Je, awamu ya sita ipo kwaajili tu ya kurekebisha makosa ya Awamu ya Tano?

Je, awamu ya sita ipo kwaajili tu ya kurekebisha makosa ya Awamu ya Tano?

Unaonyesha kiasi cha ujinga uliokughubika, kama alivyokuwa nao huyo unayemuongelea hapa.

Hapa ni karne ya ishirini na moja, bado tuna watu wajinga kama nyinyi, ni aibu kubwa sana kwa taifa letu. Yaani maendeleo yote ya sayansi yamewapita pembeni kabisa, ni kama mnaishi kwenye pango lenu kusikofikiwa na taarifa kabisa?
Inasikitisha na kutia aibu sana kuona baadhi ya watu kama nyinyi mnaongozwa na fikra za kibeberu na kukosa akili hata kidogo.Hii ni karne ya 21 bado watu kama nyie mnasikiliza na kuongozwa na fikra za kibeberu ?! Huna akili japo kidogo tu ya kukuwezesha kufikiria njia zako mbadala ya kutatua matatizo yako mpaka usubiri maelekezo kutoka kwa mabeberu??
 
Uelekeo wa awamu ya sita unaonesha upo Kwa ajili ya kurekebisha yaliyofanyika awamu ya tano.

Inavyoonekana kulikuwa na "makosa" mengi sana yaliyokwisha fanyika awamu ya tano ambapo jukumu la kwanza kwa awamu ya sita ni kurekebisha makosa ya awamu iliyopita.

Ukitazama safu ya uongozi katika awamu ya sita na tano haitofautiani sana.

Je, awamu ya sita inajificha nyuma ya kivuli Cha awamu ya Tano?

Je, ni rahisi Kwa awamu ya sita kubakia na clean file?

Je, ni lini hasa tutaona awamu ya sita ikifanya mambo yake bila kuyagusa yale ya awamu iliyopita? Inawezekana?

Je, ni lazima kwamba Kila jambo la awamu ya Tano libadiliashwe?

Je, Kila jambo lililofanyika awamu ya Tano lilikuwa baya?

Naamini awamu ya Saba ikifika yatashuhudiwa mengi ya awamu ya sita kama tulivyoona awamu ya tano Kwa ya sita.

Upanga ule ule unaotumika awamu ya SITA kuichinja awamu ya tano, unawezekana kutumika awamu ya Saba kuichinja awamu ya SITA.


Nimeshaiona chuki yenu dhidi ya Mama, nakukumbuka kama mtu ambae ulikuwa unaitetea hiyo awamu ya Magufuli iwe imefanya vizuri au vibaya
 
Awamu iliyochukua muda mfupi kuliko awamu zote (Miaka mitano na nusu tu!) Lakini imefanya mambo makubwa kuliko awamu zingine zote [emoji16][emoji16][emoji16]JPM was the man aise [emoji119]View attachment 1829500
Hapo kwenye afya achana napo kabisa mkuu,sasa hivi hospitali za serikali hazina dawa KABISA, vipimo tunalipa cash kwa bei sawa na hospitali binafsi,hospitali binafsi hatulipi 12,000 za kufungua file kama hosp za serikali,hiyo 12,000 kwenye hospitali binafsi inatosha gharama zote za matibabu kwa magonjwa madogo madogo,hospitali za serikali zimegeuka gulio siku hizi mkuu,tbc isikudanganye
 
Kama awamu ya tano ilivyokua inajiona iko kwa ajili ya kurekebisha makosa ya watangulizi.
 
Hapo kwenye afya achana napo kabisa mkuu,sasa hivi hospitali za serikali hazina dawa KABISA, vipimo tunalipa cash kwa bei sawa na hospitali binafsi,hospitali binafsi hatulipi 12,000 za kufungua file kama hosp za serikali,hiyo 12,000 kwenye hospitali binafsi inatosha gharama zote za matibabu kwa magonjwa madogo madogo,hospitali za serikali zimegeuka gulio siku hizi mkuu,tbc isikudanganye
Hayo ni mambo ya awamu ya 6 mkuu! Hayakuwepo kabisa wakati wa awamu ya 5.Ila kiujumla huduma nyingi za afya ambazo ilikuwa uende India zimeletwa hapa hapa nyumbani katika awamu ya 5.
 
