana.

Je, awamu ya sita inajificha nyuma ya kivuli Cha awamu ya Tano?

Je, ni rahisi Kwa awamu ya sita kubakia na clean file?

Je, ni lini hasa tutaona awamu ya sita ikifanya mambo yake bila kuyagusa yale ya awamu iliyopita? Inawezekana?

Je, ni lazima kwamba Kila jambo la awamu ya Tano libadiliashwe?

Je, Kila jambo lililofanyika awamu ya Tano lilikuwa baya?

Naamini awamu ya Saba ikifika yatashuhudiwa mengi ya awamu ya sita kama tulivyoona awamu ya tano Kwa ya sita.

Upanga ule ule unaotumika awamu ya SITA kuichinja awamu ya tano, unawezekana kutumika awamu ya Saba kuichinja awamu ya SITA.
Siyo kurekebisha makosa ya awamu ya tano tu bali kurejesha taswira Na haiba ya nchi iliyochafuliwa na jiwe
 
Back
Top Bottom