Ngoja tujazie nyama ili kamati ya Raisi ipate vichwa stahiki. Napendekeza Prof Haji Semboja huyu ni mchumi lakini amekuwa mshauri kwa miaka mingi kuhusu maboresho ya Polisi kwa hiyo ana uzoefu wa kutosha
Yupo Ndugu wakili msomi Peter Madeleka huyu ni wakili na amekuwa kwenye harakati za kuhimiza maboresho ya jeshi letu la polisi na yeye alikuwa polisi.
Yupo Ndg Albert Shelukindo huyu ni Security consultant na amewahi kuhudumu kwenye jeshi la polisi la uingereza japo kwa sasa yupo sekta binafsi kama Security Executives, Watu kutoka TLS hata Hosea ana madini mengi kuhusu utendaji wa polisi, TAWLA, Hata IGP mstaafu Saidi Mwema atafaa kuwa ndani ya kamati.
Sent from my Infinix X605 using
JamiiForums mobile app