PHILE1879
JF-Expert Member
- May 6, 2013
- 645
- 482
Niko safarini kutoka kanda ya kati kuelekea Geita.
Nafika eneo fulani mkoani singida. Wale wenye sare nyeupe wananyoosha mkona kuashiria nisimamishe gari.
Yeye: Nipe leseni yako
Mimi: Hii hapa
Yeye: Una deni la faini
Mimi: Ndiyo
Yeye: Lipia
Mimi: Bado nina safari ndefu.Nina akiba ya kununua petroli .Nitalipa nikifika.
Yeye: Hapana . Lipa sasa hivi.
Mimi: Sina pesa.
Yeye: Usipolipa hutoki hapa.
Mimi: Nikaingia app ya GEPG.
Nikamwonyesha. App inasema pay before May 29th 2024.
Mimi: Deadline haijafika. Nitalipa kabla ya tarehe hiyo.
Yeye: Hapana. Lipa sasa hivi ama hutoki hapa.
Tukazozana sana bila suluhu kwa nusu saa hivi. Nikaona mimi ndiye napoteza. Maana bado nina safari ya kilometers 400 hivi.
Naamua kulipa na kuondoka. Nimeudhika sana.
Nafika eneo fulani mkoani singida. Wale wenye sare nyeupe wananyoosha mkona kuashiria nisimamishe gari.
Yeye: Nipe leseni yako
Mimi: Hii hapa
Yeye: Una deni la faini
Mimi: Ndiyo
Yeye: Lipia
Mimi: Bado nina safari ndefu.Nina akiba ya kununua petroli .Nitalipa nikifika.
Yeye: Hapana . Lipa sasa hivi.
Mimi: Sina pesa.
Yeye: Usipolipa hutoki hapa.
Mimi: Nikaingia app ya GEPG.
Nikamwonyesha. App inasema pay before May 29th 2024.
Mimi: Deadline haijafika. Nitalipa kabla ya tarehe hiyo.
Yeye: Hapana. Lipa sasa hivi ama hutoki hapa.
Tukazozana sana bila suluhu kwa nusu saa hivi. Nikaona mimi ndiye napoteza. Maana bado nina safari ya kilometers 400 hivi.
Naamua kulipa na kuondoka. Nimeudhika sana.