Point of correction; hakuwahi bomoa alienzi yale yoote mazuri ya awamu zote alichoongeza ni kufanya na kutenda kwa kasi kuliko awamu zilizopita alikua akimtuma JK china kunegotiate kuhusu mkopo wa SGR na mengine mengi alimfanya JK kama waziri wa mambo ya nje alichokuja kufanya cha tofauti ni kupambana na majambazi wa mali za umma
sgr ni mkopo kumbe?nilijua ni pesa zetu za ndani kwa hiyo kikwete aalitumwa china kupiga magoti,aiseeee
 
Uelekeo wa awamu ya sita unaonesha upo Kwa ajili ya kurekebisha yaliyofanyika awamu ya tano.

Inavyoonekana kulikuwa na "makosa" mengi sana yaliyokwisha fanyika awamu ya tano ambapo jukumu la kwanza kwa awamu ya sita ni kurekebisha makosa ya awamu iliyopita.

Ukitazama safu ya uongozi katika awamu ya sita na tano haitofautiani sana.

Je, awamu ya sita inajificha nyuma ya kivuli Cha awamu ya Tano?

Je, ni rahisi Kwa awamu ya sita kubakia na clean file?

Je, ni lini hasa tutaona awamu ya sita ikifanya mambo yake bila kuyagusa yale ya awamu iliyopita? Inawezekana?

Je, ni lazima kwamba Kila jambo la awamu ya Tano libadiliashwe?

Je, Kila jambo lililofanyika awamu ya Tano lilikuwa baya?

Naamini awamu ya Saba ikifika yatashuhudiwa mengi ya awamu ya sita kama tulivyoona awamu ya tano Kwa ya sita.

Upanga ule ule unaotumika awamu ya SITA kuichinja awamu ya tano, unawezekana kutumika awamu ya Saba kuichinja awamu ya SITA.
Mafuta ya taa yakimwagwa kwenye shimo lazima nyoka watoke kama hivi
 
Mwambie mtoto wako shujaa wa africa ni mmoja tuu alitokea Tanzania mpaka baraza la umoja wa mataifa kuket kuheshimu uongozi wake uliotukuka wazungu sio wapumbavu kama wewe na watu wa aina yako
Ni utaratibu wa kawaida UN kumuenzi raisi aliyefia madarakani shida hakuwahi kanyaga huko angekujuza.
 
Uelekeo wa awamu ya sita unaonesha upo Kwa ajili ya kurekebisha yaliyofanyika awamu ya tano.

Inavyoonekana kulikuwa na "makosa" mengi sana yaliyokwisha fanyika awamu ya tano ambapo jukumu la kwanza kwa awamu ya sita ni kurekebisha makosa ya awamu iliyopita.

Ukitazama safu ya uongozi katika awamu ya sita na tano haitofautiani sana.

Je, awamu ya sita inajificha nyuma ya kivuli Cha awamu ya Tano?

Je, ni rahisi Kwa awamu ya sita kubakia na clean file?

Je, ni lini hasa tutaona awamu ya sita ikifanya mambo yake bila kuyagusa yale ya awamu iliyopita? Inawezekana?

Je, ni lazima kwamba Kila jambo la awamu ya Tano libadiliashwe?

Je, Kila jambo lililofanyika awamu ya Tano lilikuwa baya?

Naamini awamu ya Saba ikifika yatashuhudiwa mengi ya awamu ya sita kama tulivyoona awamu ya tano Kwa ya sita.

Upanga ule ule unaotumika awamu ya SITA kuichinja awamu ya tano, unawezekana kutumika awamu ya Saba kuichinja awamu ya SITA.
Safi sana kama yapo yaliyokosewa na yanahitaji kurekebishwa yarekebishwe yote huu ndiyo ustaarabu wa kila mtu mstaarabu huwezi kukaa mahali penye kasoro bila kurekebisha hongera sana awamu ya mlezi
 
Sawa,,lakini hivi sisi wasukuma tulikosea wapi?au hatuna talent ya uongozi nini?
Ni wengi sawa hilo halina ubishi,
Wengi mna elimu za kati sawa
Mliingizwa mkenge kumkubali bwana yule kama kabila yenu kawaangusha sana si kidogo
Sidhani kama mnaweza kupewa dhamana nyingine ya juu
Bakini na kazi yenu ya asili ya kuchunga wanyama na kilimo cha vijaruba.Biashara imeisha.
 
Uelekeo wa awamu ya sita unaonesha upo Kwa ajili ya kurekebisha yaliyofanyika awamu ya tano.

Inavyoonekana kulikuwa na "makosa" mengi sana yaliyokwisha fanyika awamu ya tano ambapo jukumu la kwanza kwa awamu ya sita ni kurekebisha makosa ya awamu iliyopita.

Ukitazama safu ya uongozi katika awamu ya sita na tano haitofautiani sana.

Je, awamu ya sita inajificha nyuma ya kivuli Cha awamu ya Tano?

Je, ni rahisi Kwa awamu ya sita kubakia na clean file?

Je, ni lini hasa tutaona awamu ya sita ikifanya mambo yake bila kuyagusa yale ya awamu iliyopita? Inawezekana?

Je, ni lazima kwamba Kila jambo la awamu ya Tano libadiliashwe?

Je, Kila jambo lililofanyika awamu ya Tano lilikuwa baya?

Naamini awamu ya Saba ikifika yatashuhudiwa mengi ya awamu ya sita kama tulivyoona awamu ya tano Kwa ya sita.

Upanga ule ule unaotumika awamu ya SITA kuichinja awamu ya tano, unawezekana kutumika awamu ya Saba kuichinja awamu ya SITA.
Hicho ni kitu cha kawaida. Ndio maana awamu ya 5 miaka yake ya mwanzoni iliinanga sana awamu ya 4. Yaani ilikomaa kuonesha madhaifu ya awamu hasa ya 4. Kumbuka kauli za tumepigwa sana na nyingine nyingi. So, usipagawe kila kiongozi ana dira yake. Mama yupo kustawisha jamii ya watu anaowaongoza na si kupambana na watu wake. Haki huinua taifa.
 
Inasikitisha na kutia aibu sana kuona baadhi ya watu kama nyinyi mnaongozwa na fikra za kibeberu na kukosa akili hata kidogo.Hii ni karne ya 21 bado watu kama nyie mnasikiliza na kuongozwa na fikra za kibeberu ?! Huna akili japo kidogo tu ya kukuwezesha kufikiria njia zako mbadala ya kutatua matatizo yako mpaka usubiri maelekezo kutoka kwa mabeberu??
Wewe ni mpumbavu hasa wa kuvuka kiwango, na wala siyo mjinga tu kama nilivyokufikiria hapo mwanzo.

Hayo uliyoandika hapo juu unajiona unayo akili timamu wewe? "Mabeberu" ni kitu gani, unadhani ukitaja neno 'mabeberu' tukutambue wewe kwamba unajuwa lolote, huku hakuna unachojua?

Sasa ukilia na mabeberu, wewe unayewaabudu, unataka na sisi tulio na uelewa wa mambo ya dunia ya leo tufanyeje, tukuunge mkono juha kama wewe?

Nyinyi watu sijui mmetokea wapi na akili zenu mbovu kiasi hiki!

Kama una lolote la maana unalojuwa liweke hapa tulijadili, vinginevyo usinipotezee muda na upuuzi wa namna hiyo hapo juu.

"Huna akili japo kidogo tu ya kukuwezesha kufikiria njia zako mbadala ya kutatua matatizo yako mpaka usubiri maelekezo kutoka kwa mabeberu"?

Mstari huu hapa unakuonyesha jinsi ulivyo mtupu kabisa kichwani.
 
Yani katika watu hawana akili ni pamoja na wewe mkuu samahani kwa kutumia lugha nzito kidogo, naomba nisamehe mkuu ila kama umefanya tafiti hakuna raisi wa ajabu kuwahi kutokea kama huyu mama na kama CCM wakijiloga wampitishe 2025 nakwambia wapinzani wakija na agenda ya magufulification hata wakiweka jiwe la pembeni likilokataliwa na waashi Watanzania watalipigia kura angalia anavyotapatapa kwenye covid19 legacy aliyoacha hayati baba wa taifawa pili(magufuli JPM) ni kubwa mnoo angalia anavyosimangwa kwa kudanganya tanzania ina corona leo watu hawamuelewi anatakiwa alipe mishahara ya mwezi huuasituletee mambo ya ajabu kiufupi akina zitto wanamuangalia tuu wakianza kutupa mabomu msianze kusema kwakua ni mwanamke.

Siyo bure una mawazo finyu sijpata kuona
 
Wewe ni mpumbavu hasa wa kuvuka kiwango, na wala siyo mjinga tu kama nilivyokufikiria hapo mwanzo.

Hayo uliyoandika hapo juu unajiona unayo akili timamu wewe? "Mabeberu" ni kitu gani, unadhani ukitaja neno 'mabeberu' tukutambue wewe kwamba unajuwa lolote, huku hakuna unachojua?

Sasa ukilia na mabeberu, wewe unayewaabudu, unataka na sisi tulio na uelewa wa mambo ya dunia ya leo tufanyeje, tukuunge mkono juha kama wewe?

Nyinyi watu sijui mmetokea wapi na akili zenu mbovu kiasi hiki!

Kama una lolote la maana unalojuwa liweke hapa tulijadili, vinginevyo usinipotezee muda na upuuzi wa namna hiyo hapo juu.
Itoshe tu kusema wewe ni Mpumbavu wa kiwango cha SGR! Uwepo wako ni hasara kwa taifa
 
Taja hayo mambo ya hovyo ya awamu ya tano
Uuaji, utekaji, dhulma, mashambulizi ya silaha kwa wanasiasa wa upinzani, kuteua majambazi ili wanyanyase wananchi, kubaka demokrasia, ukabila, kuipendelea Chato, miili kuokotwa kwenye viroba huku serikali ikifumbia macho. The list is endless.
 
Wewe jamaa unasema nini..nyie sindiyo mlikuwa mnasifu na kuunga juhudi mkono.

Mlijitoa ufahamu kusifu hata mambo ya hovyo yaliyokuwa yakifanyika.

Acheni porojo zenu hakika hakuna jiwe litakalo salia ,watu wameumizwa sana katika hiyo awamu ya Mwendazake.
 
Yani katika watu hawana akili ni pamoja na wewe mkuu samahani kwa kutumia lugha nzito kidogo, naomba nisamehe mkuu ila kama umefanya tafiti hakuna raisi wa ajabu kuwahi kutokea kama huyu mama na kama CCM wakijiloga wampitishe 2025 nakwambia wapinzani wakija na agenda ya magufulification hata wakiweka jiwe la pembeni likilokataliwa na waashi Watanzania watalipigia kura angalia anavyotapatapa kwenye covid19 legacy aliyoacha hayati baba wa taifawa pili(magufuli JPM) ni kubwa mnoo angalia anavyosimangwa kwa kudanganya tanzania ina corona leo watu hawamuelewi anatakiwa alipe mishahara ya mwezi huuasituletee mambo ya ajabu kiufupi akina zitto wanamuangalia tuu wakianza kutupa mabomu msianze kusema kwakua ni mwanamke.

Hakuna mtu anataka kutawaliwa na kiongozi muovu, legacy aliyoacha ni ya utekaji. Magu alikuwa kiongozi dhalimu na muovu kupata kutokea. Kipindi cha kutawaliwa kwa propaganda kimepita, we nenda kale zile za watu aliokuagiza uwateke na kuwaua.
 
Back
Top Bottom